rlhaule
JF-Expert Member
- Aug 16, 2013
- 686
- 181
majanga tena haya! tiGO wanashughulikia tatizo la kiufundi la M-PESA,
huo ni zaidi ya upendo,
Bila shaka ayakuwa anajulisha na majanga ya voda kwa maana nyingine mitandao yote majanga
majanga tena haya! tiGO wanashughulikia tatizo la kiufundi la M-PESA,
huo ni zaidi ya upendo,
ahahahhaha kachanganya madawa huyo lol
mimi nijuavyo tsh 999 ni 25dk mitandao yote.huwa najiunga na kifurushi hicho siku zoteNi mteja wa kampuni hiyo tangu inaitwa Mobitel, Buzz na sasa tIGO,
jambo baya sana wamekuwa wakikurupuka kuanzisha huduma ambazo kiukweli zimekuwa zinabore sana maana nyingi ni za kukatisha tamaa.
nimekuwa nikijiunga min KABANG masaa 24 kwa TZS 999 kila siku ambapo napata dakika 35 za kupiga mitandao yote,
Leo ghafla naona wamekurupuka kwenye menu nakutana na uchafu mwingine ambao hata siuelewi na jwa kifupi unani sababisha nisigine line ya kampuni hii na kuendelea na line ya mtandao mwingine kwa sababu ya kuhangaika kwenu na mabadiliko ambayo nadhani hamna hata wiki 2 tangu mbadilishe hiyo menu yenu sijui wenyewe mnaiita Tigo shop.
kwa kweli kwa aina hii ya biashara mnayoifanya ni bora kutemana na nyinyi mazima maana mnahangaika mtadhani kuku anataka kutaga, kama biashara imewashinda uzeni kampuni tushazoe kubadilishiwa majina ya hizo kampuni zenu zilizojaa unyonyajimkwa watanzani.
Ushauri kwenu rudisheni ile menu ya awali, msiruke ruke kabla ya kuambiwa muanze kulipa kodi.
zembeeni mnachishauriwa muue Kampuni mshindwe kupata hata hiyo sh. mia mnayopata sasa.
cc: TCRA
Mkuu usishangae ,Ukizoea uzushi na uongo hayo ndio matokeo yake ,unaanza kuongelea mwembe uzaao ndizi!majanga tena haya! tiGO wanashughulikia tatizo la kiufundi la M-PESA,
huo ni zaidi ya upendo,
Kuwa mzalendo na mwenye upendo wa kweli....usihame hata kidogo, mm na tiGO daima toka enzi hzooooo.....Mi tigo wananiboa sana lakini huwa kuhama siwezi, nitaishia kulalamika weeee mwisho wa siku nimeng'ang'ana pale pale sijui kwanini,....
Mi tigo wananiboa sana lakini huwa kuhama siwezi, nitaishia kulalamika weeee mwisho wa siku nimeng'ang'ana pale pale sijui kwanini,....
Ni mteja wa kampuni hiyo tangu inaitwa Mobitel, Buzz na sasa tIGO,
jambo baya sana wamekuwa wakikurupuka kuanzisha huduma ambazo kiukweli zimekuwa zinabore sana maana nyingi ni za kukatisha tamaa.
nimekuwa nikijiunga min KABANG masaa 24 kwa TZS 999 kila siku ambapo napata dakika 35 za kupiga mitandao yote,
Leo ghafla naona wamekurupuka kwenye menu nakutana na uchafu mwingine ambao hata siuelewi na jwa kifupi unani sababisha nisigine line ya kampuni hii na kuendelea na line ya mtandao mwingine kwa sababu ya kuhangaika kwenu na mabadiliko ambayo nadhani hamna hata wiki 2 tangu mbadilishe hiyo menu yenu sijui wenyewe mnaiita Tigo shop.
kwa kweli kwa aina hii ya biashara mnayoifanya ni bora kutemana na nyinyi mazima maana mnahangaika mtadhani kuku anataka kutaga, kama biashara imewashinda uzeni kampuni tushazoe kubadilishiwa majina ya hizo kampuni zenu zilizojaa unyonyajimkwa watanzani.
Ushauri kwenu rudisheni ile menu ya awali, msiruke ruke kabla ya kuambiwa muanze kulipa kodi.
zembeeni mnachishauriwa muue Kampuni mshindwe kupata hata hiyo sh. mia mnayopata sasa.
cc: TCRA
Kuna ukweli aisee maana kuna wateja wa tigo hata ufanye nini haondoki, of course kwa yule ambae yupo town especially Dar muda mrefu inakuwa ngumu lakini sie ambao mara leo upo Zuguulole Tabora, Kesho Usokami Iringa tunakua tunacheza kotekote ataeleta huduma nzuri unakomaa nae though unakuwa na mtandao wako mmoja ambao ni hotlinekweli Kabisa kakangu hii ni hatari,tigo imeniloga
Jana ilikuwa tatizo even kwangu maana huwa wana ASUBUHI PARK kwa jana kuingia nikakuta wameiondoa maana hata mie huwa najiunga kwa shs.1 napata dakika zangu 30 mwisho saa 3 asubuhi huwa nazitumia kusambaza upendo kwa sakafu wangu wa moyo alafu naachana nayo naendelea na voda yangu. Jana naicheck menu sikukuta kitu nikaumbuka maana simu yangu ina shilingi 30 tu kuzimaliza hizo ni mwezi mzima maana kila siku only 1TZS kiukweli nilishituka. Ila leo naona wamejifunza kitu wamerejesha hudumaNi mteja wa kampuni hiyo tangu inaitwa Mobitel, Buzz na sasa tIGO,
jambo baya sana wamekuwa wakikurupuka kuanzisha huduma ambazo kiukweli zimekuwa zinabore sana maana nyingi ni za kukatisha tamaa.
nimekuwa nikijiunga min KABANG masaa 24 kwa TZS 999 kila siku ambapo napata dakika 35 za kupiga mitandao yote,
Leo ghafla naona wamekurupuka kwenye menu nakutana na uchafu mwingine ambao hata siuelewi na jwa kifupi unani sababisha nisigine line ya kampuni hii na kuendelea na line ya mtandao mwingine kwa sababu ya kuhangaika kwenu na mabadiliko ambayo nadhani hamna hata wiki 2 tangu mbadilishe hiyo menu yenu sijui wenyewe mnaiita Tigo shop.
kwa kweli kwa aina hii ya biashara mnayoifanya ni bora kutemana na nyinyi mazima maana mnahangaika mtadhani kuku anataka kutaga, kama biashara imewashinda uzeni kampuni tushazoe kubadilishiwa majina ya hizo kampuni zenu zilizojaa unyonyajimkwa watanzani.
Ushauri kwenu rudisheni ile menu ya awali, msiruke ruke kabla ya kuambiwa muanze kulipa kodi.
zembeeni mnachishauriwa muue Kampuni mshindwe kupata hata hiyo sh. mia mnayopata sasa.
cc: TCRA
Huduma yao kukopa inaboa hakuna kujiunga wakati wapinzani wao Voda na unaitumia kumnunulia na mwinginemi kutoa tu huduma ya kukopa utanifanya niwahame
Mkuu usishangae ,Ukizoea uzushi na uongo hayo ndio matokeo yake ,unaanza kuongelea mwembe uzaao ndizi!
Jana ilikuwa tatizo even kwangu maana huwa wana ASUBUHI PARK kwa jana kuingia nikakuta wameiondoa maana hata mie huwa najiunga kwa shs.1 napata dakika zangu 30 mwisho saa 3 asubuhi huwa nazitumia kusambaza upendo kwa sakafu wangu wa moyo alafu naachana nayo naendelea na voda yangu. Jana naicheck menu sikukuta kitu nikaumbuka maana simu yangu ina shilingi 30 tu kuzimaliza hizo ni mwezi mzima maana kila siku only 1TZS kiukweli nilishituka. Ila leo naona wamejifunza kitu wamerejesha huduma
Mimi nilikuwa najiunga mini kabang ya week ya 3500 wanakupa dk 75 za kuongea, MB 500 na sms 2000
Sasa hivi wamepunguza kuja dk 65 za kuongea, MB 300 na sms 2000. Na shida yangu kubwa ni hizo MB 500 kipindi kile zilikuwa zinakaa week nzima ila hizo Mb 300 hazipiti alhamisi
Nikawapigia kuwauliza wakasema kwasababu najiunga sana ndo mana wamepunguza
Zaidi wakasema kama sifurahii huduma zao nihamie ninapoona pananifaa
Sahv nipo SMART mambo mteremkoo, kitu satelite sio maswala ya minara tena
Tigo wamekuwa na ghrama sana sio ya wanafunzi tena
majanga tena haya! tiGO wanashughulikia tatizo la kiufundi la M-PESA,
huo ni zaidi ya upendo,