Kikwajuni One
JF-Expert Member
- Mar 18, 2013
- 13,142
- 6,947
Acha uvivu,fanyakazi,watu wavivu kwa kulalamika,hamuwezekani.Mimi yule bibi simpendi kinoma yaani. Hii nchi inaliwa sana
Acha uvivu,fanyakazi,watu wavivu kwa kulalamika,hamuwezekani.Mimi yule bibi simpendi kinoma yaani. Hii nchi inaliwa sana
Naona wana Jf wamekupuuza kila uzi unaohusi madhaifu ya Rais Samia na serikali yake haiwi comment yako ila ni hiyo.Mikelele kelele inakuja kwa sababu hizi
1) Ni Mzanzibari
2) Ni Muislam
3) Ni Jinsia Yake
Wewe ni laana katika taifa...Yani kiakili huna tofauti na yule shoga anaeangamiza wa Ukraine kwa kutafuta ujiko kwa mabwana zake US na NATO.Achana na hayo mataahira ya Mwendazake, mimi huwa nayajibu shit tuu.
Acha uvivu,fanyakazi,watu wavivu kwa kulalamika,hamuwezekani.Uko sahihi. Mama anapaswa kupata muda wa kupumzika na kutunza legacy yake. Nchi hii inahitaji watu vichwa wenye kupambana na mikiki hii inayoendelea. Kwa mtu ambaye umri umeenda sana anaweza kujitafutia matatizo ya kiafya kutokana na stress ya kuongoza watu wasioridhika.
Kwa mtu yeyote mwenye kujali afya ya kiongozi wake, lazima atamshauri Mama kupumzika 2025.
Watu wanafanya kazi 24/7 acha uzwazwaAcha uvivu,fanyakazi,watu wavivu kwa kulalamika,hamuwezekani.
Acheni uvivu,watu wavivu kwa kulalamika hamuwezekani.Fanya kazi.Huu uzi sisi wengine ambao hatutoki kwenye ile gang tunaruhusiwa kuchangia ?
Hawa mamluki wamezidi sana awamu hii...Useless and stupid fools mocking on fellow Tanzanians for no sane reason.Ongezeko la bei la vyakula sio jambo la kishangilia hata kidogo. Chakula ndio hitaji kuu katika mahitaji muhimu ya binadamu kuliko hata malazi-bei za vyakula zinavyopaa unatengeneza anguko baya sana la kiuchumi.
Naona wana Jf wamekupuuza kila uzi unaohusi madhaifu ya Rais Samia na serikali yake haiwi comment yako ila ni hiyo.
Basi kwa taarifa yako wapo wanawake wengi ,wanzanzibar hadi sisi waislamu ambao hatumuelewi sasa sijui utatuweka kundi lipi chagua mwenyewe..
Kazi unaifanya wewe tu Tanzania nzima? Usiwe kama K!Acheni uvivu,watu wavivu kwa kulalamika hamuwezekani.Fanya kazi.
Umesema kweli tupu.Halafu wengi wanaolakamika ni wavivu hawataki kufanyakazi,walizoea vya bure,awamu zilizopita.Mikelele kelele inakuja kwa sababu hizi
1) Ni Mzanzibari
2) Ni Muislam
3) Ni Jinsia Yake
Watu wavivu ndio kazi yenu kulalamika,Asiyefanyakazi asile.Kazi unaifanya wewe tu Tanzania nzima? Usiwe kama K!
Watu wavivu,utawajuwa tu,hawafanyikazi, kazi kulalamika na kutukana.Kalime ,uje uuze bei ya kutupa,kama waona mahindi bei juu.Kazi unaifanya wewe tu Tanzania nzima? Usiwe kama K!
Huo ndio ukweli, na hata wanasiasa wa upinzani wanalijua hilo. Hata mimi naamini hivyo, mama atakua Raisi 25 hatakama hamkumchagua.kiujumla mama anakiamini kile kikundi cha Msoga gang kuwa kitampa uraisi hata kama wananchi wasipo mpigia kura huo ndoo ukweli mchungu.
Una akili fupi kama mkia wa mbuZiWatu wavivu,utawajuwa tu,hawafanyikazi, kazi kulalamika na kutukana.Kalime ,uje uuze bei ya kutupa,kama waona mahindi bei juu.
Hivi kuliwahi kuwa na cha bure awamu ilioisha?Umesema kweli tupu.Halafu wengi wanaolakamika ni wavivu hawataki kufanyakazi,walizoea vya bure,awamu zilizopita.
Sema we unatoka kundi la walamba asali usisingizie kuwa nje na kundi Gang. Xiuuuuuuuuu.Huu uzi sisi wengine ambao hatutoki kwenye ile gang tunaruhusiwa kuchangia ?
Msimshauri Mh. Rais vibaya.Acha kutuaminsha uongo. Wakulima wanaenjoy Sasa hivi. Jpm aliharibu mazao yote mbaazi, korosho, tumbaku. Kwa Sasa siko ni la uhakika. Sisi wakulima mama anatufaa Sana. Pili wafanyabiasha huwaambii kitu kwa mama mana hakuna anyevamua accounts zao Tena na biashara ni nzuri Sana. Nyie wafanya kazi mmevulrugwa mnahisi nchi nzima ni wafanyakazi tu. Nyie ni asilimia ndogo sana
Huyo hajui kua ukiona chakula kinapanda Bei basi ujue uzalishaji umepungua. Wazalishaji wengi ni wazee. Vijana wengi wamekimbilia mijini kuendesha boda boda na kuuza bidhaa za china. Wengi wanapiga debe mpaka kwenye Bajaji. Tena ni wale Vijana wenye nguvu kabisa . Kilimo kinabaki Sasa na wazee na Vijana wachache sana. Vyakula vinazidi kupanda Bei. Hata vinavyopatika kama matunda ni Yale Yale yaliyopandwa na mababu na wakaloni kama machungwa ,maembe na Nazi hakuna mazao mapy. Kahawa Vijana hawaziwezi, korosho ni zile miti za tangu mkoloni. Epo , Pera, limao, chenza, ndimu ni miti iliyopandwa na mababu n.k. Walaji wanaongezeka wazalishaji wa chakula wanapungua.Ongezeko la bei la vyakula sio jambo la kishangilia hata kidogo. Chakula ndio hitaji kuu katika mahitaji muhimu ya binadamu kuliko hata malazi-bei za vyakula zinavyopaa unatengeneza anguko baya sana la kiuchumi.
Sisi sio Marekani mkuu.Acha haya maneno yako siyo mazuri hata kidogo. Halafu pia mnajua uchumi wa dunia nzima umevurugika tena Tanzania sisi tuko vizuri sana! Tumshukuru Mungu. Tumia hii simu janja yako kufuatilia mfumuko wa bei Marekani na Ulaya.
Hayo Mambo ya vitu kupanda Bei Kama sukari, cement, bati nk tulipiga Sana kelele enzi za JPM mkasema tunatumiwa na mabeberu . Kitu Cha ajabu Leo hii vitu ambavyo tulivipigia kelele enzi za JPM Leo hii ndio mmepata akili ya kugundua. Nyie kwenu watu Walikuwa wakitekwa kwenu ni sawa tu , wakiuawa, kubambikwa kesi, udanganyifu kwenye uchaguzi kwanu mlifumba macho na masikio.Amekuwa makamu wa raisi kwa miaka mitano na sasa ni raisi hatujui ya mungu mengi kama 2025 atafika
Kwa kuangalia mwenendo mzima jinsi anavyoongoza wananchi ni wazi kuwa anafaa apumzike kwani hawezi kufatilia jambo lolote linalohusu serikali yake zaidi ya safari anazoenda marakwamara akitafta mikopo, bidhaa zimepanda kila kitu hakishikiki, watumishi wa umma kila aliyeenda enda benki amebaki analialia kwani matarajio yao hawakuamini kama wangeongezewa kiasi cha tsh 20,000/= siyo wakulima wanalia na mbolea tukirudi kwenye bati nondo na saruji vyote kwa sasa ni mwiba kwa mtu mwenye kipato cha chini
Mimi kwa kuwa naona mama amebaki kutuma wasaidizi wake na wanamletea taarifa za uongo huku fesha zikitafunwa naomba apumzike
Kuna mambo mama anayaamini amejiewekeza kwenye kundi la wanasiasa wachache akiamini kwamba wao watamsaidia kuchaguliwa kuwa rais, wananchi amewasahau na ndiyo maana hata waziri yoyote anayesemwa ni mzigo hawezi kumtoa wananchi mtapiga kelele mtakaa kimya mambo yako hivo kiujumla mama anakiamini kile kikundi cha Msoga gang kuwa kitampa uraisi hata kama wananchi wasipo mpigia kura huo ndoo ukweli mchungu.