swahiba Senior
JF-Expert Member
- Nov 12, 2016
- 2,479
- 3,613
wale wa Lumumba tunasubiri povu lenu hapa Lissu kamaliza kila kitu
Mkuu,angalau umenifanya nicheke tangu asubuhi ya leo sikua nimechekaaaaLisu kiboko!!!!
Vyakula vilivyomkuza ipitishwe viwe vyakula vya taifa.
Imetulia "mahunga na malimbe"Ok, kuanzia kesho "ughae na ikhonda" (ugali na mlenda) ni chakula cha taifa kula mara 4 kwa wiki
Kile kichwa kwa mambo ya sheria kina madini adimu sana!!!!Mkuu,angalau umenifanya nicheke tangu asubuhi ya leo sikua nimechekaaaa
You are absolutely rightMaprofesa huwa na za kwao wakiwa nje ya system, wakiwa ndani ya system ni mapropesa nafsi kwanza Taifa baadae.
Nchi haijapata kuwa na mwanasheria mpuuzi kama Lissu. Lissu ananajisi taaluma yake ya sheria (hujiita learned brothers) anapishindwa kutumia lugha ya staha na kujipambanua kama mkrofi, majigambo, mlalamishi, na tabia ya kila aina ya ujeuri.Ebana Tundu Lissu Mungu akupe maisha marefu sana...
Kwa Hiyo Proff Kabudi ameenda Bungeni kuongeza Nguvu ya kupambana na Lissu sio ?Kwa muda mfupi aliokuwepo bungeni prof palagamba kabudi ameomesha uwezo mkubwa wa kujenga hoja na kupangua hoja za upunzani
Sisi wa kambi rasmi ya upinzani Kurusu maswala ya sheria na katiba tulimtegemea zaid mh sana Tundu antipas Lissu kwa uwezo wake na uelewa wake wa sheria
Kwa kilichotokea wakati wa uwasilishwaji wa bajeti ya wizara ya sheria na katiba prof kabudi ameonesha kuwa na uwezo zaid ya mh Tundu Lissu mnadhim wa iambi ya upinzani
Richa ya mh kabudi kwenda kinyume na yale aliyotumanisha wakati wa mchakato wa katiba mpya kubwa katiba ya sasa ni mbovu na haifai Bali ameweza kuitetea leo na kujenga hoja kuwa inafaaa
Swali nini hatima ya upinzani bungeni???
Naomba lissu ajiite professa lissu
Nchi haijapata kuwa na mwanasheria mpuuzi kama Lissu. Lissu ananajisi taaluma yake ya sheria (hujiita learned brothers) anapishindwa kutumia lugha ya staha na kujipambanua kama mkrofi, majigambo, mlalamishi, na tabia ya kila aina ya ujeuri.
Hayo yaliyomo kwenye hotuba yake kuwakikisha Kambi ya Upinzani kuhusu Sheria na Katiba ni kichekesho kitupu. Nina uhakika hajui masuala ya
Sheria na Katiba.
Una kiwango gani cha elimu, KKK ulifaulu vizuri kweli?Nchi haijapata kuwa na mwanasheria mpuuzi kama Lissu. Lissu ananajisi taaluma yake ya sheria (hujiita learned brothers) anapishindwa kutumia lugha ya staha na kujipambanua kama mkrofi, majigambo, mlalamishi, na tabia ya kila aina ya ujeuri.
Hayo yaliyomo kwenye hotuba yake kuwakikisha Kambi ya Upinzani kuhusu Sheria na Katiba ni kichekesho kitupu. Nina uhakika hajui masuala ya
Sheria na Katiba.
Unataka kujua kiwango changu cha elinu au hoja zangu! Taja kwanza kiwango chako cha elimu na ufaulu.Una kiwango gani cha elimu, KKK ulifaulu vizuri kweli?
h0ngera kwa kujua kup0st ujingaCjajaribu aiseeh kama umemiskia lisu na kabudi utagundua lissu kafunikwa mno na mwalim wake
Jamaa alikuwa kama prof anafundisha wanafunz
Mm moinzani ila alichoongea kabudi n ukwel mtupu