Mzee wa Usafi
JF-Expert Member
- Apr 16, 2008
- 645
- 294
Hbari za leo Great Thinkers. Leo nimebahatika kuwa jijini Mwanza katika pilika zangu za kutafuta kamuhogo. Bahati nzuri leo pia mgombea wa Chama Cha Mapinduzi Mh. John Pombe Magufuli yupo jijini kwa ajili ya kujinadi.
Wakati na ingia jijini Mwanza nikitokea Musoma , nilipofika Kisesa kuingia mjini nimekutana na makundi ya akina mama wamejikusanya kwenye vituo wakisubiri usafiri wa kuelekea kwenye Rally. Shamrashamra hizo zilikua zina zidi kila ninaposogelea mjini kati. Nilipofika mzunguko wa Nyerere niliamua kupitia barbara ya Pamba ili nishike barabara ya Kenyata...kwenye kituo cha Mafuta pale mkabala na stendi ya kwenda Igombe zilikuwepo bodaboda kama mia hivi zote zinapeperusha bendera za ccm kuulizia nikaambiwa kila bodaboda ilikuwa inawekewa mafuta lita 5, halafu unalamba elfu5 na kuwekewa bendera .
Pale Nyamagana daladala zilikuwa zinashusha watu halafu wanawezeshwa kwa Tshirts na buku tano kila mmoja.. Ilipofika saa nane wakatoka humo kwa maandamano, ukiziangalia hizo sura ambazo wengi ni wakina mama wengi unajuwa wamesombwa kutoka vijijini. Kuuulizia pale jamaa wakasema mbona shule zote za sekondari za serikali wameamuriwa na afisa elimu kupeleka watoto kwenye mkutano wa JPM wakiwa na nguo za kirai
Maswali
Kama ccm ni chama kikongwe kwanini kinanunua watu kwenda kwenye mkutano wao?
Kwanini iwalazimishe wanafunzi kwenda kwenye mkutano wao wa kampeni?
Pamoja na jopo la wasanii 60 kwanini hawajiamini?
Sio kwamba hapo wnataka kuwin psychology ya watu kuwa wao bado wako popular?
kampeni za gharama zote hizo ni kwa manufaa ya nani?
Wakati na ingia jijini Mwanza nikitokea Musoma , nilipofika Kisesa kuingia mjini nimekutana na makundi ya akina mama wamejikusanya kwenye vituo wakisubiri usafiri wa kuelekea kwenye Rally. Shamrashamra hizo zilikua zina zidi kila ninaposogelea mjini kati. Nilipofika mzunguko wa Nyerere niliamua kupitia barbara ya Pamba ili nishike barabara ya Kenyata...kwenye kituo cha Mafuta pale mkabala na stendi ya kwenda Igombe zilikuwepo bodaboda kama mia hivi zote zinapeperusha bendera za ccm kuulizia nikaambiwa kila bodaboda ilikuwa inawekewa mafuta lita 5, halafu unalamba elfu5 na kuwekewa bendera .
Pale Nyamagana daladala zilikuwa zinashusha watu halafu wanawezeshwa kwa Tshirts na buku tano kila mmoja.. Ilipofika saa nane wakatoka humo kwa maandamano, ukiziangalia hizo sura ambazo wengi ni wakina mama wengi unajuwa wamesombwa kutoka vijijini. Kuuulizia pale jamaa wakasema mbona shule zote za sekondari za serikali wameamuriwa na afisa elimu kupeleka watoto kwenye mkutano wa JPM wakiwa na nguo za kirai
Maswali
Kama ccm ni chama kikongwe kwanini kinanunua watu kwenda kwenye mkutano wao?
Kwanini iwalazimishe wanafunzi kwenda kwenye mkutano wao wa kampeni?
Pamoja na jopo la wasanii 60 kwanini hawajiamini?
Sio kwamba hapo wnataka kuwin psychology ya watu kuwa wao bado wako popular?
kampeni za gharama zote hizo ni kwa manufaa ya nani?