Kwa hili la Biswalo, Chadema tujitafakari kwa kina!

Maramla

JF-Expert Member
Jan 8, 2014
581
642
KWA HILI LA BISWALO, CHADEMA TUJITAFAKARI KWA KINA!

Na, Julian Chacha – RORYA

Hivi karibuni kumeibuka utaratibu mpya wa kuitumia CHADEMA kama daraja la kupitisha hoja zenye maslahi binafsi kwa baadhi ya watu. Sisi wanachadema tuanelewa kwanini chama chetu kipo kilipo, hawa wanaojaribu kununua kesi binafsi kisha kuzivika gwanda la chama ionekane ni ajenda ya chama ni wahuni wasiovumilika. Martini Maranja kwa kushirikiana na Didier Mlawa (kigogo2014) ndio wanaoongoza kikundi cha kihuni katika mitandao kutumia mwamvuli wa chama na baadhi ya viongozi wetu wameingia king.

Hivi karibuni imeibuka hoja kuwa CHADEMA imemkataa Jaji Biswalo ambaye awali alikuwa DPP, Hivi sisi tumekosa hoja kiasi cha kufuata upepo wa kila linaloanzishwa na Mlawa katika mitandao? Hivi hatuna ajenda za namna bora ya kujijenga kama chama? Ni jitihada kama CHADEMA ni msingi zilizowezesha chama chetu kujenga mizizi na si stori za kihuni mitandaoni. Tujitafakari sana juu ya kuendesha chama, tujitofautishe na vyama vinavyojali fedha tu na umaarufu wa mitandaoni.

Ikiwa hali hii ya kufuata upepo itaendelea ndani ya CHADEMA, nitashawishi Vijana wa Rorya kuachana na CHADEMA maana haina haja ya kuwa na chama kinachoendeshwa kwa upepo wa siku katika mitandao. Tujiulize tumejipanga vipi na uchaguzi ujao? Tunawezesha vipi Vijana Kujifunza itikadi na sera za chama chetu au sera zetu ni kiki ya mitandaoni tu? Nani asiyejua kuwa CHADEMA haina mamlaka na uteuzi wa majaji? Stori kuwa kuna watu walionewa haimuhusu DPP yeye anafanya kazi kwa maelekezo ya sheria hivyo kumsulubu kwa kutimiza wajibu wake ni uzwazwa wa kiwango cha lami.

CHADEMA tuamke siasa si kupiga soga TL au Facebook. Siasa ni vitendo, tuende katika mitaa kueleza sera na itikadi za chadema badala ya kukaa nyuma ya kibodi tukiongozwa na Didie Mlawa ambaye mwaka jana alimtukana sana Mwenyekiti wetu Freeman Mbowe kuwa kageuza chama kuwa chanzo chake cha mapato na kuwa Mbowe ni mvunjifu wa katiba kwa uchu wa madaraka. Biswalo ni Jaji sisi sio mamlaka ya uteuzi tujikite katika kazi zetu za msingi ili tuweze kushika dola.
 
Utakuwa ama ni biswalo mwenyewe au una nasaba naye maana siyo kwa kujisafisha huku kwa brush ya CDM!

Anyway, uwe au usiwe yeye madhambi yako na roho mbaya yako pamoja na kutumika kwako na CCM yameanza kukugharimu! Unasahau kuwa kila mchimba kaburi huingia mwenyewe na Sasa yanatimia!

Hao uliowataja ni wapuliza filimbi tu usiwasingizie kwani waliyasema yaliyowakera wao. Nakushangaa kumtetea mtu aliyeitumia ofisi ya umma kujipatia kipato nje ya mishahara wake na aliyewapachika viongozi wa CDM kesi za kijinga zisizo na mbele Wala nyuma!

Wewe siyo mwanacdm ni mamluki kutoka mataga FC!
 
sa hv huwezi sikia habari za tume huru, Katiba mpya.... subir tukaribie uchaguz ndo wataanza dai
 
KWA HILI LA BISWALO, CHADEMA TUJITAFAKARI KWA KINA!

Na, Julian Chacha – RORYA

Hivi karibuni kumeibuka utaratibu mpya wa kuitumia CHADEMA kama daraja la kupitisha hoja zenye maslahi binafsi kwa baadhi ya watu. Sisi wanachadema tuanelewa kwanini chama chetu kipo kilipo, hawa wanaojaribu kununua kesi binafsi kisha kuzivika gwanda la chama ionekane ni ajenda ya chama ni wahuni wasiovumilika. Martini Maranja kwa kushirikiana na Didier Mlawa (kigogo2014) ndio wanaoongoza kikundi cha kihuni katika mitandao kutumia mwamvuli wa chama na baadhi ya viongozi wetu wameingia king.

Hivi karibuni imeibuka hoja kuwa CHADEMA imemkataa Jaji Biswalo ambaye awali alikuwa DPP, Hivi sisi tumekosa hoja kiasi cha kufuata upepo wa kila linaloanzishwa na Mlawa katika mitandao? Hivi hatuna ajenda za namna bora ya kujijenga kama chama? Ni jitihada kama CHADEMA ni msingi zilizowezesha chama chetu kujenga mizizi na si stori za kihuni mitandaoni. Tujitafakari sana juu ya kuendesha chama, tujitofautishe na vyama vinavyojali fedha tu na umaarufu wa mitandaoni.

Ikiwa hali hii ya kufuata upepo itaendelea ndani ya CHADEMA, nitashawishi Vijana wa Rorya kuachana na CHADEMA maana haina haja ya kuwa na chama kinachoendeshwa kwa upepo wa siku katika mitandao. Tujiulize tumejipanga vipi na uchaguzi ujao? Tunawezesha vipi Vijana Kujifunza itikadi na sera za chama chetu au sera zetu ni kiki ya mitandaoni tu? Nani asiyejua kuwa CHADEMA haina mamlaka na uteuzi wa majaji? Stori kuwa kuna watu walionewa haimuhusu DPP yeye anafanya kazi kwa maelekezo ya sheria hivyo kumsulubu kwa kutimiza wajibu wake ni uzwazwa wa kiwango cha lami.

CHADEMA tuamke siasa si kupiga soga TL au Facebook. Siasa ni vitendo, tuende katika mitaa kueleza sera na itikadi za chadema badala ya kukaa nyuma ya kibodi tukiongozwa na Didie Mlawa ambaye mwaka jana alimtukana sana Mwenyekiti wetu Freeman Mbowe kuwa kageuza chama kuwa chanzo chake cha mapato na kuwa Mbowe ni mvunjifu wa katiba kwa uchu wa madaraka. Biswalo ni Jaji sisi sio mamlaka ya uteuzi tujikite katika kazi zetu za msingi ili tuweze kushika dola.
Yaani umeanza vizuri sana kisha umeboronga, Magufuli alitumia Tsh 4.3 Bilioni kumtafuta Kigogo2014 bila mafanikio, halafu wewe kwenye huu uzi wako unakuja na majibu ya Tsh 100 eti Didier Mlawa ndo Kigogo2014, Aisee you've gone nuts....
 
Yaani umeanza vizuri sana kisha umeboronga, Magufuli alitumia Tsh 4.3 Bilioni kumtafuta Kigogo2014 bila mafanikio, halafu wewe kwenye huu uzi wako unakuja na majibu ya Tsh 100 eti Didier Mlawa ndo Kigogo2014, Aisee you've gone nuts....
Huna akili ,bichwa limejaa mavi.
 
sa hv huwezi sikia habari za tume huru, Katiba mpya.... subir tukaribie uchaguz ndo wataanza dai

Tume huru na katiba zimeanza kudaiwa toka 1992 mfumo wa vyama vingi ulipoanza hapa nchini, je vimepatikana? Unaposema tunasubiri wakati wa uchaguzi unamaanisha nini? Nyinyi sio ndio mnaorukia mambo watu wakidai hiyo katiba muda wowote mnasema ni kutaka kuvuruga amani yan chi,na ni wakati wa kujenga nchi? Yule askofu juzi si kaandaa maaandamano ya kudai tume huru ya uchaguzi vyombo vya dola vikamuweka ndani? Hebu tuliza msambwanda huo.
 
KWA HILI LA BISWALO, CHADEMA TUJITAFAKARI KWA KINA!

Na, Julian Chacha – RORYA

Hivi karibuni kumeibuka utaratibu mpya wa kuitumia CHADEMA kama daraja la kupitisha hoja zenye maslahi binafsi kwa baadhi ya watu. Sisi wanachadema tuanelewa kwanini chama chetu kipo kilipo, hawa wanaojaribu kununua kesi binafsi kisha kuzivika gwanda la chama ionekane ni ajenda ya chama ni wahuni wasiovumilika. Martini Maranja kwa kushirikiana na Didier Mlawa (kigogo2014) ndio wanaoongoza kikundi cha kihuni katika mitandao kutumia mwamvuli wa chama na baadhi ya viongozi wetu wameingia king.

Hivi karibuni imeibuka hoja kuwa CHADEMA imemkataa Jaji Biswalo ambaye awali alikuwa DPP, Hivi sisi tumekosa hoja kiasi cha kufuata upepo wa kila linaloanzishwa na Mlawa katika mitandao? Hivi hatuna ajenda za namna bora ya kujijenga kama chama? Ni jitihada kama CHADEMA ni msingi zilizowezesha chama chetu kujenga mizizi na si stori za kihuni mitandaoni. Tujitafakari sana juu ya kuendesha chama, tujitofautishe na vyama vinavyojali fedha tu na umaarufu wa mitandaoni.

Ikiwa hali hii ya kufuata upepo itaendelea ndani ya CHADEMA, nitashawishi Vijana wa Rorya kuachana na CHADEMA maana haina haja ya kuwa na chama kinachoendeshwa kwa upepo wa siku katika mitandao. Tujiulize tumejipanga vipi na uchaguzi ujao? Tunawezesha vipi Vijana Kujifunza itikadi na sera za chama chetu au sera zetu ni kiki ya mitandaoni tu? Nani asiyejua kuwa CHADEMA haina mamlaka na uteuzi wa majaji? Stori kuwa kuna watu walionewa haimuhusu DPP yeye anafanya kazi kwa maelekezo ya sheria hivyo kumsulubu kwa kutimiza wajibu wake ni uzwazwa wa kiwango cha lami.

CHADEMA tuamke siasa si kupiga soga TL au Facebook. Siasa ni vitendo, tuende katika mitaa kueleza sera na itikadi za chadema badala ya kukaa nyuma ya kibodi tukiongozwa na Didie Mlawa ambaye mwaka jana alimtukana sana Mwenyekiti wetu Freeman Mbowe kuwa kageuza chama kuwa chanzo chake cha mapato na kuwa Mbowe ni mvunjifu wa katiba kwa uchu wa madaraka. Biswalo ni Jaji sisi sio mamlaka ya uteuzi tujikite katika kazi zetu za msingi ili tuweze kushika dola.

Anzisha chama chako upite nyumba kwa nyumba ueneze sera zako, cdm hakihitaji ushauri wako. Cdm wako kabla ya huyo unayemuita kigogo, na suala la kusema majaji wabovu lilikuwepo toka zamani, rejea Hansard za bunge Tundu Lisu alipowataka majaji wenye uwezo duni. Kwa hiyo cdm wakiona mtu muovu anapewa nafasi wasiseme, kisa huku mitandaoni kuna watu wengine wanasema ubovu wa mtu huyo?

Dunia ya sasa hivi hukwepi mitandao maana ndio kuliko na taarifa zote. Hao unaotaka wafuatwe nyumba kwa nyumba ndio hao hao wanaoingia huku mitandaoni. Inaonekana ww ni mzee, au mfanya fitina za siasa chafu, unataka cdm watumie mbinu ambazo ni rahisi kudhibitiwa na vyombo vya dola vinavyofuata kila amri ya viongozi wachovu wa ccm.

Eti Biswalo anafuata sheria, hizo sheria zenye nia ovu unataka watu waziheshimu iko iweje kwa mfano? Kama kila sheria ni ya kufuata, Nyerere na Tanzania kwanini walikuwa wanamuunga mkono Mandela na weusi wa Afrika kusini kutokufuata sheria halali za nchi yao? Mpuuzi mkubwa ww, mlipokuwa mnafyata maagizo ya yule dhalimu mlidhani watu wamelala kisa mlikuwa mnawateka na kuwaua?
 
CHADEMA wanadili na watu badala ya kudili na Chama Cha mapinduzi pamoja na serikali take..wanasahau Sheria mbovu ziliko bungeni zilizotungwa enzi za Mwendazake.

Watulie waamgalie upepo unaendaje la sivyo watajikuta 2025 hii hapa na hakuna hoja yoyote waliyofanikiwa.
 
Back
Top Bottom