johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,937
- 141,909
Nafuatilia kwa makini jinsi taasisi za serikali zinavyozidi kujitokeza kutoa gawio (dividends) kwa serikali.
Nimeona hadi vyuo kama SUA, IFM nk vikitoa gawio sambamba na wakala mbalimbali za serikali na hata vitega uchumi vilivyoko jeshini na magereza mfano Suma JKT.
Natafakari tu endapo Rais Magufuli ndio angekuwa aliachiwa yale maviwanda kama Kiltex, Sunguratex, Tbl,Bora nk....nk....yaani ile Pugu road yote vilikuwa viwanda vya serikali, hakika naamini leo tungekuwa mbali sana.
Najiuliza tu mstaafu Mwinyi alikwama wapi hadi viwanda na yale mashirika makubwa makubwa akina NBC NIC, THB nk yakafilisika?
Nawatakia Dominika njema
Maendeleo hayana vyama!
Nimeona hadi vyuo kama SUA, IFM nk vikitoa gawio sambamba na wakala mbalimbali za serikali na hata vitega uchumi vilivyoko jeshini na magereza mfano Suma JKT.
Natafakari tu endapo Rais Magufuli ndio angekuwa aliachiwa yale maviwanda kama Kiltex, Sunguratex, Tbl,Bora nk....nk....yaani ile Pugu road yote vilikuwa viwanda vya serikali, hakika naamini leo tungekuwa mbali sana.
Najiuliza tu mstaafu Mwinyi alikwama wapi hadi viwanda na yale mashirika makubwa makubwa akina NBC NIC, THB nk yakafilisika?
Nawatakia Dominika njema
Maendeleo hayana vyama!