Kwa hali hii ni uoga na kutokujiamini

Kwa hali hii ni uoga na kutokujiamini

Nyie endeleeni kupima tena na tena, Mungu atawajaalia mpate mnachokitafuta.
 
Unapima HIV ili iweje.!?.

Ili iwe nini?
 
Aiseee ulikutwa nao?? Yaan ukapata na hamu ya kula kabisaaaa.. aisee au ulikua unajijua kabisa eeeeh

Kwa nini asile kila mtu atakufa hapa duniani.Tena unaweza ukatangulia wewe ukamuacha yeye anadunda miaka mingine 20-35.
 
Haipendezi bana Mwanaume kupima,ni aibu kubwa sana.

Labda unaongelea kupima "kitu" gani? Maana mtu kujua anaumwa au lah sio jambo la aibu, mbona watu wanabet na wanaliwa malaki sio jambo la aibu hili! na wanafanya kila siku wakijua wanaweza kusikitika na matokeo au wakafurahi.
 
Back
Top Bottom