Kwa hili wanaume huwa siwaelewi

Kwa hili wanaume huwa siwaelewi

Ni masharti ya kiganga,bila kulishika siku haiendi vizuri!

Sent from my Infinix_X521 using JamiiForums mobile app
 
Dude linakuwa linaweka unyoka wa kimakengeza Kwa hiyo, inabidi uliweke vizuri ili lisije likachukua vijisenti maana tayari linakuwa na makengeza.

Haaa haaa Haaa teeeh teeeh teeeh, Natambua kuwa Wahenga watanielewa.
 
Hili ni swali kwenu wanaume; Ni kwann huwa mnapenda kushika kwenye dushe lenu Mara kwa Mara hata mbele za watu?

Huwa hamuoni aibu?
Hii hufanywa na wanaume walio wengi

Naomba nipatiwe majibu please.
Haki sawa nawewe ifanye

Sent from my Galaxy Nexus using JamiiForums mobile app
 
Hili ni swali kwenu wanaume; Ni kwann huwa mnapenda kushika kwenye dushe lenu Mara kwa Mara hata mbele za watu?

Huwa hamuoni aibu?
Hii hufanywa na wanaume walio wengi

Naomba nipatiwe majibu please.
Huwa tunaikagua
 
Back
Top Bottom