The hitman
JF-Expert Member
- Nov 30, 2017
- 3,662
- 2,292
Mbona anafanya kazi vizuri na chuo kafanya vizurinenda kapime afya ya akili ndugu yangu, vichaa hawajijui kuwa ni vichaa,kichaa anaongea lugha za ajabu anamini ni kiingereza au whatever.
Mbona anafanya kazi vizuri na chuo kafanya vizurinenda kapime afya ya akili ndugu yangu, vichaa hawajijui kuwa ni vichaa,kichaa anaongea lugha za ajabu anamini ni kiingereza au whatever.
Asnate mkuu lakini binafsi sina mzuka na dini wala imani yoyote kwa sababu siamini chochote.Lakini nina ndoo ya kujenga kanisa na msikiti pamoja kisha nivikibidhi kwa serikari.Namanisha jengo hilo litatumika kama kanisa siku ya jumapili na jmosi na ijumaa litatumika kama msikiti.Mkuu kwanini tusianzishe kanisa likawa the best worldwide Hadi no. 11 nikasema T. B Joshua Tunaeza mfunika
Ila Kuanzia 12 Naona kama yote ya Lucifer
Ulichoandika nilikitegemea kutoka kwako siku ya leoHahaha Nabii Titto tulimuamini, serikali wakatuambia eti kumbe ni kichaa wao wa muda mreeefu.
Ukiendelea hivi siku Mambo Sasa akikudaka atatuambia tu huo u genius wako ni kweli au nawe ni kichaa wao wa muda mrefu.
Mwenzako Dr.Shika tuliambiwa tumsamehe kachanganyikiwa, nasisi hatukuwa na iyana naye siku hizi anatangaza sport pesa, Nabii Tito bado hatujajua tumfanyeje nawewe ndio umeanza, sijui kwanini hamtumii dawa.
Hahaha ukidakwa utuambie kablaUlichoandika nilikitegemea kutoka kwako siku ya leo
Mbona anafanya kazi vizuri na chuo kafanya vizuri
DuuKuna ndugu angu mmoja alikua na sifa kama zako,akaishia kuwa mganga wa kienyeji
Mkuu ulibahatika kupata jibu la swali lako?kama unajua kusoma mawazo ya mtu..niambie nilikuwa nataka nisemaje kabla sijatype hapa
SawaMganga wa kienyeji. Kwanza tapeli anaetumia miti shamba kuwaibia watu. Wew hata la saba hujafaulu.
Karibu, du kannst erstmal anfangen BitteAcha uongo, naomba tuwa prove watu hapa mim na wewee tuongee kijerumani
Nicht nur Deutsche ich kann auch Spanische sprechen man. So ich warte auf dich bitteAcha uongo, naomba tuwa prove watu hapa mim na wewee tuongee kijerumani
Mbona umesepa?Acha uongo, naomba tuwa prove watu hapa mim na wewee tuongee kijerumani