ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,568
- 44,786
Wakuu nauliza kwa jinsi muenendo wa Dunia kwa Sasa,utandawazi na athari zake,na hii hofu ya kifo nyakati hizi bado Kuna watu mnaweza kuthubutu kufanya uasherati au ngono?
Maana Mimi sielewi kwanini nimekata tamaa na mahusiano kabisa naona mapenzi Ni Kama biashara kwanini nisipotoa hela hakuna hata kukumbukwa ndo Kwanza unawekwa pembeni pesa ndo kila kitu Sasa kwa jinsi nilivyo mbahili siwezi kustahimili kuombwa pesa yangu borea nile tu hela yangu ila sio kumtumia mpenzi ambaye hata simpati.
Pesa nitakupa Kama tunaishi wote au Nimekuoa tofauti na Hapo kaa kwa kutulia sitaki lomoni na Wala Sina mzuka na punyeto kifupi nasikiliza kwanza.
Maana Mimi sielewi kwanini nimekata tamaa na mahusiano kabisa naona mapenzi Ni Kama biashara kwanini nisipotoa hela hakuna hata kukumbukwa ndo Kwanza unawekwa pembeni pesa ndo kila kitu Sasa kwa jinsi nilivyo mbahili siwezi kustahimili kuombwa pesa yangu borea nile tu hela yangu ila sio kumtumia mpenzi ambaye hata simpati.
Pesa nitakupa Kama tunaishi wote au Nimekuoa tofauti na Hapo kaa kwa kutulia sitaki lomoni na Wala Sina mzuka na punyeto kifupi nasikiliza kwanza.