Twilumba
Platinum Member
- Dec 5, 2010
- 13,472
- 16,177
Ni mteja wa kampuni hiyo tangu inaitwa Mobitel, Buzz na sasa tIGO,
jambo baya sana wamekuwa wakikurupuka kuanzisha huduma ambazo kiukweli zimekuwa zinabore sana maana nyingi ni za kukatisha tamaa.
nimekuwa nikijiunga min KABANG masaa 24 kwa TZS 999 kila siku ambapo napata dakika 35 za kupiga mitandao yote,
Leo ghafla naona wamekurupuka kwenye menu nakutana na uchafu mwingine ambao hata siuelewi na jwa kifupi unani sababisha nisigine line ya kampuni hii na kuendelea na line ya mtandao mwingine kwa sababu ya kuhangaika kwenu na mabadiliko ambayo nadhani hamna hata wiki 2 tangu mbadilishe hiyo menu yenu sijui wenyewe mnaiita Tigo shop.
kwa kweli kwa aina hii ya biashara mnayoifanya ni bora kutemana na nyinyi mazima maana mnahangaika mtadhani kuku anataka kutaga, kama biashara imewashinda uzeni kampuni tushazoe kubadilishiwa majina ya hizo kampuni zenu zilizojaa unyonyajimkwa watanzani.
Ushauri kwenu rudisheni ile menu ya awali, msiruke ruke kabla ya kuambiwa muanze kulipa kodi.
zembeeni mnachishauriwa muue Kampuni mshindwe kupata hata hiyo sh. mia mnayopata sasa.
cc: TCRA
jambo baya sana wamekuwa wakikurupuka kuanzisha huduma ambazo kiukweli zimekuwa zinabore sana maana nyingi ni za kukatisha tamaa.
nimekuwa nikijiunga min KABANG masaa 24 kwa TZS 999 kila siku ambapo napata dakika 35 za kupiga mitandao yote,
Leo ghafla naona wamekurupuka kwenye menu nakutana na uchafu mwingine ambao hata siuelewi na jwa kifupi unani sababisha nisigine line ya kampuni hii na kuendelea na line ya mtandao mwingine kwa sababu ya kuhangaika kwenu na mabadiliko ambayo nadhani hamna hata wiki 2 tangu mbadilishe hiyo menu yenu sijui wenyewe mnaiita Tigo shop.
kwa kweli kwa aina hii ya biashara mnayoifanya ni bora kutemana na nyinyi mazima maana mnahangaika mtadhani kuku anataka kutaga, kama biashara imewashinda uzeni kampuni tushazoe kubadilishiwa majina ya hizo kampuni zenu zilizojaa unyonyajimkwa watanzani.
Ushauri kwenu rudisheni ile menu ya awali, msiruke ruke kabla ya kuambiwa muanze kulipa kodi.
zembeeni mnachishauriwa muue Kampuni mshindwe kupata hata hiyo sh. mia mnayopata sasa.
cc: TCRA
Last edited by a moderator: