stable woman
JF-Expert Member
- Nov 12, 2013
- 3,883
- 4,484
ndoa tamua kama niji
nina mshaara wangu lakini mume wangu ndo ananunua kila kitu
ndoa tamu sana asikwambia mtu
Sijakuelewa unasema?ananunua vyote kwa hela yako au yake?
ndoa tamua kama niji
nina mshaara wangu lakini mume wangu ndo ananunua kila kitu
ndoa tamu sana asikwambia mtu
Na iheshiwe na wewe ingawa matatizo yanatokea
Sijakuelewa unasema?ananunua vyote kwa hela yako au yake?
Jamaa ana duka Jirani na Maimartha Sasa kila cku anapeleka umbea kwa mume wa Mai. Mai kamletea keki ya kumsuta
Ukisikia aaaiiiiiih! ujue limempata.Jiwe limerushwa gizani