mwananthropolojia
JF-Expert Member
- Oct 6, 2012
- 956
- 638
ha ha ha kaka nampa pole sana. hivi mnajua ma bibi harusi wa siku hizi huwa wana mabwana kibao tu na wengine nawafahamu mabwana zao walihudhulia harusi zao achilia mbali kuwasaidia kununua shela.
tatizo huyu jamaa kangangania ukweli, asingetoa bastola wala haya yasingemfika. Wake wengi siku hizi wanagawa papuchi tena kwa sanaaaaaaaaa na waume wengi especially vijana ni vitombi balaa. Kinachosaidia ni kwamba hakuna anayejua mwenzie anafanya nini na muda gani yupo gesti.
jamaa kachunguza sana bata sasa kashindwa kumla kaishia kuchukia hata bata wazuri wasio na doa.
wake wazuri wapo ila trust me ni wachache sana, na wake wazuri huwa makini kwenye michezo yao ya nje. Lakini eti wa kwako peke yako mh thubutuuuuuuuuuu kama hujawi fumania shukuru mungu na usitake kuchunguza sanaaaaaa maana unaweza kufa kabisa.
ina maana hata hao wazuri bado wana michezo ya nje?mmh nnanza kujifikira mara2 kuoa