Planett
JF-Expert Member
- Mar 20, 2014
- 10,419
- 15,974
nakumbuka wife alienda kujifungulia kwao so baada ya kujifungua nikampeleka home, ile tumefika tuu mother akafungua gate akasalimia then akachukua mtoto akasepa nae ndani ambako mzee alikua anasubiri.... baada ya kama dk kadhaa akatoka na kunipa pongezi kwa kuwaletea mjukuu (nadhani kuna namna waliproove huko chemba). Nachotaka kumaanisha ni kua ni kweli ipo namna wazee wanajua namna ya kutambua haya mambo bila DNA.kujua mtoto ni wako au sio wako ni rahisi sana.damu haipotei nenda kwa hao watoto ukiwa na ndugu yako mkubwa,either kaka,dada,baba mdogo au mzazi mkague mtoto kama ni wako kuna alama tu za ukoo wenu zitaonekana ila kama itatokea hamjafafana andaa laki tano kapime DNA .ila nina uhakika huyo mwanamke amepata bwana na huyo bwana kajitolea kubeba mwanamke na watoto hivyo ushatolewa kwenye reli mkuu