Kwa Hili la 49% Mwakyembe apingwe kila kona

MFUKUZI

JF-Expert Member
Mar 1, 2011
933
699
Kwanza niseme Mimi ni Simba lialia ila tamko la leo la Waziri Mwakyembe limenifanya nitafakari sana na kurudisha kumbukumbu zangu nyuma. Ikapelekea kuunganisha dots kwa matukio ya kukwamisha maendeleo ya Simba tangu wazo la kubadili mfumo wa uendeshaji wa club hii

Mwanzo kabisa MO alipotaka asilimia 50 akawekewa kigingi na serikali kutoa maelekezo ya asilimia 49.

Pili figisu za viongozi wa Simba kuwekwa ndani na mchakato wa katiba kicheleweshwa.

Tatu kuibuliwa kwa wazee kama Kilomani kupinga maamuzi halali ya vikao.

Leo Waziri anakuja na tukio jingine la kuturudisha nyuma.

Niseme hivi, kwa tamko la leo tumwombe Waziri afute kauli yake la sivyo ni yeye ndo anayemtuma Mzee Kilomani na anayekuja kulipua bomu kama si kesho ili kurudisha mafanikio ya Simba nyuma.

Niwaombe wanasimba wote tusikubali Waziri huyu kuturudisha nyuma. Popote atakapoonekana tumpinge na kumwonyesha nguvu yetu.

Wanasimba tuliamua namna ya uendeshaji wa timu yetu. Mbona serikali haojajiwekea hizo asilimia kwenye mashirika yake. Kuna mashirika yaliuzwa bure kwa asilia 100 bila hata cent serikali kupata.

Asitufanye tulichukie soka la bongo. Maamuzi ya Waziri yataathiri mechi za Taifa stars hususan mechi ya kesho kutwa dhidi ya Kenya.

Naomba ajitokeze na afute agizo lake
 
Kwanza niseme Mimi ni Simba lialia ila tamko la leo la Waziri Mwakyembe limenifanya nitafakari sana na kurudisha kumbukumbu zangu nyuma. Ikapelekea kuunganisha dots kwa matukio ya kukwamisha maendeleo ya Simba tangu wazo la kubadili mfumo wa uendeshaji wa club hii

Mwanzo kabisa MO alipotaka asilimia 50 akawekewa kigingi na serikali kutoa maelekezo ya asilimia 49.

Pili figisu za viongozi wa Simba kuwekwa ndani na mchakato wa katiba kicheleweshwa.

Tatu kuibuliwa kwa wazee kama Kilomani kupinga maamuzi halali ya vikao.

Leo Waziri anakuja na tukio jingine la kuturudisha nyuma.

Niseme hivi, kwa tamko la leo tumwombe Waziri afute kauli yake la sivyo ni yeye ndo anayemtuma Mzee Kilomani na anayekuja kulipua bomu kama si kesho ili kurudisha mafanikio ya Simba nyuma.

Niwaombe wanasimba wote tusikubali Waziri huyu kuturudisha nyuma. Popote atakapoonekana tumpinge na kumwonyesha nguvu yetu.

Wanasimba tuliamua namna ya uendeshaji wa timu yetu. Mbona serikali haojajiwekea hizo asilimia kwenye mashirika yake. Kuna mashirika yaliuzwa bure kwa asilia 100 bila hata cent serikali kupata.

Asitufanye tulichukie soka la bongo. Maamuzi ya Waziri yataathiri mechi za Taifa stars hususan mechi ya kesho kutwa dhidi ya Kenya.

Naomba ajitokeze na afute agizo lake
Uandishi gani huu? si useme alichozungumza, wewe unadhani watu wote tumesikia.
 
apingwe na nani,wewe mwenyewe umeshafuatilia na kujua vifungu vya sheria katika uwekezaji kwenye vilabu vyetu vinasemaje au ni watu wa kulalama tu ili upate wa kukuunga mkono
 
Hiyo ndio sababu ya kugawa hisa 49 kwa wawekezaji zaidi ya 3...
Iko hivi,.. Hizi taasisi mbili Simba na Yanga ni team zenye washabiki na wanachama wengi zaidi ya Chama chochote cha siasa hapa nchini,.. Mwekezaji mmoja mwenye hisa 49 ana nguvu na sauti kubwa sana katika msukumo wa sauti ya watu wake. Wamejifunza Congo kwa Moisse Katumbi,.. Mtu huyu anapohitaji hata kuingia kwenye siasa, basi wanachama na mashabiki huwa mtaji mkubwa katika kupambana na nguvu iliyopo madarakani, hivyo, kusiwepo na taasisi yoyote yenye nguvu katika idadi ya watu zaidi ya Chama tawala... Ichukue hiyo na ndivyo ilivyo..
 
Mzee Kilomoni ndio Cyprian Musiba wa Tasnia ya Michezo

Mkimzingua atalipua Clips zenu sasa hivi mkipanga kumhujumu Mzee


MO akafanye shughuli zingine aachane na Team zetu hizi maana yatamkuta kama ya Manji, Malinzi na Wambura
 
simba walikuwa na wazo zuri la kutafuta wawekezaji lakini tatizo lilikuwa mchakato wake. Kwanza alikuja Mo dewji na bei yake mkononi akasema anataka asilimia 51 kwa shilingi bilioni 20 kiuhalisia ilitakiwa itafutwe thamani ya simba ili ijulikane kama kweli pesa anazotoa zinalingana na hiyo pesa. Baada ya sheria kubadirishwa akakubali kutoa kiasi hichohicho kwa asilimia 49 kwa maana nyingine simba haikufanyiwa tathimini kabla ya kubadirisha mfumo na mpaka sasa bado hajatoa pesa kwa kudai mpaka yafanyike mahesabu kitu ambacho kilitakiwa kufanywa kabla ya simba kuingia kwenye mabadiriko.Wakati simba inatangaza kuingia kwenye mabadiriko ilianza kupokea pesa toka kwa Mo dewji hali ambayo ilizuia watu wengine ama wenye uwezo mkubwa kuingia kwenye mchakato huona ndio maana simba iliposaini mkataba na sportpesa Mo dewji alikuja juu ingawa wakati huo bado alikuwa hajakabidhiwa timu.Kazi ya mdhamini ni nini? kazi ya mzee ni kutunza mali ziwe za chama, taasisi, shule au vilabu vya mpira. Si sahihi Mo dewji kudai hati ya jengo la msimbazi wakati sio yeye anatakiwa kutunza mali za simbana hata uwekezaji wake haujazidi nusu maana ni 49%.Simba inabidi wakae chini watumie busara kumaliza huu mzozo vinginevyo hali itakuwa mbaya.
 
Safi sana hakuna kwenda kwenye hiyo mechi. Yeye anadhani ni nani si ni mtu kama sisi dadeki.
Sisi Yanga tunaenda pamoja na Mzee Kilomoni na Bi Hindu. Leo hii mnataka tuungane kwenye majanga yenu,kipindi kile cha Manji na Akilimali mlikuwa mnafurahi sana
 
simba walikuwa na wazo zuri la kutafuta wawekezaji lakini tatizo lilikuwa mchakato wake. Kwanza alikuja Mo dewji na bei yake mkononi akasema anataka asilimia 51 kwa shilingi bilioni 20 kiuhalisia ilitakiwa itafutwe thamani ya simba ili ijulikane kama kweli pesa anazotoa zinalingana na hiyo pesa. Baada ya sheria kubadirishwa akakubali kutoa kiasi hichohicho kwa asilimia 49 kwa maana nyingine simba haikufanyiwa tathimini kabla ya kubadirisha mfumo na mpaka sasa bado hajatoa pesa kwa kudai mpaka yafanyike mahesabu kitu ambacho kilitakiwa kufanywa kabla ya simba kuingia kwenye mabadiriko.Wakati simba inatangaza kuingia kwenye mabadiriko ilianza kupokea pesa toka kwa Mo dewji hali ambayo ilizuia watu wengine ama wenye uwezo mkubwa kuingia kwenye mchakato huona ndio maana simba iliposaini mkataba na sportpesa Mo dewji alikuja juu ingawa wakati huo bado alikuwa hajakabidhiwa timu.Kazi ya mdhamini ni nini? kazi ya mzee ni kutunza mali ziwe za chama, taasisi, shule au vilabu vya mpira. Si sahihi Mo dewji kudai hati ya jengo la msimbazi wakati sio yeye anatakiwa kutunza mali za simbana hata uwekezaji wake haujazidi nusu maana ni 49%.Simba inabidi wakae chini watumie busara kumaliza huu mzozo vinginevyo hali itakuwa mbaya.
niwapi MO amedai hati mkuu
 
Hiyo ndio sababu ya kugawa hisa 49 kwa wawekezaji zaidi ya 3...
Iko hivi,.. Hizi taasisi mbili Simba na Yanga ni team zenye washabiki na wanachama wengi zaidi ya Chama chochote cha siasa hapa nchini,.. Mwekezaji mmoja mwenye hisa 49 ana nguvu na sauti kubwa sana katika msukumo wa sauti ya watu wake. Wamejifunza Congo kwa Moisse Katumbi,.. Mtu huyu anapohitaji hata kuingia kwenye siasa, basi wanachama na mashabiki huwa mtaji mkubwa katika kupambana na nguvu iliyopo madarakani, hivyo, kusiwepo na taasisi yoyote yenye nguvu katika idadi ya watu zaidi ya Chama tawala... Ichukue hiyo na ndivyo ilivyo..
Hii naweza kumeza sasa
 
Mwakyembe keshachoka na uzee.unamsumbua naomba rais aweke kijana kwenye hio nafasi. Unajua mzee akili zake zinarudi utotoni tumsamehe bure. Kama rais anampenda sana angemuweka kwenye zile wizara za wazee na wasiojiweza huko ndo watawezana lakini hii itampa pressure mzee wa watu na tunaweza kumkosa. Mh rais hebu lione hilo
 
Back
Top Bottom