Kwa kauli hii Gwajima kaonyesha uzalendo

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
47,018
144,375
Pale alipo-suggest Tanzania tuwe na slogan ya kutangaza nchi yetu kama ilivyo kwa nchi za wenzetu ambazo zina sloga zao na akataja nchi kadhaa ikiwemo kenya ambayo alisema slogan yao inaseme:

"Kenya the Pride of Africa."

Kwa Tanzania akapendekeza tuwe na slogan inayosema:

"Tanzania the roof of Africa"

Kasema hivi kwasababu Tanzania tuna mlima Kilimanjaro ambao ni mlima mrefu kuliko yote barani Africa.

Binafsi kanigusa sana kwa kupendekeza hii slogan na ili inoge basi itakuwa vizuri kama itaambatana na picha ya mlima Kilimanjaro.

Binafsi nashauri slogan hii ikiwa sambamba na picha ya mlima kilimanjaro iwe inapatikana katika ndege za Air Tanzania zitakazonunuliwa/zilizokwisha nunuliwa kwa lengo la kusaidia kutangaza utalii.

Kama itakuwa ni vigumu kuweka slogan hiyo na picha ya mlima Kilimanjaro katika ndege za ATCL basi sloga hiyo sambamba na picha ya mlima kilimanjaro viwe inapamba cover page ya vipeperushi/vijarida vinavyotolewa /vitakavyokuwa vinatolewa kwa abiri wa ndege za ATCL .

Kama ATCL haina vipeperushi au vijarida vya aina hivyo basi huu ni wakati wa kuwa navyo.

Pamoja na yote tunayoyasikia kuhusu ndege hizi ila bado itakuwa ni vizuri tukafanya hivi maana teyari zimeshagharamiwa kwa kodi zetu na hatuna pa kuzipeleka na zitabaki tu kuwa ni zetu.

Askofu Gwajima aungwe mkono japo anaweza kuwa na mapungufu yake kama binadamu.
 
Hongera Salary Slip kumbe ukiacha unyumbu unakuwaga na akili
Hiyo sloga na picha ya mlima kilimanjaro bado inaweza kutafutiwa nafasi na kuwekwa katika ndege zetu kwa lengo la kutangaza utalii na sidhani kama kutakuwa na tatizo..

Isitoshe slogan hiyo sambamba na mlima kilimanjaro inaweza pia kuwekwa katika vipeperushi mbali mbali vinavyotangaza utalii.
 
Tanzania bado inauhitaji mkubwa wa watu wenye upeo mkubwa wa kimawazo kama Gwajima, ila kutokana na baadhi ya watanzania kujifanya viziwi kwenye masuala ya kitaifa na badalayake kuwa wasikivu kwenye chama tu kuipata hiyo Tanzania ya viwanda Itakuwa ni ndoto ya mchana.
 
Mbona air tz zimeandikwa the wing of kilimanjaro
Kenya airways ndio hutumia neno "the Pride of Africa ATCL wao wanasema "The wings of Kilimanjaro." Kuna slogan za kibiashara za mashirika ya ndege.Hizi siyo slogan za nchi,tusichanganye mambo.Aghalabu nilishawahi kuona mahali "Welcome to Tanzania,the Land of Kilimanjaro".Huu naweza kuuita msemo wa nchi(Taifa)
 
Pale alipo-suggest Tanzania tuwe na slogan ya kutangaza nchi yetu kama ilivyo kwa nchi za wenzetu ambazo zina sloga zao na akataja nchi kadhaa ikiwemo kenya ambayo alisema slogan yao inaseme:

"Kenya the Pride of Africa."

Kwa Tanzania akapendekeza tuwe na slogan inayosema:

"Tanzania the roof of Africa"

Kasema hivi kwasababu Tanzania tuna mlima kilimanjaro ambao ni mlima mrefu kuliko yote barani Africa.

Binafsi kanigusa sana kwa kupendekeza hii slogan na ili inoge basi itakuwa vizuri kama itaambatana na picha ya mlima Kilimanjaro.

Binafsi nashauri slogan hii ikiwa sambamba na picha ya mlima kilimanjaro iwe inapatikana katika ndege za Air Tanzania zitakazonunuliwa/zilizokwisha nunuliwa kwa lengo la kusaidia kutangaza utalii.

Pamoja na yote tunayoyasikia kuhusu ndege hizi ila bado itakuwa ni vizuri tukafanya hivi maana teyari zimeshagharamiwa kwa kodi zetu na hatuna pa kuzipeleka na zitabaki tu kuwa ni zetu.

Askofu Gwajima aungwe mkono japo anaweza kuwa na mapungufu yake kama binadamu.
Kwani hatuwezi kuendelea na The Wings of Africa?
 
Kenya airways ndio hutumia neno "the Pride of Africa ATCL wao wanasema "The wings of Kilimanjaro." Kuna slogan za kibiashara za mashirika ya ndege.Hizi siyo slogan za nchi,tusichanganye mambo.Aghalabu nilishawahi kuona mahali "Welcome to Tanzania,the Land of Kilimanjaro".Huu naweza kuuita msemo wa nchi(Taifa)
Mkuu uko right 100% kama south african airways wanavyosema "We bring world to africa and taking africa to the world" au ethiopia airlines wanasema "The New spirit of africa" nachelea kusema kwamba nishawahi kusikia wazungu wengi ktk documentary zao wakisema nchi yetu kwa maneno haya "Welcome to TANZANIA, the land of kilimanjaro and ngorongoro" mkuu. Msemo wa the land of kilimanjaro ni mzuri zaidi. Ila idea ya gwajima ni nzuri pia...
 
Nchi kuwa na slogan yake kunachangia sana kuitambulisha nchi kimataifa. kutambulika kwa nchi kwa slogan kama aliyoipendekeza gwajima "TZ ROOF OF AFRICA" ni jambo jema coz sekta za utalii n.k zitainufaisha nchi
BIG UP KWAKE KWA KUWA MZALENDO.
 
Hongera Salary Slip kumbe ukiacha unyumbu unakuwaga na akili
Hivi wewe mkojo wewe unaweza kujilinganisha akili na Salary Slip? Itakuwa sawa na kulinganisha mlima Kilimanjaro na kichuguu!! MaCCM tunayagonga tangu huku nje mpaka bungeni!!
 
Pale alipo-suggest Tanzania tuwe na slogan ya kutangaza nchi yetu kama ilivyo kwa nchi za wenzetu ambazo zina sloga zao na akataja nchi kadhaa ikiwemo kenya ambayo alisema slogan yao inaseme:

"Kenya the Pride of Africa."

Kwa Tanzania akapendekeza tuwe na slogan inayosema:

"Tanzania the roof of Africa"

Kasema hivi kwasababu Tanzania tuna mlima kilimanjaro ambao ni mlima mrefu kuliko yote barani Africa.

Binafsi kanigusa sana kwa kupendekeza hii slogan na ili inoge basi itakuwa vizuri kama itaambatana na picha ya mlima Kilimanjaro.

Binafsi nashauri slogan hii ikiwa sambamba na picha ya mlima kilimanjaro iwe inapatikana katika ndege za Air Tanzania zitakazonunuliwa/zilizokwisha nunuliwa kwa lengo la kusaidia kutangaza utalii.

Kama itakuwa ni vigumu kuweka slogan hiyo na picha ya mlima Kilimanjaro katika ndege za ATCL basi sloga hiyo sambamba na picha ya mlima kilimanjaro viwe inapamba cover page ya vipeperushi/vijarida vinavyotolewa /vitakavyokuwa vinatolewa kwa abiri wa ndege za ATCL .

Kama ATCL haina vipeperushi au vijarida vya aina hivyo basi huu ni wakati wa kuwa navyo.

Pamoja na yote tunayoyasikia kuhusu ndege hizi ila bado itakuwa ni vizuri tukafanya hivi maana teyari zimeshagharamiwa kwa kodi zetu na hatuna pa kuzipeleka na zitabaki tu kuwa ni zetu.

Askofu Gwajima aungwe mkono japo anaweza kuwa na mapungufu yake kama binadamu.
Mbona hamtaki kumuunga mkono Makonda licha ya mapungufu yake ya kibinadamu? Mtaacha lini unafiki nyie watu?
 
Back
Top Bottom