Kwa hili Fly Emirates mna kesi ya kujibu

Kwa hili Fly Emirates mna kesi ya kujibu

cj21125

JF-Expert Member
Joined
May 12, 2013
Posts
3,590
Reaction score
3,530
Fly Emirates kwa nini mlipokea dolla za yule mgonjwa aliyezidi uzito kama nauli ya kwenda kwenye matibabu kisha mkagoma kumpeleka India siku mliokuwa mmempangia kusafiri? Na je; kama mlitumia kisingizio cha ukubwa wa umbo lake; mbona mafisadi waliiba TWIGA kutoka mbuga za Arusha na Kilimanjaro kisha wakawapandisha kwenye ndege pale KIA bila tatizo lolote na wakapelekwa uarabuni? Kwani TWIGA na binadamu mgonjwa ni nani mwenye umbo kubwa?
 
Hivi wale twiga wa KIA walipakiwa kwenye ndege za abiria za Emirates?

Na je; kama mlitumia kisingizio cha ukubwa wa umbo lake; mbona mafisadi waliiba TWIGA kutoka mbuga za Arusha na Kilimanjaro kisha wakawapandisha kwenye ndege pale KIA bila tatizo lolote na wakapelekwa uarabuni? Kwani TWIGA na binadamu mgonjwa ni nani mwenye umbo kubwa?
 
Fly Emirates kwa nini mlipokea dolla za yule mgonjwa aliyezidi uzito kama nauli ya kwenda kwenye matibabu kisha mkagoma kumpeleka India siku mliokuwa mmempangia kusafiri? Na je; kama mlitumia kisingizio cha ukubwa wa umbo lake; mbona mafisadi waliiba TWIGA kutoka mbuga za Arusha na Kilimanjaro kisha wakawapandisha kwenye ndege pale KIA bila tatizo lolote na wakapelekwa uarabuni? Kwani TWIGA na binadamu mgonjwa ni nani mwenye umbo kubwa?

Familia ya Huyu kijana wakipata wakili mzuri ..Hii ni Kesi tamu Sana dhidi ya emirates

Pia ni FEDHEHA kubwa kwa emirates ..walishindwaje kuondoa viti ili AKAE Kama wafanyavyo...kitendo cha kupokea pesa na kughairisha huduma ni MKATABA tosha ..na pengine kughairisha kulitokana na uchu tu wa Kuuza siti ambazo kijana angekaa..na kukosa ubinadamu
 
wanasheria wenye utaalamu na hizo sheria za International Law of Carriage hapa kwetu ni wachache sana bt kwenye kesi kama hiyo bado hakuna sheria ambayo inawabana emirates,baada ya kuisikia hii case nikaamua nipitie kidogo vifungu vya sheria inayohusiana na usafiri wa anga wa kimataifa na ikimbukwe kuwa huwezi ukafanya kesi hizi kwa kutumia sheria za nchi husika pekee bali utatua internatinal convention ambayo hapa convention itakayotumika ni MONTREAL CONVENTION ambayo pia sheria hii haina kifungu chochote kinachomfunga ambacho kina mfanya carrier awe liable kwenye hii case.NB mnapochangia vitu kama hivi muwe na fact since this is the home of great thinkers
 
Wewe una gari ya tani moja jamaa kakuambia ana mzigo na akakukatia pesa ya trip moja na inapofika siku ya kusafirisha mzigo ukakuta kumbe ni tani tano, je utapakia au utarudisha hela? Uzito wA mwanadamu in average ni kilo 70. Sasa kama wewe ni kilo 250 Hilo ni tatizo lako. Kiti cha ndege wanakaa watu watatu au wanne na wote wanalipia. Je kama hicho kiti kinatosha watu wawili au watatu na wewe mmoja hakikutoshi, je ni busara kuchukua abiria mmoja uache wawili au watatu? Binafsi ningeacha mmoja nichukue wengi. Otherwise you have to buy 3 or 4 tickets to take the whole raw. Emirates hawana kesi.
 
Hoja yako ilikuwa ya msingi lakini pumba ulizoziweka mwishoni zimeonesha uwezo wako wa kufikiri ulipofikia. Sichangiiii

SAIZI YAKO Mkuu nahisi utanitafutia ban nikizidi kuchangia nakuuliza kaka kumbe sio kwenye siasa tu hata na kwenye maisha ya watu mnalipwa buku 7
 
Fly Emirates kwa nini mlipokea dolla za yule mgonjwa aliyezidi uzito kama nauli ya kwenda kwenye matibabu kisha mkagoma kumpeleka India siku mliokuwa mmempangia kusafiri? Na je; kama mlitumia kisingizio cha ukubwa wa umbo lake; mbona mafisadi waliiba TWIGA kutoka mbuga za Arusha na Kilimanjaro kisha wakawapandisha kwenye ndege pale KIA bila tatizo lolote na wakapelekwa uarabuni? Kwani TWIGA na binadamu mgonjwa ni nani mwenye umbo kubwa?
Ile habari mimi nimeisikia moja kwa moja wakati ndugu anasimulia kupitia ITV. Kwamba walinunua siti tatu... mgonjwa akaingizwa hadi ndani kwa bahati mbaya, kuna kitu kikashindikana... something like mgonjwa kushindwa kukaa au miguu kupita kati ya siti... all in all, situation ambayo ilikuwapo ni kwamba mgonjwa hakuwa na balance. Rubani akaenda hadi kwa mgonjwa na kumuuliza kama angeweza kukaa vizuri... marehemu akajibu kwamba hawezi! Now tell me, wewe ndo ungekuwa rubani ungeweza kurusha ndege wakati unafahamu kabisa kwamba kuna mgonjwa aliyeshindwa kukaa vizuri? Ungefanya nini... ungeahirisha safari moja kwa moja au kuomba mgonjwa ashushwe?
 
Familia ya Huyu kijana wakipata wakili mzuri ..Hii ni Kesi tamu Sana dhidi ya emirates

Pia ni FEDHEHA kubwa kwa emirates ..walishindwaje kuondoa viti ili AKAE Kama wafanyavyo...kitendo cha kupokea pesa na kughairisha huduma ni MKATABA tosha ..na pengine kughairisha kulitokana na uchu tu wa Kuuza siti ambazo kijana angekaa..na kukosa ubinadamu
Mikael... kaba ya kusema unatakiwa kwanza kuwa na uhakika na unachoongea. Emirates waliondoa viti vitatu (ndiyo ambayo vililipiwa) lakini bado kwa mgonjwa ikawa taabu kwake! Kabla ya kuruka, rubani alimwendea mgonjwa kama angeweza kukaa vizuri... mgonjwa mwenyewe akasema hawezi ndipo rubani akaamuru ateremshwe unless kama unataka kusema angepaa tu hivyo hivyo! Bila shaka wewe sio mgeni kwenye ndege na huenda ulibahatika kumuona yule marehemu hata kwenye TV! Kwa vile alivyo kukaa sawa sawa labda ingetakiwa kuondolewa na siti za mbele yake lakini ukiondoa siti just horizontally, bado isingesaidia!!
 
Wewe una gari ya tani moja jamaa kakuambia ana mzigo na akakukatia pesa ya trip moja na inapofika siku ya kusafirisha mzigo ukakuta kumbe ni tani tano, je utapakia au utarudisha hela? Uzito wA mwanadamu in average ni kilo 70. Sasa kama wewe ni kilo 250 Hilo ni tatizo lako. Kiti cha ndege wanakaa watu watatu au wanne na wote wanalipia. Je kama hicho kiti kinatosha watu wawili au watatu na wewe mmoja hakikutoshi, je ni busara kuchukua abiria mmoja uache wawili au watatu? Binafsi ningeacha mmoja nichukue wengi. Otherwise you have to buy 3 or 4 tickets to take the whole raw. Emirates hawana kesi.
Jamaa alilipiwa siti tatu lakini bado alishindwa kukaa ndipo rubani akaamuru ateremshwe... hao wanaoongea hawafahamu nini kilitokea na hata ukiangalia madai ya ndugu wa marehemu sio ni kwanini ndugu yao alishushwa bali wanataka kurejeshewa fedha zao! Fly Emirates wakasema zitarejeshwa lakini sio papo kwa pao kwavile zilishaingia kwenye vitabu... kwa akina sie tusiofahamu unaweza Fly Emirates usiwaelewe kwanini wasirudishe papo kwa papo kwavile tumeshazoea konda wa dala dala akakizingua, anakupa chako hapo hapo!!!
 
Fly Emirates kwa nini mlipokea dolla za yule mgonjwa aliyezidi uzito kama nauli ya kwenda kwenye matibabu kisha mkagoma kumpeleka India siku mliokuwa mmempangia kusafiri? Na je; kama mlitumia kisingizio cha ukubwa wa umbo lake; mbona mafisadi waliiba TWIGA kutoka mbuga za Arusha na Kilimanjaro kisha wakawapandisha kwenye ndege pale KIA bila tatizo lolote na wakapelekwa uarabuni? Kwani TWIGA na binadamu mgonjwa ni nani mwenye umbo kubwa?

Mimi nadhani huu ni ushauri mzuri , Emirate wanapaswa kulipa fidia ya mamilioni kwa kusababisha KIFO Cha huyu ndugu yetu au kwa kukata a kutekeleza makubaliano kwa makusudi au kwa kiburi tu kwani ndege husika ilikuepo na ilisafiri kwa ratiba kama ilivyotakiwa. Nadhani hapa kuna deal kwa mawakili waliobobea waisaidie hii familia . Pia kesi hii itakua msaada mkubwa kwa watu wengine ili wasiiamini sana Emirate ktk masuala muhimu kama haya yanayohusu Ugonjwa .
 
kama aliingia na wakaona anakosa balance basi hawana kosa. Mwisho angepata matatizo tu. Kufa kwake ni mpango wa Mungu.

Sahizi watu wanakufa, dawa hamna. Nani anahusika. Serikali!!!
 
Mikael... kaba ya kusema unatakiwa kwanza kuwa na uhakika na unachoongea. Emirates waliondoa viti vitatu (ndiyo ambayo vililipiwa) lakini bado kwa mgonjwa ikawa taabu kwake! Kabla ya kuruka, rubani alimwendea mgonjwa kama angeweza kukaa vizuri... mgonjwa mwenyewe akasema hawezi ndipo rubani akaamuru ateremshwe unless kama unataka kusema angepaa tu hivyo hivyo! Bila shaka wewe sio mgeni kwenye ndege na huenda ulibahatika kumuona yule marehemu hata kwenye TV! Kwa vile alivyo kukaa sawa sawa labda ingetakiwa kuondolewa na siti za mbele yake lakini ukiondoa siti just horizontally, bado isingesaidia!!

Viti vya Kule bussness class Mkuu ?
 
Jamaa alilipiwa siti tatu lakini bado alishindwa kukaa ndipo rubani akaamuru ateremshwe... hao wanaoongea hawafahamu nini kilitokea na hata ukiangalia madai ya ndugu wa marehemu sio ni kwanini ndugu yao alishushwa bali wanataka kurejeshewa fedha zao! Fly Emirates wakasema zitarejeshwa lakini sio papo kwa pao kwavile zilishaingia kwenye vitabu... kwa akina sie tusiofahamu unaweza Fly Emirates usiwaelewe kwanini wasirudishe papo kwa papo kwavile tumeshazoea konda wa dala dala akakizingua, anakupa chako hapo hapo!!!


Teh teeh teh teh teh teh
 
Mnaacha kuilaumu serikali yenu iliyoshindwa kuwajengea hospitali yenye kutibu magonjwa yasiyoambukiza kama hayo mnabaki kuwalaumu Wamanga wa Emirates...

Kwani Emirates imeingia mkataba na Watanzania kuwa itabeba kila mgonjwa mwenye kutaka kutibiwa nje ya nchi?

Serikali hii imesababisha watu wengi kupoteza uhai kwa sababu ya huduma mbovu na nyinginezo kukosekana kabisa hapa nchini.

Hebu wafikirie ndugu wengine wanaoshindwa hata kukata tiketi za ndege kwenda huko ng'ambo kutibiwa.

Mbona hao huwaanzishii uzi wa kuwatetea na kuiomba serikali iwakumbuke walau kwa kujenga kituo cha afya mahususi kwa magonjwa ya mifumo kama moyo n.k.!!!
 
Viti vya Kule bussness class Mkuu ?
Business class na mpunga wenyewe wa kuunga uunga huu??! Kwa business class siti tatu zingetosha kabisa kwavile kunakuwa na nafasi kubwa mbele ya kuweka miguu!
 
Jamaa alilipiwa siti tatu lakini bado alishindwa kukaa ndipo rubani akaamuru ateremshwe... hao wanaoongea hawafahamu nini kilitokea na hata ukiangalia madai ya ndugu wa marehemu sio ni kwanini ndugu yao alishushwa bali wanataka kurejeshewa fedha zao! Fly Emirates wakasema zitarejeshwa lakini sio papo kwa pao kwavile zilishaingia kwenye vitabu... kwa akina sie tusiofahamu unaweza Fly Emirates usiwaelewe kwanini wasirudishe papo kwa papo kwavile tumeshazoea konda wa dala dala akakizingua, anakupa chako hapo hapo!!!


Wabongo bwana??
Hivi unalinganisha usafiri wa ndege na daladala??
Pole mkuu. Uzi umeshikwa na watoto wa Mulugo.... nawaachia wenyewe!
 
Business class na mpunga wenyewe wa kuunga uunga huu??! Kwa business class siti tatu zingetosha kabisa kwavile kunakuwa na nafasi kubwa mbele ya kuweka miguu!

Umeshapanda ndege ukaona hivyo viti vikoje? Na kama bado ukitumia busara yako unadhani viko kama vya Hood bus au DarExpress??
 
Back
Top Bottom