...Nani asiyejua kwamba msingi wa kufanikiwa kwa TANU, ni umoja wa TANU.
Kadhalika katika vyama vya ushirika au vyama vya wafanyakazi wanachama
wake wanaposhikana bega kwa bega, mambo yao yatawaendea vyema.
Wanachama wake wakigombana na kutengana, mambo yao na mambo ya taifa
zima yatakwenda tenge...
HICHO KILIKUWA NI KIPANDE CHA HOTUBA YA JK MWAKA 1961 UKILINGANISHA NA HAYA YANAYOTOKEA NDANI YA CCM HIVI SASA SI NDIYO HAYO ALIYOYASEMA NYERERE KTK HOTUBA YAKE ? NA SI MNAONA HIVI SASA MAMBO YA TAIFA YANAVYOKWENDA TENGE AU MRAMA KWA SABABU YA KUTOKUWA NA UMOJA HATA NDANI YA CHAMA CHETU KITUKUFU CHA CCM?
Kadhalika katika vyama vya ushirika au vyama vya wafanyakazi wanachama
wake wanaposhikana bega kwa bega, mambo yao yatawaendea vyema.
Wanachama wake wakigombana na kutengana, mambo yao na mambo ya taifa
zima yatakwenda tenge...
HICHO KILIKUWA NI KIPANDE CHA HOTUBA YA JK MWAKA 1961 UKILINGANISHA NA HAYA YANAYOTOKEA NDANI YA CCM HIVI SASA SI NDIYO HAYO ALIYOYASEMA NYERERE KTK HOTUBA YAKE ? NA SI MNAONA HIVI SASA MAMBO YA TAIFA YANAVYOKWENDA TENGE AU MRAMA KWA SABABU YA KUTOKUWA NA UMOJA HATA NDANI YA CHAMA CHETU KITUKUFU CHA CCM?