lumumba junior
Member
- May 23, 2014
- 48
- 20
ni wiki ya pili tangu tufunge king'amuzi cha startimes kwenye playlist yao hawana chaneli za hapa bongo kama vile Itv, Eatv, star tv kwa kweli sifurahii kabisa huduma zenu
ni wiki ya pili tangu tufunge king'amuzi cha startimes kwenye playlist yao hawana chaneli za hapa bongo kama vile Itv, Eatv, star tv kwa kweli sifurahii kabisa huduma zenu
Pole sana mkuu naamini ulinunua hicho king'amuzi ukitarajia kupata huduma nzuri sambamba na kujionea kombe la dunia lakini hao ndo star times bwana hawana heko, karibu azam tv world live game zote....ni wiki ya pili tangu tufunge king'amuzi cha startimes kwenye playlist yao hawana chaneli za hapa bongo kama vile Itv, Eatv, star tv kwa kweli sifurahii kabisa huduma zenu