kwa hasira: hack for learning

kwa hasira: hack for learning

Chief-Mkwawa

Platinum Member
Joined
May 25, 2011
Posts
32,229
Reaction score
44,239
kuna tabia ya watu hapa jf mtu anapost kuhusu labda free internet au any hacking then watu wanampiga vijembe naombeni tujiulize mambo yafuatayo

1.kuna hackerz mzuri duniani kama jeshi la marekani? Elites wote wapo kwao satelite zao zaona hadi vyoo vya uswahilini visivyo na bati

2, je nisipojua kuhack ntapambanaje na hacker? Nitajuaje mbinu zake? Au nibaki kulalamika kila siku?

3, je ni kweli nikihack kitu nyumbani kwangu for learning purpose ni dhambi? Bila kukifanyia biashara public?

Baada ya kujiuliza hayo nawashauri watanzania wenzangu waamke nowadays hackers ndo nguzo ya science ya computer through hacking weakness ya system ndo inaonekana ni kama unavosema chama tawala na upinzani

Ila tusihack kwa biashara kama kuuza hio ni dhambi but kwa kuelimishana kama hapa jukwaani ni sahihi
 
kuna tabia ya watu hapa jf mtu anapost kuhusu labda free internet au any hacking then watu wanampiga vijembe naombeni tujiulize mambo yafuatayo

1.kuna hackerz mzuri duniani kama jeshi la marekani? Elites wote wapo kwao satelite zao zaona hadi vyoo vya uswahilini visivyo na bati

2, je nisipojua kuhack ntapambanaje na hacker? Nitajuaje mbinu zake? Au nibaki kulalamika kila siku?

3, je ni kweli nikihack kitu nyumbani kwangu for learning purpose ni dhambi? Bila kukifanyia biashara public?

Baada ya kujiuliza hayo nawashauri watanzania wenzangu waamke nowadays hackers ndo nguzo ya science ya computer through hacking weakness ya system ndo inaonekana ni kama unavosema chama tawala na upinzani

Ila tusihack kwa biashara kama kuuza hio ni dhambi but kwa kuelimishana kama hapa jukwaani ni sahihi

sawa sawa mkuu lakini siku zote kwenye msafara wa mamba , kenge hawakosekani ,na vile vile huu uwanja ni mkubwa xana yawezekana unapo posta maujanja ya kuchakachua kitu fulan unakuta wanaoponda nao hutumia njia hiyo hiyo kuwaweka town xaxa huwa wanaona kama mnawahalibia diri.
Na kwa sis tusiojua unakuwa bonge wa msaada.
Pomoja sana mkuu usikatishwe tamaa na vijembe vya wachache.
 
Mimi mwenyewe nilishaweka maujanja jinsi ya kuongeza spidi kwenye modem za airtel zinazokuja na line mpya na ujanja wanoutumia airtel wa kumpa zawadi mteja za 3gb ili atumie kwa wiki moja wakati wanafahamu line hiyo wameiseti kwa 2g badala ya 3g ambapo umetumia sana ni 1gb kwa wiki imeisha kwa maana 2gb zinarudi kwao,lakini wakuu walinibishia mpaka nilijuta kwanini nilandika hiyo thread.
 
Mimi mwenyewe nilishaweka maujanja jinsi ya kuongeza spidi kwenye modem za airtel zinazokuja na line mpya na ujanja wanoutumia airtel wa kumpa zawadi mteja za 3gb ili atumie kwa wiki moja wakati wanafahamu line hiyo wameiseti kwa 2g badala ya 3g ambapo umetumia sana ni 1gb kwa wiki imeisha kwa maana 2gb zinarudi kwao,lakini wakuu walinibishia mpaka nilijuta kwanini nilandika hiyo thread.
pole sana mkuu! Big up pia. Iyo k2 still works? Ningependa ungenipa link ya iyo thread yako. Naona nilipitwa na hili. Natanguliza shukran.
 
Back
Top Bottom