a sinner saved by Christ
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 3,341
- 3,822
Kwa hisani ya watu wa Marekani
1)Wametoa misaada mingi ya AFYA..ikiwemo madawa ya kufubaza mavirusi ya UKIMWI madawa ya UKIMWI.
kusaidia wagonjwa wa UKIMWI kuwapatia dawa za bure
Malaria dawa mseto za malaria vyandarua mpaka kondomu
na misaada mingi ya kibinamu,kielimu,afya na kadhalika..misaada mingi sana..
2)kutujengea matundu ya vyoo mashuleni..watoto wetu waweze kujisaidia vizuri..kwenye matundu ya vyoo
shule za kata..n.k
3) kutujengea mabarabara
Misaada mingi sana sana huwezi kuimaliza kuitaja misaada mingi mingi sana sana KWA HISANI YA WATU WA MAREKANI kuliko taifa lolote duniani.
Lakini hawa tunaowaita wahisani jumuiya za kimataifa wanapopaza sauti kukemea ukiukwaji wa haki za kibinadamu,kupinga UVUNJAJI wa haki za kibinadamu tunawabadilishia majina kutoka WAHISANI mpaka kuwaita MABEBERU . wanatuingilia mambo yetu ya ndani wanajifanya ni watawala wetu..,kisa tu wanakosoa ukandamizaji na dhuluma za haki za wanadamu wengine.
KAMA hawa WAHISANI au MABEBERU kama mnavyowaita kama wameongea UONGO si wapingwe kwa hoja ,HOJA hupingwa kwa HOJA na TAFITI(Kwa kutumia wasomi wetu tulio nao MAPROFESA)
Kuliko kuwaita majina MABAYA ,kuwaita MABEBERU haitaondoa ushahidi ya HISANI YA WATU WA MAREKANI inayoishi.
1)Wametoa misaada mingi ya AFYA..ikiwemo madawa ya kufubaza mavirusi ya UKIMWI madawa ya UKIMWI.
kusaidia wagonjwa wa UKIMWI kuwapatia dawa za bure
Malaria dawa mseto za malaria vyandarua mpaka kondomu
na misaada mingi ya kibinamu,kielimu,afya na kadhalika..misaada mingi sana..
2)kutujengea matundu ya vyoo mashuleni..watoto wetu waweze kujisaidia vizuri..kwenye matundu ya vyoo
shule za kata..n.k
3) kutujengea mabarabara
Misaada mingi sana sana huwezi kuimaliza kuitaja misaada mingi mingi sana sana KWA HISANI YA WATU WA MAREKANI kuliko taifa lolote duniani.
Lakini hawa tunaowaita wahisani jumuiya za kimataifa wanapopaza sauti kukemea ukiukwaji wa haki za kibinadamu,kupinga UVUNJAJI wa haki za kibinadamu tunawabadilishia majina kutoka WAHISANI mpaka kuwaita MABEBERU . wanatuingilia mambo yetu ya ndani wanajifanya ni watawala wetu..,kisa tu wanakosoa ukandamizaji na dhuluma za haki za wanadamu wengine.
KAMA hawa WAHISANI au MABEBERU kama mnavyowaita kama wameongea UONGO si wapingwe kwa hoja ,HOJA hupingwa kwa HOJA na TAFITI(Kwa kutumia wasomi wetu tulio nao MAPROFESA)
Kuliko kuwaita majina MABAYA ,kuwaita MABEBERU haitaondoa ushahidi ya HISANI YA WATU WA MAREKANI inayoishi.
