Hivi inawezekanaje mka do na mama yako mzazi kweli? Unaanzaje!,mnabadilishana mate nk. Hapa mi naona utakuwa na akili ya kuvalia nguo tu,huu ni utamaduni wa wapi?
Akili za wa2 kama hawa hazina tofauti na za kuku, bata ,mbwa, paka, nguruwe, punda, ng'ombe, mbuzi, vichaa, wehu, wendawazmu, machizi, wanga, wachawi, washirikina, mafedhuli na wengne wengi wafananao na hao!
Ukisikia the world of free will ndio hiyo,na ndiyo tunapoelekea. Zishaanza ndoa za jinsia moja,baadae zitapigiwa kelele ndoa za namna hiyo...utasikia "kwa kuwa wamependana na kuridhaiana wenyewe na hawavunji wala kunyang'anya haki ya mtu nao wanahaki kuishi watakavyo".
Mungu tunusuru.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.