Kwa hili bora waniue tu. Sio Makamba wala Rais nina imani nao kuhusu mradi wa Rufiji. Tumepigwa

Kiukweli serikali ya mama Ina boa Sana imejaa wahuni
Yan mm ninacho ona viongoz we2 kma wanazngua m2 mshahara analipwa mzuri sawa unaiba bac kamirisha ulicho ambiwa ufanye mfano mradi ndo huibe lakin ww unaiba ata mradi haujakamilisha yani unafnya hii nchi km ww sio mzawa daaa Tusipo jihurumia wenyewe nani atakae tuhurumia
 
Kiukweli serikali ya mama Ina boa Sana imejaa wahuni
Wakati wa jiwe ilikuwaje ni dikteta so mmeshamkumbuka jk na Leo hii yupo hapa mpanda na msafara chungu nzima ya magari sijui Ana maghala yake huku ya chakula na kufungasha unga anauwazia wfp.
Yaani bajeti aliyotumia mpaka hapa inatosha kujenga dispensary kadhaa na ni misururu ya magari.
Ngoja wajichotee hela zao watanzania ama binadamu wenyewe hawana shukrani.
Yaani wachote mpaka nchi ibaki Haina kitu.
Kama vipi kila kabila lichukue nchi yake ama mnataka mmoja kuwanyonya wote.ukanda utawala inafaa sana
 
Th thing is peoples compain too much without stamping their feet to the contrary. So expect the same every now and again.
Mpaka tukianza kulipa Kodi ya kuishi Tanzania ndo sijui wataamka.
Yaani wapigwe nasema ivi wapigwe mpaka wapate akili
 
Sina imani na Makamba na Rais Samia kuhusu mradi wa bwawa la Nyerere, huenda Makamba anatumiwa na nchi za kigeni.

Hivi huu mgao wa umeme mnaounaje? Kiukweli maswali ni mengi mno, wanasema wanarekebisha ili tuhamie kwenye umeme wa gesi, ukiwauliza kwa gesi ipi wakati gesi ina mwenyewe?

Utaratibu uliopo ni kuwa serikali kupitia Tanesco itanunua gesi kutoka kwa mwekezaji pale mtwara wakishanunua ndo nao wazalishie umeme na watuuzie.

Zamani nilifikirigi ni serikali inachukua tu gesi yake inazalisha umeme kumbe sio kweli kumbe tunaenda kununua gesi kutoka kwa hao wawekezaji wenye vitalu then wanatuuzia na sisi ndo tunaipeleka Tanesco wanazalisha umeme nao wanauuza kwa wananchi.

JPM baada ya kuingia madarakani na kugundua gesi ilishachukuliwa na mikataba ishasainiwa huwezi kuivunja, ilibidi kinyonge akubali tu kuwa tushapigiwa.

Unaambiwa hakuna mkataba ulimuumaga Magufuli kama mkataba wa gesi wa Mtwara, mzee wa watu akaona isiwe kesi akaona wacha apambane ajenge mradi wa Steglaz wa bwawa la Nyerere tupate megawatt 2200 kwa wakati mmoja.

Umeme ambao ni mwingi kwani hata mamitambo yote ya gesi yaliyoko nchi hii uyaunganishe yote hayawezi toa megawat 300 lakini maporomoko ya Rufiji Nyerere Dam pekee yatatoa megawatt 2200 kwa wakati mmoja huu ni umeme mwingi tutauza nchi zaidi ya 5 nje!

Lakini cha ajabu sasahivi wameachana na huu mradi ghafla wamerukia kwenye umeme wa gesi.

Wamerukia kwenye umeme wa gesi ambao ni ghali na gharama kubwa kwa faida ya nani? Ni nani anafaidika na hiyo mikataba ya gesi? Ninani yupo nyuma ya hili?

Kwanini wameacha umeme nafuu wa bwawa la Nyerere na umeme wa uhakika na bei rahisi na kurukia umeme wa gesi ambao ni ghali na ni gesi ya kununua kwa mwekezaji?

Nani atafaidika tukianza kununua gesi kwa mwekezaji halafu wanatupangia bei halafu na tanesco watuuzie hawaoni ni biashara kichaa ya hasara watakaofaidika ni wawekezaji wanaotuuzia gesi yetu wenyewe?

Muulizeni Makamba iko wapi output ya mradi wa gesi wa Kinyerezi? maana nasikia megawatts zilizotarajiwa zingepatkana hazijafikia hata nusu?

Hivi mnajua mradi wa bomba la gesi Mtwara inasemekana serikali ya Jk ilikopa? Mradi wa gesi wa Kinyerezi wa gesi pia walikopa sasa chukua hyo mikopo yote jumlisha na bado hiyo gesi watauziwa na mwekezaji maana gesi siyo yetu tena bado watapangiwa bei ya kutuuzia umeme hao tanesco sasa kwa haya yote mnadhani tutafaidika nini kama nchi?

Hivi wanadhani mwendazake alikua hana akili alivyoachana na haya mauzauza ya gesi? Hivi hawa jamaa wanatuonaje?

Makamba aliingia mkataba na kampuni ya kihindi kutoka India kwa ajili ya kukodi app (application software) ya kutumika Tanesco eti hiyo software alikodi kwa bilioni 70 jamani hii nchi daaah, bilioni 70 ukodi software? Uwiiii hivi kuhama bongo unabonyeza ngapi?

Ilitakiwa ikifika November 2021 bwawa la Nyerere liwe limeshajazwa maji tayari kwa kuanza kazi, lakini cha ajabu Mama akamtoa Waziri Kalemani mchapakazi na akamuweka Makamba!

Hadi leo Kalemani katolewa bila kufanya kosa lolote lile. Halafu Makamba anaulizwa bungeni kwanini maji hayajajazwa hadi leo anatoa sababu ambazo hazieleweki, mara ooh et winchi ya kuchimbia moja haipo eti hadi iagizwe nje! Mara shimo lilikosewa kuchimbwa! Huu mradi nahisi unacheleweshwa tu, na nchi za magharibi wanaupiga vita huu mradi kwasababu.

Wanaupigavita huu mradi maana wanajua mkishakua na huu mradi tatizo la umeme litabaki historia nchini, na watapoteza soko la kuuza solar, majenereta, mafuta na maumeme yao ya ghali nchini.

Huu mradi unapigwa vita balaa kila rais alotaka kujenga huu mradi alizuiwa na kupigwa biti na wazungu na mabepari wa dunia hii kuanzia Nyerere, Mwinyi, Mkapa, JK

Wote walitaka jenga ila mabeberu wakawapiga biti wasijaribu JPM ndio mwanaume pekee alosema liwalo na liwe na siogopi, Uwiii sina imani na Makamba juu ya huu mradi. Sidhani kama ana nia ya huu mradi uishe hata maza simuamini ktka hili.

Jamani leo kwa mara ya 1 nasema simwamini mtu yeyote juu ya huu mradi sina imani kabisa na yoyote yule.

Bimkubwa kwanini alimtoa Kalemani? Unajua nyie watu mimi sielewi mjue! simwamini Makamba toka aingie ni migao tu ya umeme na umeme kukatika ovyo.

Sasa nitaamini vipi kwamba ana nia ya dhati ktk kukamilisha miradi ya mwendazake ambayo alijitoa sadaka liwalo na liwe ili huo mradi ujengwe?

Kwa hili na waniue kabisa lakini hivi vitu vinakera kabisa!!!

Kuna watu roho zinawauma sana kuona Rais anasimamia miradi yote mikubwa vizuri na inaenda kukamilika, napata sana shida kuona kwanini wanaumia hii miradi kuisha na huku mambo mengine yanakwenda vizuri……napata sana taabu kuelewa.
 
Gas yetu afu bado tunanunua? Hii nchi JK angetawala kwa miaka 20 tungepigwa mnada aseee. Moja ya maraisi walokua wanasaini mikataba ya hovyo sana ambayo haina maslahi kwa watanzania.

Hawangalii future ya watanzania wanajali matumbo yao hii ndo Tanzania. Hizi dhuluma wanazotufanyia Mungu atadeal nao.

Gas yetu ila bado tunanua inshort tumeuza au mikataba mibovu.
Gas yetu kwani unachimba wewe? Dhahabu zetu na almasi kwani tunapewa bure? na umeme wa maji ukikamilika tutapewa bure kwa kuwa maji yetu? Hakuna kitu cha bure na hoja sijui wanataka kutuuzia magenarator na solar hoja dhaifu sana hizo ni kazi za wachina wazungu wana deal na ma transformer huko sio vi solar. Nchi haina uwezo wala hatuna kiwanda chochote sio Tanzania tu africa kutengeneza Rig tu ya kuchimba Gas au Oil hatuna uwezi huo na wala utaalamu, makampuni makuwa kama Total, Halliburton au Shlumberger yana invest billions katika utaalamu kesho ndio wanakuja kutuuzia. Sasa hiyo kauli Gas yetu halafu wanatuuzia ujiulize kwanza nani anachimba na kuitoa hiyo Gas? unajuwa gharama zake operating cost?
 
Sina imani na Makamba na Rais Samia kuhusu mradi wa bwawa la Nyerere, huenda Makamba anatumiwa na nchi za kigeni.

Hivi huu mgao wa umeme mnaounaje? Kiukweli maswali ni mengi mno, wanasema wanarekebisha ili tuhamie kwenye umeme wa gesi, ukiwauliza kwa gesi ipi wakati gesi ina mwenyewe?

Utaratibu uliopo ni kuwa serikali kupitia Tanesco itanunua gesi kutoka kwa mwekezaji pale mtwara wakishanunua ndo nao wazalishie umeme na watuuzie.

Zamani nilifikirigi ni serikali inachukua tu gesi yake inazalisha umeme kumbe sio kweli kumbe tunaenda kununua gesi kutoka kwa hao wawekezaji wenye vitalu then wanatuuzia na sisi ndo tunaipeleka Tanesco wanazalisha umeme nao wanauuza kwa wananchi.

JPM baada ya kuingia madarakani na kugundua gesi ilishachukuliwa na mikataba ishasainiwa huwezi kuivunja, ilibidi kinyonge akubali tu kuwa tushapigiwa.

Unaambiwa hakuna mkataba ulimuumaga Magufuli kama mkataba wa gesi wa Mtwara, mzee wa watu akaona isiwe kesi akaona wacha apambane ajenge mradi wa Steglaz wa bwawa la Nyerere tupate megawatt 2200 kwa wakati mmoja.

Umeme ambao ni mwingi kwani hata mamitambo yote ya gesi yaliyoko nchi hii uyaunganishe yote hayawezi toa megawat 300 lakini maporomoko ya Rufiji Nyerere Dam pekee yatatoa megawatt 2200 kwa wakati mmoja huu ni umeme mwingi tutauza nchi zaidi ya 5 nje!

Lakini cha ajabu sasahivi wameachana na huu mradi ghafla wamerukia kwenye umeme wa gesi.

Wamerukia kwenye umeme wa gesi ambao ni ghali na gharama kubwa kwa faida ya nani? Ni nani anafaidika na hiyo mikataba ya gesi? Ninani yupo nyuma ya hili?

Kwanini wameacha umeme nafuu wa bwawa la Nyerere na umeme wa uhakika na bei rahisi na kurukia umeme wa gesi ambao ni ghali na ni gesi ya kununua kwa mwekezaji?

Nani atafaidika tukianza kununua gesi kwa mwekezaji halafu wanatupangia bei halafu na tanesco watuuzie hawaoni ni biashara kichaa ya hasara watakaofaidika ni wawekezaji wanaotuuzia gesi yetu wenyewe?

Muulizeni Makamba iko wapi output ya mradi wa gesi wa Kinyerezi? maana nasikia megawatts zilizotarajiwa zingepatkana hazijafikia hata nusu?

Hivi mnajua mradi wa bomba la gesi Mtwara inasemekana serikali ya Jk ilikopa? Mradi wa gesi wa Kinyerezi wa gesi pia walikopa sasa chukua hyo mikopo yote jumlisha na bado hiyo gesi watauziwa na mwekezaji maana gesi siyo yetu tena bado watapangiwa bei ya kutuuzia umeme hao tanesco sasa kwa haya yote mnadhani tutafaidika nini kama nchi?

Hivi wanadhani mwendazake alikua hana akili alivyoachana na haya mauzauza ya gesi? Hivi hawa jamaa wanatuonaje?

Makamba aliingia mkataba na kampuni ya kihindi kutoka India kwa ajili ya kukodi app (application software) ya kutumika Tanesco eti hiyo software alikodi kwa bilioni 70 jamani hii nchi daaah, bilioni 70 ukodi software? Uwiiii hivi kuhama bongo unabonyeza ngapi?

Ilitakiwa ikifika November 2021 bwawa la Nyerere liwe limeshajazwa maji tayari kwa kuanza kazi, lakini cha ajabu Mama akamtoa Waziri Kalemani mchapakazi na akamuweka Makamba!

Hadi leo Kalemani katolewa bila kufanya kosa lolote lile. Halafu Makamba anaulizwa bungeni kwanini maji hayajajazwa hadi leo anatoa sababu ambazo hazieleweki, mara ooh et winchi ya kuchimbia moja haipo eti hadi iagizwe nje! Mara shimo lilikosewa kuchimbwa! Huu mradi nahisi unacheleweshwa tu, na nchi za magharibi wanaupiga vita huu mradi kwasababu.

Wanaupigavita huu mradi maana wanajua mkishakua na huu mradi tatizo la umeme litabaki historia nchini, na watapoteza soko la kuuza solar, majenereta, mafuta na maumeme yao ya ghali nchini.

Huu mradi unapigwa vita balaa kila rais alotaka kujenga huu mradi alizuiwa na kupigwa biti na wazungu na mabepari wa dunia hii kuanzia Nyerere, Mwinyi, Mkapa, JK

Wote walitaka jenga ila mabeberu wakawapiga biti wasijaribu JPM ndio mwanaume pekee alosema liwalo na liwe na siogopi, Uwiii sina imani na Makamba juu ya huu mradi. Sidhani kama ana nia ya huu mradi uishe hata maza simuamini ktka hili.

Jamani leo kwa mara ya 1 nasema simwamini mtu yeyote juu ya huu mradi sina imani kabisa na yoyote yule.

Bimkubwa kwanini alimtoa Kalemani? Unajua nyie watu mimi sielewi mjue! simwamini Makamba toka aingie ni migao tu ya umeme na umeme kukatika ovyo.

Sasa nitaamini vipi kwamba ana nia ya dhati ktk kukamilisha miradi ya mwendazake ambayo alijitoa sadaka liwalo na liwe ili huo mradi ujengwe?

Kwa hili na waniue kabisa lakini hivi vitu vinakera kabisa!!!
siyo wewe tu haata mimi sina imani na Makamba na huyo mama yake kuhusu Bwawa la Nyerere, linahujumiwa lisikamilike na halitokamilika kamwe, mbali na Bwawa pia Daraja la Magufuli Kigongo Ferry kumalizika ni ndoto, mtakuja kunishushua siku moja kama kweli litakamilika
 
Hii nchi ilikua inapotea tumshukuru sana JPM mikataba mingi alivunja na kufanya amendement hali ilikua ni mbaya sana.

Mkataba waa gas ndio ulimshinda hizo ni rasilimali ilizobidi zitupatie pesa mingi lakini kuna mtu huko alisaini mkataba wa hovyo leo hii tunauziwa gas bei juu.

Asilimia kubwa gas inasafirishwa nje yaani
Bei ya Gas na mafuta mpaka dhahabu haipangwi na mtu ni soko la dunia demand and supply hata mazao yetu tunalima wenyewe lakini soko linaamuwa bei sio serikali wala mtu mmoja. Gas inauzwa nje ndio kwenye dollar sasa wauze Tsh kwani ulisikia nyanya zile.
 
Yan mm ninacho ona viongoz we2 kma wanazngua m2 mshahara analipwa mzuri sawa unaiba bac kamirisha ulicho ambiwa ufanye mfano mradi ndo huibe lakin ww unaiba ata mradi haujakamilisha yani unafnya hii nchi km ww sio mzawa daaa Tusipo jihurumia wenyewe nani atakae tuhurumia
Nani kaiba?
 
Bei ya Gas na mafuta mpaka dhahabu haipangwi na mtu ni soko la dunia demand and supply hata mazao yetu tunalima wenyewe lakini soko linaamuwa bei sio serikali wala mtu mmoja. Gas inauzwa nje ndio kwenye dollar sasa wauze Tsh kwani ulisikia nyanya zile.

Price is determined when Demand = Supply ila kuna gvt measures za kureduce inflation kama wewe umesoma vzr uchumi. Haiwezekani Gas inachimbwa kwako lazma uangalia fair kwa wananchi wako na sio unakwenda kutoza viwandani tena kwenye bidhaa muhimu una expect nn?. Tunafaham bei zinapanda kwasabu serikali inachukua tozo viwandani pia tushajua tayri mchawi ni nani ni serikali.

Mkuu kama wewe una maisha mazuri una afford basic needs mshukuru sana Mungu, kuna watanzania wana maisha magumu sana natembea kona zote za Tz hali ni mbaya sana kama wewe mjin unanunua mafuta ya kura kwa 8,000 wa kule ndani kabisa bush atanunua kwa sh ngapi?

Hapa tunajadili maslah ya Taifa kwa ujumla tuweke utim pembeni.
 
Gas yetu kwani unachimba wewe? Dhahabu zetu na almasi kwani tunapewa bure? na umeme wa maji ukikamilika tutapewa bure kwa kuwa maji yetu? Hakuna kitu cha bure na hoja sijui wanataka kutuuzia magenarator na solar hoja dhaifu sana hizo ni kazi za wachina wazungu wana deal na ma transformer huko sio vi solar. Nchi haina uwezo wala hatuna kiwanda chochote sio Tanzania tu africa kutengeneza Rig tu ya kuchimba Gas au Oil hatuna uwezi huo na wala utaalamu, makampuni makuwa kama Total, Halliburton au Shlumberger yana invest billions katika utaalamu kesho ndio wanakuja kutuuzia. Sasa hiyo kauli Gas yetu halafu wanatuuzia ujiulize kwanza nani anachimba na kuitoa hiyo Gas? unajuwa gharama zake operating cost?

Wewe nishakuona fala, ukitoka hapo kwa shemej yako utajua tunaongela suala gani. Hayo yote unayoongea yanajulikana. Hivi unajua kwenye gas hatuna chetu pale? Mtu anapewa fungu anasain mikataba ya hovyo, fu***
 
Kama tungekuwa na wabunge Kama enzi zileee, tunavyo ongea sasa hivi Jm angekuwa hayupo ofcn, maana hoja Ni nyingi ambazo nae ameshindwa kuzijibu, nafsi pekee aliyo nayo Ni ku step down, huwezi kuwa kiongozi ambae unalalamika tuuuuuuu, huna solution, huna vision, huna plans, ok umekosa yote hayo hata tu kujua kuwa nn ufanye hakuna?? Anyway kunaukwel btn the events kuwa he has a mission, and once accomplished, he will step away,

Nnamkumbusha tu hatuhitaji miaka 4 ya kumpima, Wala mitatu, tunachohitaji Ni Umeme, Basi, tuambie hizo 2000+m zinaingizwa lini kwenye gride ya taifa, mambo mengine Ni mbwembe tu..
 
Price is determined when Demand = Supply ila kuna gvt measures za kureduce inflation kama wewe umesoma vzr uchumi. Haiwezekani Gas inachimbwa kwako lazma uangalia fair kwa wananchi wako na sio unakwenda kutoza viwandani tena kwenye bidhaa muhimu una expect nn?. Tunafaham bei zinapanda kwasabu serikali inachukua tozo viwandani pia tushajua tayri mchawi ni nani ni serikali.

Mkuu kama wewe una maisha mazuri una afford basic needs mshukuru sana Mungu, kuna watanzania wana maisha magumu sana natembea kona zote za Tz hali ni mbaya sana kama wewe mjin unanunua mafuta ya kura kwa 8,000 wa kule ndani kabisa bush atanunua kwa sh ngapi?

Hapa tunajadili maslah ya Taifa kwa ujumla tuweke utim pembeni.
Huongop kk Tanzania ssa hiv maisha yamekuwa magum
 
Huyu mwezi wa kwanza, anasubiri mini kupisha hiyo ofsi,?

Hakuna anachofanya, ninamashaka na watu wenye kutokuwa na nywele mwaka mzima
 
Kama tungekuwa na wabunge Kama enzi zileee, tunavyo ongea sasa hivi Jm angekuwa hayupo ofcn, maana hoja Ni nyingi ambazo nae ameshindwa kuzijibu, nafsi pekee aliyo nayo Ni ku step down, huwezi kuwa kiongozi ambae unalalamika tuuuuuuu, huna solution, huna vision, huna plans, ok umekosa yote hayo hata tu kujua kuwa nn ufanye hakuna?? Anyway kunaukwel btn the events kuwa he has a mission, and once accomplished, he will step away,

Nnamkumbusha tu hatuhitaji miaka 4 ya kumpima, Wala mitatu, tunachohitaji Ni Umeme, Basi, tuambie hizo 2000+m zinaingizwa lini kwenye gride ya taifa, mambo mengine Ni mbwembe tu..
Tatizo lipo kwa mama anateua ilimradi ni mfuasi wa mudy basi aangalii uwezo, angalia waziri wa viwanda yule wa mambo ya ndani yaani uwezo wao ni mdogo sana.

Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom