Kwa haya ya Mwanza, kuna bomu linatengenezwa

Kwa haya ya Mwanza, kuna bomu linatengenezwa

Mzee wa Usafi

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2008
Posts
645
Reaction score
294
Hbari za leo Great Thinkers. Leo nimebahatika kuwa jijini Mwanza katika pilika zangu za kutafuta kamuhogo. Bahati nzuri leo pia mgombea wa Chama Cha Mapinduzi Mh. John Pombe Magufuli yupo jijini kwa ajili ya kujinadi.

Wakati na ingia jijini Mwanza nikitokea Musoma , nilipofika Kisesa kuingia mjini nimekutana na makundi ya akina mama wamejikusanya kwenye vituo wakisubiri usafiri wa kuelekea kwenye Rally. Shamrashamra hizo zilikua zina zidi kila ninaposogelea mjini kati. Nilipofika mzunguko wa Nyerere niliamua kupitia barbara ya Pamba ili nishike barabara ya Kenyata...kwenye kituo cha Mafuta pale mkabala na stendi ya kwenda Igombe zilikuwepo bodaboda kama mia hivi zote zinapeperusha bendera za ccm kuulizia nikaambiwa kila bodaboda ilikuwa inawekewa mafuta lita 5, halafu unalamba elfu5 na kuwekewa bendera .

Pale Nyamagana daladala zilikuwa zinashusha watu halafu wanawezeshwa kwa Tshirts na buku tano kila mmoja.. Ilipofika saa nane wakatoka humo kwa maandamano, ukiziangalia hizo sura ambazo wengi ni wakina mama wengi unajuwa wamesombwa kutoka vijijini. Kuuulizia pale jamaa wakasema mbona shule zote za sekondari za serikali wameamuriwa na afisa elimu kupeleka watoto kwenye mkutano wa JPM wakiwa na nguo za kirai

Maswali
Kama ccm ni chama kikongwe kwanini kinanunua watu kwenda kwenye mkutano wao?
Kwanini iwalazimishe wanafunzi kwenda kwenye mkutano wao wa kampeni?
Pamoja na jopo la wasanii 60 kwanini hawajiamini?
Sio kwamba hapo wnataka kuwin psychology ya watu kuwa wao bado wako popular?

kampeni za gharama zote hizo ni kwa manufaa ya nani?
 
Hbari za leo Great Thinkers. Leo nimebahatika kuwa jijini Mwanza katika pilika zangu za kutafuta kamuhogo. Bahati nzuri leo pia mgombea wa Chama Cha Mapinduzi Mh. John Pombe Magufuli yupo jijini kwa ajili ya kujinadi.

Wakati na ingia jijini Mwanza nikitokea Musoma , nilipofika Kisesa kuingia mjini nimekutana na makundi ya akina mama wamejikusanya kwenye vituo wakisubiri usafiri wa kuelekea kwenye Rally. Shamrashamra hizo zilikua zina zidi kila ninaposogelea mjini kati. Nilipofika mzunguko wa Nyerere niliamua kupitia barbara ya Pamba ili nishike barabara ya Kenyata...kwenye kituo cha Mafuta pale mkabala na stendi ya kwenda Igombe zilikuwepo bodaboda kama mia hivi zote zinapeperusha bendera za ccm kuulizia nikaambiwa kila bodaboda ilikuwa inawekewa mafuta lita 5, halafu unalamba elfu5 na kuwekewa bendera .

Pale Nyamagana daladala zilikuwa zinashusha watu halafu wanawezeshwa kwa Tshirts na buku tano kila mmoja.. Ilipofika saa nane wakatoka humo kwa maandamano, ukiziangalia hizo sura ambazo wengi ni wakina mama wengi unajuwa wamesombwa kutoka vijijini. Kuuulizia pale jamaa wakasema mbona shule zote za sekondari za serikali wameamuriwa na afisa elimu kupeleka watoto kwenye mkutano wa JPM wakiwa na nguo za kirai

Maswali
Kama ccm ni chama kikongwe kwanini kinanunua watu kwenda kwenye mkutano wao?
Kwanini iwalazimishe wanafunzi kwenda kwenye mkutano wao wa kampeni?
Pamoja na jopo la wasanii 60 kwanini hawajiamini?
Sio kwamba hapo wnataka kuwin psychology ya watu kuwa wao bado wako popular?

kampeni za gharama zote hizo ni kwa manufaa ya nani?

mkuu vip wazee wa copy and paste wamedeki barabara? Maana staki kuja huko nyuki wafata njano na kijani waniume? Tupe habari kama kweli pombe kaaamua kupingana na lowasa
 
hata mie niko hapa nikiendelea na kuburudika na the big fiesta maana nona kundi kubwa la wasanii kama kinashilole; kwahiyo wengi wetu hapa tumekuja kuburudika tuu lakin kura zetu ni kwa Lowassa tuuuuuu..
 
Unataka wananchi watembee kwa miguu? Unataka pikipiki ziwekwe maji ili zitembee? Unauliza maswali ya kijinga kabisa.
 
kwa Akili yako mtoa uzi hivi hawa wote wanao onekana star tv unaweza kuwalipa? muache ujinga bana hata kama ni ushabiki tuweke pembeni bana!!!!
 
Si wanakusanyika pamoja ccm kwa ubora wao toka wilaya zote za mwanza, tatizo ninini?
 
Hbari za leo Great Thinkers. Leo nimebahatika kuwa jijini Mwanza katika pilika zangu za kutafuta kamuhogo. Bahati nzuri leo pia mgombea wa Chama Cha Mapinduzi Mh. John Pombe Magufuli yupo jijini kwa ajili ya kujinadi.

Wakati na ingia jijini Mwanza nikitokea Musoma , nilipofika Kisesa kuingia mjini nimekutana na makundi ya akina mama wamejikusanya kwenye vituo wakisubiri usafiri wa kuelekea kwenye Rally. Shamrashamra hizo zilikua zina zidi kila ninaposogelea mjini kati. Nilipofika mzunguko wa Nyerere niliamua kupitia barbara ya Pamba ili nishike barabara ya Kenyata...kwenye kituo cha Mafuta pale mkabala na stendi ya kwenda Igombe zilikuwepo bodaboda kama mia hivi zote zinapeperusha bendera za ccm kuulizia nikaambiwa kila bodaboda ilikuwa inawekewa mafuta lita 5, halafu unalamba elfu5 na kuwekewa bendera .

Pale Nyamagana daladala zilikuwa zinashusha watu halafu wanawezeshwa kwa Tshirts na buku tano kila mmoja.. Ilipofika saa nane wakatoka humo kwa maandamano, ukiziangalia hizo sura ambazo wengi ni wakina mama wengi unajuwa wamesombwa kutoka vijijini. Kuuulizia pale jamaa wakasema mbona shule zote za sekondari za serikali wameamuriwa na afisa elimu kupeleka watoto kwenye mkutano wa JPM wakiwa na nguo za kirai

Maswali
Kama ccm ni chama kikongwe kwanini kinanunua watu kwenda kwenye mkutano wao?
Kwanini iwalazimishe wanafunzi kwenda kwenye mkutano wao wa kampeni?
Pamoja na jopo la wasanii 60 kwanini hawajiamini?
Sio kwamba hapo wnataka kuwin psychology ya watu kuwa wao bado wako popular?

kampeni za gharama zote hizo ni kwa manufaa ya nani?
12079420_847267002060032_8136282891773562449_n.jpg
 
Wewe bwana unachofanya humu ni kuchekesha tu. Hivi unadhani wanachofanya chadema hakijulikani? Boda boda ni zile zile kasoro zinafungwa bendera tofauti tu. Ndiyo maana mafuriko ya kotekote yanafanana tu. Kula kwanza kura baadae. Usituchoshe ukadhani sisi hazimo kama wewe. Kama ndiyo mara yako ya kwanza kuingia mjini Mwanza tuulize wenyeji. Jijini hapa utapotea
 
kwa Akili yako mtoa uzi hivi hawa wote wanao onekana star tv unaweza kuwalipa? muache ujinga bana hata kama ni ushabiki tuweke pembeni bana!!!!

Mwambie huyo, sisi tumeshuhudia mikoa kibao tu watu wanawezeshwa tena ukawa ndo usiseme, kuwawezesha watu kuja kusikiliza sera sio tatizo
 
Back
Top Bottom