Mkonowatembo
JF-Expert Member
- Sep 25, 2016
- 1,091
- 991
Msifikiri makonda aliposema viongozi wengi ni wanafiki aliropoka tu alimaanisha sana
Mimi niwambia 2025 ccm itakuwana mgombea mwigine kabisa mpaka sasa washauri wanampoteza kisomi wengi watz imani imepungua kwa 95%
Ngoja twaweza waingie kazini mwone
Mimi niwambia 2025 ccm itakuwana mgombea mwigine kabisa mpaka sasa washauri wanampoteza kisomi wengi watz imani imepungua kwa 95%
Ngoja twaweza waingie kazini mwone