Kwa hali ya sasa kimaadili, nashauri watoto wawe wanaangalia tamthilia na katuni kutoka nchi za kiislam

gearbox

JF-Expert Member
Apr 20, 2024
464
1,248
Yani sikuhizi ukiangalia muvi / series utagundua kwamba wameanza kuyapa nafasi kubwa mambo flani kuonesha kwamba ni kawaida, its ok, hakuna tatizo, n.k.

Kuna kijana mdogo age kama 16 yupo hapa kwangu kwa masomo, akiwa free huwa anapenda kuangalia series kwenye tv, leo nimewasha tv nikakuta kaisahau flash nikaona acha niicheki hata kidogo labda nitaipenda hasa ukizingatia wahusika ni watu weusi, inaitwa all american, kwa ufupi ni ya michezo ila nikaanza kuona wanaume wanakiss, mwanamke ana girlfriend wake, mwanaume kabadili jinsia, n.k. kijana huwa namuona anaicheki bila tatizo, hii imenipa alert.

Nchi kama za ulaya na marekani tunaona kila siku zinavyozidi kupigia kampeni mahusiano ambayo ni kinyume na maadili yetu waafrika, Leo hii hata kiongozi mkuu wa kanisa katoliki Papa Francis karuhusu kutoa baraka, Inaleta hamasa kukuza haya mambo.

Kumekuwa na wimbi kubwa la tv, muvi na sasa wanaingia kwenye cartoons kupigia debe haya mambo yaonekane ni ya kawaida.

Ni heri kuwaonyesha watoto tamthilia / katuni kutoka nchi za kiislam
 
1000433720.jpg
 
kuna haja ya kuchunguza sana hizi series za huko marekani na ulaya
 
Nchi hizi zenye
Yani sikuhizi ukiangalia muvi / series utagundua kwamba wameanza kuyapa nafasi kubwa mambo flani kuonesha kwamba ni kawaida, its ok, hakuna tatizo, n.k.

Kuna kijana mdogo age kama 16 yupo hapa kwangu kwa masomo, akiwa free huwa anapenda kuangalia series kwenye tv, leo nimewasha tv nikakuta kaisahau flash nikaona acha niicheki hata kidogo labda nitaipenda hasa ukizingatia wahusika ni watu weusi, inaitwa all american, kwa ufupi ni ya michezo ila nikaanza kuona wanaume wanakiss, mwanamke ana girlfriend wake, mwanaume kabadili jinsia, n.k. kijana huwa namuona anaicheki bila tatizo, hii imenipa alert.

Nchi kama za ulaya na marekani tunaona kila siku zinavyozidi kupigia kampeni mahusiano ambayo ni kinyume na maadili yetu waafrika, Leo hii hata kiongozi mkuu wa kanisa katoliki Papa Francis karuhusu kutoa baraka, Inaleta hamasa kukuza haya mambo.

Kumekuwa na wimbi kubwa la tv, muvi na sasa wanaingia kwenye cartoons kupigia debe haya mambo yaonekane ni ya kawaida.

Ni heri kuwaonyesha watoto tamthilia / katuni kutoka nchi za kiislam
inchi hizi zenye Isis,hamas,hizbullah,Biko haram na Houthi?
 
Aliyekuambia nchi za kiislam zina utakufu zaidi kuliko nchi zingine za dunia hii ni nani? Unaandika utadhani ni mtoto wa primary asiyejua mipaka ya dunia kitamaduni. Unaambiwa dunia imekuwa kama kijiji, dunia nzima imekumbwa na dhaghma hiyo mpaka kwenye hizo nchi za kiislam hazijasalimika, tena huko ndiko nguvu za uchafu huo zinapelekwa kwa kasi ya ajabu afadhali nchi za kiafrika bado zinashupaza shingo kukubali mambo hayo
 
Back
Top Bottom