Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,079
- 8,219
Kuna kibabu flani mtaani kwetu juzijuzi tu hapa kimemuoa binti mdogo tu aliyemzidi kama miaka 30 hivi! Ulikuwa ni mshangao street coz hawa watu hawamatch hata kidogo! People 2namshangaa sana yule mdada kwa kuamua kuishi na kile kibabu? Nashindwa kuwaelelewa madada! What wanagain kuwa na vibabu kama vile? Is it money or what? Me naichukulia hii ishu ya watoto wadogo kuolewa na vibabu kama sin flani ambayo yatakiwa kuwa amri ya11 ya mungu! Hivi mama mushumbuzi anagain nini kuwa na babu slaa!? They dont match hata kidogo! Bibiye yupo young,strong and energetic! But babu yetu slaa ni kwishnei! How do they balance kwenye mambo yetu??