Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,109
- 53,626
Ndugu tigo kama unaugonjwa wa moyo ni bora uhame.wanaweza kukuua hawa hata njiani kwa mshtuko.me nlikua ma salio la 50000 juzi tu nikajiunga kifurushi cha 3500,aisee within a hour nashangaa kuchek salio nina sms na dk tu.mb zmeisha.nikaenda kwa salio la kawaida kidogo nitoe ushuzi!!yaan imebakitsh50!! aisee tigo ni majambaz na maharamia
Siwekagi zaidi ya 3500 ya kujiungia mini kabang. Tena jumapili kwa jumapili