kwa hili ITV wamenishangaza

kwa hili ITV wamenishangaza

Mkazuzu

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2008
Posts
449
Reaction score
559
tukiacha ushabiki wa kisiasa,leo habari kubwa ni waziri mkuu mstaafu bwana Edward Lowassa kuhamia CHADEMA,lakini ITV hawajaipa uzito habari hiyo.sote tunafahamu historia ya siasa hapa nchini,hivyo kitendo cha mtu aliyewahi kushika cheo kizito nchi hii kama Lowassa kuhamia upinzani siyo jambo la kutoipa coverage ya kutosha,sijui ndo kubalance habari huku!
 
mzee naangalia itv sasaivi ndio wanampa airtime jamaa anaongea kwa muda mrefu tu sasa. itv ndio pro lowasa kuliko wengine wote na walionyesha live kipindi chake tokea azam.
 
tukiacha ushabiki wa kisiasa,leo habari kubwa ni waziri mkuu mstaafu bwana Edward Lowassa kuhamia CHADEMA,lakini ITV hawajaipa uzito habari hiyo.sote tunafahamu historia ya siasa hapa nchini,hivyo kitendo cha mtu aliyewahi kushika cheo kizito nchi hii kama Lowassa kuhamia upinzani siyo jambo la kutoipa coverage ya kutosha,sijui ndo kubalance habari huku!

chief, unaangalia ITV ya nchi gani?
 
ITV wanaangalia fursa, wapi atapata viewers wengi. Ndio maana huwa anatoa coverage sana kwenye mikutano ya vyama vya upinzani. Kwasababu kule ndo kuna watu wengi wanaoangalia kituo chake.
This is business, no hard feeling..
 
Hahahaha,jamaa amekimbia alitaka hotuba yoote irejeshwe.
Hivi ni vyombi Binafsi,so vinamaamuzi yake.

Na lililokuwa likusubiriwa ni kwamba wengi walikuwa wanalijua hata kabla ya leo,so kulikuwa hakuna jipya saana kivile.
 
Usiondoke! Baada ya taarifa ya habari wanarusha tukio zima!
 
Imerushwa kwa muda mrefu kuliko zote. Nadhani ungesubiri wamalize habari yao ndio utoe hii post.
 
Na inarudiwa yote usiku huu baada ya habari
 
Wangeanza na iyo msingeangalia zingine kwa kila mmoja kujifanya mjuaji.
 
tukiacha ushabiki wa kisiasa,leo habari kubwa ni waziri mkuu mstaafu bwana Edward Lowassa kuhamia CHADEMA,lakini ITV hawajaipa uzito habari hiyo.sote tunafahamu historia ya siasa hapa nchini,hivyo kitendo cha mtu aliyewahi kushika cheo kizito nchi hii kama Lowassa kuhamia upinzani siyo jambo la kutoipa coverage ya kutosha,sijui ndo kubalance habari huku!

Acha kulia lia relax mtanyooka tu habari ndio ilikuwa ya kwanza kwenye mukhtasari na imewekwa kwenye section Ile ili kuunga na uchambuzi wa Julius Mtatiro.
 
Last edited by a moderator:
Mtoa mada uliwahi sana kuleta mada ulitakiwa usubirie kidogo..sasa si unaona wametoa vizuri tu na mchambuzi juu
 
tukiacha ushabiki wa kisiasa,leo habari kubwa ni waziri mkuu mstaafu bwana Edward Lowassa kuhamia CHADEMA,lakini ITV hawajaipa uzito habari hiyo.sote tunafahamu historia ya siasa hapa nchini,hivyo kitendo cha mtu aliyewahi kushika cheo kizito nchi hii kama Lowassa kuhamia upinzani siyo jambo la kutoipa coverage ya kutosha,sijui ndo kubalance habari huku!

...mbona mzigo wote unarushwa upya, waombe radhi mkuu kiungwana tu...
 
Back
Top Bottom