Kwa hali hii, Je mimi ni Genius??

Kwa hali hii, Je mimi ni Genius??

Mkuu kwanini tusianzishe kanisa likawa the best worldwide Hadi no. 11 nikasema T. B Joshua Tunaeza mfunika
Ila Kuanzia 12 Naona kama yote ya Lucifer
 
Wew utakuwa shetani ktk hali ya kiubinadamu,muulize vizuri mama yako huyo umjuae ni baba yako kweli au alipewa mimba na jini ktk hali ya ubinadamu?
 
pleasure and accomplishments did not mean anything without a close relationship with the Creator. An outward form of religion never provides a substitute to a close relationship with the Almighty God
 
For sure! this is the first thing I noticed from his post...
Unajua Tanzania bhana mashaka sana, huyu anapenda watu wapate tabu anasema ndio maana kina lissu wataendelea kupigwa risasi wala yeye haumii na uwezo wa kuwazuia watu wasiojulikana anao. Serikali inabidi imtafute huyu JINIASI ili ashiriki katika tume ya mazungumzo juu ya makinikia yetu

Mkuu mimi nina maombi matatu kwako kama ifuatavyo

(i) Fanya mpango kwa ujiniasi wako hawa watu wasiojulikana wajulikane.

(ii) Kuna kiongozi mmoja hapendwi sana hapa nchini hebu fanya mpango apoteeeee

(iii) Nataka uniambie mimi jina langu kamili ni nani na ntakufa lini
Hapo kwenye kipengele cha tatu naweza kufanya kitu kama hicho.Naweza kujua jina lako halisi hata kama nimekuona kwa mara ya kwanza.Sinauwezo wa kujua jina lako ikiwa hatuko face to face.Nikikuona naweza kujua jina lako, kabila , umri hata kijiji ulichotoka na naweza kujua pia mko wangapi katika familia yenu na wewe ni wangapi.Lakini hii hua naifanya nikiwa nakuangalia machoni
 
Fanya hvyo ndg yangu
Briton v new castle
Getafe v Villarreal
Eibar v Celta Vigo
Fiorentina v Atalanta
Strasbourg v Nantes Yani hao tu sio lazima uweke MATOKEO yote kama sijui 1-0au 3-0 we weka tu Brighton v Newcastle (kama away win ) inatosha then tukianzia HAPO tutakuelewa vzr
 
Kweli JF ya sasa sio ile ya zamani
Kuna miaka ilikua ngumu kukutana na alf lela ulela humu
Nakumbuka watu kama akina John Mnyika walikuaga member nahisi wamekaa kimya sababu ya hadithi kama hizi
Hadithi za Alfu Lela Ulela na Abunuasi
 
Back
Top Bottom