Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 28,122
- 52,871
Kwani hujui waandishi wengi walifeli form four ndo wakajipeleka Tu huko course rahisi
LOWASSA Ndio Anafundisha Hao Waandishi Wa HBR "VIHIYO " Au Anamiliki CHUO Kinachotoa Hiyo TAALUMA DHAIFU!!! ILA Mkuu Hilo Sio Kwa Waandishi Wa HBR Tu PEKEE!!!! LIPO Kwa Karibia Woote Wanaojiita Na Kujinasibu Ni WASOMI, Wanaomiliki Utitiri Wa VYETI Makabatini Mwao!! ILA Ktk Vitendo Na Kuitumia TAALUMA Zao Kutekeleza Au Kutimimiza Majukumu Yao!!! NDIO Maswali Ya Aina Hiyo!!!! SASA Kwa Waandishi Wa HBR Tunapata NAFASI Ya KUWASIKIA Na KUONA WAKIFANYA KAZI Zao Wakiwa FIELD!!! HAWA Wengine Hatupati Muda Mwingi Wa Kuwaona Na Kuwasikia!!! MATOKEO Yake Ndio Yale, ALIYETAKIWA Kupasuliwa Mguu AMEPASULIWA KICHWA Na ALIYEPASWA KUPASULIWA KICHWA, AKAPASULIWA MGUU!!!!! HILO La Kudharaulika Kwa WASOMI Wetu Wa KIBONGO, Sio Kwa WAANDISHI WA HBR TU!!! BALI Karibia Wooote, Hasa Wa Kizazi Cha Digital!!!!! SO Tatizo Ni KUBWA Mno!!!!Tatizo ni Lowassa
Kwani hujui waandishi wengi walifeli form four ndo wakajipeleka Tu huko course rahisi
Si mshukuru Lumumba mna vitu vya kuviandika na kuingiza poshoNimejisikia Vibaya Sana Kama Siyo Mno Na Kitendo Cha KIPUUZI Kabisa Cha KIULEDI Kilichofanywa Na WAANDISHI Wa HABARI Wa Kitanzania Hasa Wale WALIOKUWEPO Ktk Press Conference Ya Waziri Nape Nnauye Usiku Huu Pale Dodoma Akitoa UFAFANUZI Wa Kilichotokea Bungeni Hadi Kusababisha Mtafaruku.
Kuna Wakati Rais Wetu MSTAAFU ( Sitamtaja ILA Waandishi Wa Habari Mtamkumbuka ) Aliwahi Kuwaambia WAANDISHI Wa HABARI Wa Tanzania Tena Pale JNIA Akiwa Anatoka ULAYA Kuwa Nanukuu " Most Of Journalists In Tanzania Are Very Foolish And I Think They Should Go Back To School To Learn How To Ask Questions ". Na Alifanya Hivyo Baada Ya KUULIZWA Swali La Kitoto Kabisa Na Mwandishi Wa Habari Ambaye Kwa Bahati Nzuri Sana Hata Humu Humu JF Tu Huwa Yupo 24/7 Na Ni MAARUFU Mno ( Kwa Heshima Yake SITOMTAJA ) Ila Kama Atausoma Huu UZI Atajua Kuwa Ni Yeye. Huyu Mwandishi Wakati Huyo Rais Mstaafu Anataka Kuingia Ktk Gari Lake Na Kuondoka Huyu Mwandishi Akamfuata Na Kumuomba Amuulize Swali Ndipo Nakumbuka Kwa Kuheshimiwa Huyu Rais Mstaafu Akamkubalia Na Angalia Swali ALILOMUULIZA Nanukuu " Mheshimiwa Rais Pole Sana Kwa Safari Na Sijui Unaweza Kutuambia Safari Yako Ya Masaa 6 Uliyoianza Kutoka Ulaya Hadi Kufika Hapa Umeionaje! " Mwisho Wa Kunukuu.
Sasa Hiyo Ilikuwa 9 Na 10 Ni Hii Ya Muda Mfupi Tu Huko Mkoani Dodoma Ambapo Waziri Nape Nnauye ALIULIZWA Maswali Ambayo Nitayaweka Hapa Baadhi Kisha Muyaone Je TANZANIA Tuna WAANDISHI WA HABARI WA UHAKIKA KWELI au Tuna " MFANO TU WA WAANDISHI WA HABARI? " Maswali Yenyewe Ni Kama Yafuatavyo:
Kwa Maswali Hayo MAKUU Naomba Uyapime Halafu UJIULIZE Je Tanzania Tuna Serious Journalists Kweli? Nilikuwa Najiuliza Kwanini WAANDISHI WA HABARI WA KENYA, UGANDA NA RWANDA Achilia Mbali Wa ULAYA Wanawadharau Sana WAANDISHI WETU WA HABARI WA TANZANIA.
- MHESHIMIWA WAZIRI KAMA SUALA NI KUZUIA WATU WASIPOTEZE UFANISI WA KUFANYA KAZI MAKAZINI KWA KUANGALIA BUNGE MUDA WOTE BASI KWANINI SERIKALI ISIPITE KTK KILA OFISI NA KUONDOA TELEVISION SCREENS ZOTE?
- MHESHIMIWA WAZIRI KAMA UNASEMA SERIKALI INABANA MATUMIZI NA KUPUNGUZA GHARAMA ZA UENDESHAJI HIVI HUU MKUTANO NA SISI UNAOUFANYA SASA UNALIPIWA NA NANI?
- MHESHIMIWA WAZIRI HUONI KAMA TBC1 KUTOONYESHA " LIVE " BUNGE KUTAVIATHIRI NA VYOMBO VINGINE VYA HABARI KAMA STAR TV, AZAM NA ITV?
- MHESHIMIWA WAZIRI NASIKIA MWAKA JANA MLITENGA KARIBIA SHILINGI BILIONI 6 JE ZILITUMIKAJE?
Karibuni Kwa KULIJADILI Hili ILA Kwa Wale FRIENDS Zangu, FOLLOWERS Wangu Na CRITICS Wangu MLIOTUKUKA Kama Akina Nifah, UncleBen Na Mussolin5 Na Wengineo Wote Kuanzia Tarehe 28 January Mpaka Hapo Nitakapowatangazieni Upya Mabadiliko Mengine Nitakuwa Sasa Napatikana Humu JF Kunzia Saa1Hadi Saa3Asubuhi Kisha Saa12Hadi Saa3Usiku Na Mwisho Kuanzia Saa5Hadi Saa7Usiku. Kama Mnavyojua Kuwa Sasa Nipo Huku Kwenye BARAFU MAMTONI ( Marekani ) Hivyo Muda Mwingi Nakuwa Namsaidia Kazi Za Kisiasa Rais Mtarajiwa Wa Marekani Donald Trump Hivyo Najikuta Muda Wangu Ni Finyu Sana Kuwepo Humu. Nawaombeni Tu Mnivumilie Na Wote Zingatieni KUNAKOTUKUKA Hiyo Mida Yangu Mipya Ya Mimi Kuwepo Humu. Mungu Ibariki Tanzania!
walikwenda wakiwa wamekamia kumbomoa lakini kwa weledi wao finyu(kwa baadhi yao)wakajikuta ndio wanamjenga kutokana na maswali ya kitoto waliyokuwa wanauliza.Nimejisikia Vibaya Sana Kama Siyo Mno Na Kitendo Cha KIPUUZI Kabisa Cha KIULEDI Kilichofanywa Na WAANDISHI Wa HABARI Wa Kitanzania Hasa Wale WALIOKUWEPO Ktk Press Conference Ya Waziri Nape Nnauye Usiku Huu Pale Dodoma Akitoa UFAFANUZI Wa Kilichotokea Bungeni Hadi Kusababisha Mtafaruku.
Kuna Wakati Rais Wetu MSTAAFU ( Sitamtaja ILA Waandishi Wa Habari Mtamkumbuka ) Aliwahi Kuwaambia WAANDISHI Wa HABARI Wa Tanzania Tena Pale JNIA Akiwa Anatoka ULAYA Kuwa Nanukuu " Most Of Journalists In Tanzania Are Very Foolish And I Think They Should Go Back To School To Learn How To Ask Questions ". Na Alifanya Hivyo Baada Ya KUULIZWA Swali La Kitoto Kabisa Na Mwandishi Wa Habari Ambaye Kwa Bahati Nzuri Sana Hata Humu Humu JF Tu Huwa Yupo 24/7 Na Ni MAARUFU Mno ( Kwa Heshima Yake SITOMTAJA ) Ila Kama Atausoma Huu UZI Atajua Kuwa Ni Yeye. Huyu Mwandishi Wakati Huyo Rais Mstaafu Anataka Kuingia Ktk Gari Lake Na Kuondoka Huyu Mwandishi Akamfuata Na Kumuomba Amuulize Swali Ndipo Nakumbuka Kwa Kuheshimiwa Huyu Rais Mstaafu Akamkubalia Na Angalia Swali ALILOMUULIZA Nanukuu " Mheshimiwa Rais Pole Sana Kwa Safari Na Sijui Unaweza Kutuambia Safari Yako Ya Masaa 6 Uliyoianza Kutoka Ulaya Hadi Kufika Hapa Umeionaje! " Mwisho Wa Kunukuu.
Sasa Hiyo Ilikuwa 9 Na 10 Ni Hii Ya Muda Mfupi Tu Huko Mkoani Dodoma Ambapo Waziri Nape Nnauye ALIULIZWA Maswali Ambayo Nitayaweka Hapa Baadhi Kisha Muyaone Je TANZANIA Tuna WAANDISHI WA HABARI WA UHAKIKA KWELI au Tuna " MFANO TU WA WAANDISHI WA HABARI? " Maswali Yenyewe Ni Kama Yafuatavyo:
Kwa Maswali Hayo MAKUU Naomba Uyapime Halafu UJIULIZE Je Tanzania Tuna Serious Journalists Kweli? Nilikuwa Najiuliza Kwanini WAANDISHI WA HABARI WA KENYA, UGANDA NA RWANDA Achilia Mbali Wa ULAYA Wanawadharau Sana WAANDISHI WETU WA HABARI WA TANZANIA.
- MHESHIMIWA WAZIRI KAMA SUALA NI KUZUIA WATU WASIPOTEZE UFANISI WA KUFANYA KAZI MAKAZINI KWA KUANGALIA BUNGE MUDA WOTE BASI KWANINI SERIKALI ISIPITE KTK KILA OFISI NA KUONDOA TELEVISION SCREENS ZOTE?
- MHESHIMIWA WAZIRI KAMA UNASEMA SERIKALI INABANA MATUMIZI NA KUPUNGUZA GHARAMA ZA UENDESHAJI HIVI HUU MKUTANO NA SISI UNAOUFANYA SASA UNALIPIWA NA NANI?
- MHESHIMIWA WAZIRI HUONI KAMA TBC1 KUTOONYESHA " LIVE " BUNGE KUTAVIATHIRI NA VYOMBO VINGINE VYA HABARI KAMA STAR TV, AZAM NA ITV?
- MHESHIMIWA WAZIRI NASIKIA MWAKA JANA MLITENGA KARIBIA SHILINGI BILIONI 6 JE ZILITUMIKAJE?
Karibuni Kwa KULIJADILI Hili ILA Kwa Wale FRIENDS Zangu, FOLLOWERS Wangu Na CRITICS Wangu MLIOTUKUKA Kama Akina Nifah, UncleBen Na Mussolin5 Na Wengineo Wote Kuanzia Tarehe 28 January Mpaka Hapo Nitakapowatangazieni Upya Mabadiliko Mengine Nitakuwa Sasa Napatikana Humu JF Kunzia Saa1Hadi Saa3Asubuhi Kisha Saa12Hadi Saa3Usiku Na Mwisho Kuanzia Saa5Hadi Saa7Usiku. Kama Mnavyojua Kuwa Sasa Nipo Huku Kwenye BARAFU MAMTONI ( Marekani ) Hivyo Muda Mwingi Nakuwa Namsaidia Kazi Za Kisiasa Rais Mtarajiwa Wa Marekani Donald Trump Hivyo Najikuta Muda Wangu Ni Finyu Sana Kuwepo Humu. Nawaombeni Tu Mnivumilie Na Wote Zingatieni KUNAKOTUKUKA Hiyo Mida Yangu Mipya Ya Mimi Kuwepo Humu. Mungu Ibariki Tanzania!
Nimekuelewa mkuu. Sema waandishi wengi hutumia mihemko badala ya weledi. Wanashindwa kuficha hisia zaoNadhani hujamuelewa. Mleta mada hapa ana maanisha kuwa Tatizo kubwa la waandishi wetu wa habari hawataki kuumiza akili zao kuuliza maswali ambayo yatamfanya mtu anaejibu kuumiza akili katika kufikiria kuyajibu kiusahihi. Kwa kifupi maswali yao mengi ni mepesi sana na 'too direct' hata mjibuji hapati shida ya kuyajibu inakuwa kama kawaandalia maswali kawapa wayajibu. Vile vile suala la waandishi wanapokuwa na nafasi ya kuwauliza wanasiasa wanaenda kama ni wa upande unaowakilisha 'opponent' badala ya kuwa 'neutral' waweze kujenga hoja zaidi na maswali yenye kuumiza kichwa katika kufikiri kuyajibu.
Kwa mfano, katika mkutano wa Mh. Nape jana nilitegemea waandishi wa habari waulize maswali kama hasa tukianzia suala la gharama
1. Bajeti ya TBC kwa mwaka ni kiasi gani?
2. Kama shirika la umma linapewa ruzuku na serikali? Kama ndiyo ni kiasi gani?
3. Kuna upungufu wa kiasi gani wa hela za kuweka kutangaza matangazo live ya Bunge?
4. Bunge ni moja ya Mihimili inayojitegemea, je kwa suala hili limeandaliwa fungu gani kusaidia shirika hili la umma kuonyesha wazi mijadala ya Bunge? Na kama hakuna, kwa nini isiletwe hoja hii kuwezesha kupata fungu litakalokuwa rasmi kusaidia kuwezesha zoezi la utangazwaji live wa vipindi vya bunge?
Haya ni baadhi tu, ilitakiwa Mh. Nape ajikute anarudi kujiandaa tena kuja na facts zenye ushahidi lakini sio anajibu kisiasa
Weledi wataongeza zaidi
Hiyo ukawa ametumia mwenyewe mleta mada, si neno langu. na ujue waandishi wa habari siku zote kama wanaichallenge serikali lazima watu waone kama wapo upande wa upinzani. Kwa mantiki hiyo wale wa vyombo vya serikali ndio hao ambao hata maswali ya kawaida watashindwa kuuliza mana wanadhani wao kazi yao ni kusifia serikali.Nadhani hujamuelewa. Mleta mada hapa ana maanisha kuwa Tatizo kubwa la waandishi wetu wa habari hawataki kuumiza akili zao kuuliza maswali ambayo yatamfanya mtu anaejibu kuumiza akili katika kufikiria kuyajibu kiusahihi. Kwa kifupi maswali yao mengi ni mepesi sana na 'too direct' hata mjibuji hapati shida ya kuyajibu inakuwa kama kawaandalia maswali kawapa wayajibu. Vile vile suala la waandishi wanapokuwa na nafasi ya kuwauliza wanasiasa wanaenda kama ni wa upande unaowakilisha 'opponent' badala ya kuwa 'neutral' waweze kujenga hoja zaidi na maswali yenye kuumiza kichwa katika kufikiri kuyajibu.
Kwa mfano, katika mkutano wa Mh. Nape jana nilitegemea waandishi wa habari waulize maswali kama hasa tukianzia suala la gharama
1. Bajeti ya TBC kwa mwaka ni kiasi gani?
2. Kama shirika la umma linapewa ruzuku na serikali? Kama ndiyo ni kiasi gani?
3. Kuna upungufu wa kiasi gani wa hela za kuweka kutangaza matangazo live ya Bunge?
4. Bunge ni moja ya Mihimili inayojitegemea, je kwa suala hili limeandaliwa fungu gani kusaidia shirika hili la umma kuonyesha wazi mijadala ya Bunge? Na kama hakuna, kwa nini isiletwe hoja hii kuwezesha kupata fungu litakalokuwa rasmi kusaidia kuwezesha zoezi la utangazwaji live wa vipindi vya bunge?
Haya ni baadhi tu, ilitakiwa Mh. Nape ajikute anarudi kujiandaa tena kuja na facts zenye ushahidi lakini sio anajibu kisiasa
Weledi wataongeza zaidi
Wewe ndio usome tena ulichoandika.Soma tena nilichoandika