i think
JF-Expert Member
- Apr 20, 2014
- 361
- 72
Kauli ya kijana wa kimarekani alyejpatia umaarufu dunian kuptia muzk CRIS BROWN kuptia mtandao wa kijamii kuwa hajui ugonjwa vizuri lakini anachojua ni kuwa ugonjwa uliotengenezwa kupunguza idad ya watu (TENA AKIONESHA WATU WENYEWE NI WEUSI KAMA YEYE) .
TMZ na mitandao hata isyo ya kiburudan imemshambulia sana CRIS BROWN.Mashabiki wazungu wamemtukana.
Sikatai wengne wamehoji kitaalam ANAO USHAHIDI KUWA HATA SERIKALI IMEKUBALI KUPUNGUZA WAMERAKAN TENA IKILENGWA WALE WEUSI.
Marekani imetetemeka sana, watu wengi wameapa kutoa utajiri wao kuzuia EBOLA.Kwa kauli ubaguzi MAREKANI UNAWEZA KUPATA NGUVU TENA.
Mana watu weusi na weupe walionekana kushambuliana kwa maneno ingawa wapo wengi tu wasiokubaliana nae japo weusi.
TMZ na mitandao hata isyo ya kiburudan imemshambulia sana CRIS BROWN.Mashabiki wazungu wamemtukana.
Sikatai wengne wamehoji kitaalam ANAO USHAHIDI KUWA HATA SERIKALI IMEKUBALI KUPUNGUZA WAMERAKAN TENA IKILENGWA WALE WEUSI.
Marekani imetetemeka sana, watu wengi wameapa kutoa utajiri wao kuzuia EBOLA.Kwa kauli ubaguzi MAREKANI UNAWEZA KUPATA NGUVU TENA.
Mana watu weusi na weupe walionekana kushambuliana kwa maneno ingawa wapo wengi tu wasiokubaliana nae japo weusi.