Kwa hali hii inawezekana viongozi wengi wa ngazi za juu za upinzani ni watu wa system?

gimmy's

JF-Expert Member
Sep 22, 2011
3,283
3,274
Kwa kauli iliyotolewa na M.tatiro mitandaoni kutokana na tukio la uvamizi wa kikao cha CUF ya Maalim S.eif jana inawezekana upinzani nchini ni bosheni?

Zipo post zinazagaa humu kwamba. Mt.atiro amepenyewezewa habari kwamba waliovamia kikao cha jana ni watu wa system na kwa kauli yake ni dhahiri kwamba mnyukano ndani ya CUF system inahusika?.

Mre.ma wakati ule anaingia NCCR watu hawakuelewa chochote lakini leo watu wanashangaa ukaribu .wa Mrema na serikali.

Mwenyeketi wa NCCR wa sasa bwa.na Mbatia kwa mara ya kwanza kwenda bungeni aliteuliwa ubunge na JK nalo ni jambo liliwatia wengi shaka.

Watu waliongea mengi kuhusu ZZK na chama chake na uhusika wake na system lakini leo watu wanaona miongoni mwa viongozi waandamizi wa chama hicho bwana k.itila amekula shavu serikalini


S.laa nae halikadhalika wakati ule anahamia CDM alijenga imani kubwa kwa wana CDM,lakini tuliona na kusikia mengi mara baada ya kikao cha pale serena.

Juzi niliona post moja humu ikishangaa ukimya wa Mh .Mbowe juu ya saga la kupotea msaidizi wak.e(beni),muandishi aliuliza kwa ukimya w.a mbowe kwenye saga. la ben je na yeye ni mtu wa system?

Kwa hali hii inawezekana Tz hatuna upinzani bali tuna CCM na branch za CCM
 
Zitti Kabwe ni ofisa mzuri sana wa TISS lkn hajawa mwandamizi (senior) akiwa amechukua mafunzo kule Zenji. Mbatia ni wakala wa TISS aliingizwa na Apson kuleta taarifa za upinzani akilipwa 600,000/= kwa mwezi by then, Mrema afisa mwandamizi, Mbowe ni Wakala, Slaa na Lipumba ni watumikaji wa short time deal. Mpinzani ni Lissu tu.
 
Ulikuwa ujuwi mjomba ngoja nikupe kidogo hii ni amri ya un na umoja wa nch za magharib kipindi hicho baada ya uhuru na baàda ya vita ya kagera walimwambia mwalimu nyerere kwamba atukupi msaada kama ujaweka demokrasi katika taifa lako hivyo mwalimu akaamuwa kujiongeza akateuwa watu Fulani kipindio hicho kwenye serikali yake hao watu ndio Leo vizazi vyao vinatuumiza vichwa sisi RAIA ukweli kabisa nchi inayoitwa Tanzania hakuna upinzani wote ni wasaka tonge wote ni watu wa system
 
Ulikuwa ujuwi mjomba ngoja nikupe kidogo hii ni amri ya un na umoja wa nch za magharib kipindi hicho baada ya uhuru na baàda ya vita ya kagera walimwambia mwalimu nyerere kwamba atukupi msaada kama ujaweka demokrasi katika taifa lako hivyo mwalimu akaamuwa kujiongeza akateuwa watu Fulani kipindio hicho kwenye serikali yake hao watu ndio Leo vizazi vyao vinatuumiza vichwa sisi RAIA ukweli kabisa nchi inayoitwa Tanzania hakuna upinzani wote ni wasaka tonge wote ni watu wa system

Nani kakwambia kwamba wasakatonge au watu wa system(kama unavyowaita) hawapendi kuwa waheshimiwa?.
Kwa taarifa yako mamluki ndio hupenda zaidi uheshimiwa.Nani kakudanganya kwamba mtumwa hapendi kuwa Bwana?
 
Tatizo upinzani haukuanza kwa mtu kuamua tu kuanzisha chama bali upinzani ulitokea ndani ya Serikali km Sera ya kuanzisha vyama vingi so ile system bado ingalipo ila inakaribia kuisha kwani sasa werevu wanaongezeka
Inakumbusha ujio wa John Cheyo alie kuwa amekimbia nchi na kwenda kufanya biashara South Africa.Mwalimu alivyo enda huko na akakutana na Cheyo na kumshauri arudi nyumbani aanzishe chama chake.Cha ajabu akaja na sera ya kuwajaza mapesa kibawo wananchi wakimchagua.Maana yake hakujiandaa kuwa kiongozi wa chama ambacho kinataka kuongoza nchi.
 
Zitti Kabwe ni ofisa mzuri sana wa TISS lkn hajawa mwandamizi (senior) akiwa amechukua mafunzo kule Zenji. Mbatia ni wakala wa TISS aliingizwa na Apson kuleta taarifa za upinzani akilipwa 600,000/= kwa mwezi by then, Mrema afisa mwandamizi, Mbowe ni Wakala, Slaa na Lipumba ni watumikaji wa short time deal. Mpinzani ni Lissu tu.

Wanageukaga hasa wakishapata nafasi na kuona ukweli wa hali halisi za wapigakura.
Sheria inaruhusu mtanzania yoyote kuwa kiongozi bila kujali mikataba ya siri waliyowekeana.
 
Zitti Kabwe ni ofisa mzuri sana wa TISS lkn hajawa mwandamizi (senior) akiwa amechukua mafunzo kule Zenji. Mbatia ni wakala wa TISS aliingizwa na Apson kuleta taarifa za upinzani akilipwa 600,000/= kwa mwezi by then, Mrema afisa mwandamizi, Mbowe ni Wakala, Slaa na Lipumba ni watumikaji wa short time deal. Mpinzani ni Lissu tu.
Kama wengine wote ni maofisa wa usalama kama unavyodai nini kinamfanya Lissu awe tofauti?
 
Kwa kauli iliyotolewa na M.tatiro mitandaoni kutokana na tukio la uvamizi wa kikao cha CUF ya Maalim S.eif jana inawezekana upinzani nchini ni bosheni?

Zipo post zinazagaa humu kwamba. Mt.atiro amepenyewezewa habari kwamba waliovamia kikao cha jana ni watu wa system na kwa kauli yake ni dhahiri kwamba mnyukano ndani ya CUF system inahusika?.

Mre.ma wakati ule anaingia NCCR watu hawakuelewa chochote lakini leo watu wanashangaa ukaribu .wa Mrema na serikali.

Mwenyeketi wa NCCR wa sasa bwa.na Mbatia kwa mara ya kwanza kwenda bungeni aliteuliwa ubunge na JK nalo ni jambo liliwatia wengi shaka.

Watu waliongea mengi kuhusu ZZK na chama chake na uhusika wake na system lakini leo watu wanaona miongoni mwa viongozi waandamizi wa chama hicho bwana k.itila amekula shavu serikalini


S.laa nae halikadhalika wakati ule anahamia CDM alijenga imani kubwa kwa wana CDM,lakini tuliona na kusikia mengi mara baada ya kikao cha pale serena.

Juzi niliona post moja humu ikishangaa ukimya wa Mh .Mbowe juu ya saga la kupotea msaidizi wak.e(beni),muandishi aliuliza kwa ukimya w.a mbowe kwenye saga. la ben je na yeye ni mtu wa system?

Kwa hali hii inawezekana Tz hatuna upinzani bali tuna CCM na branch za CCM
MTAJIJU !!
 
Binafsi huwa naangalia kwa jicho la tatu, haya mambo. Sababu tangu ule uchaguzi mkuu wa kwanza wa vyama vingi 1995 tumekesha kulinda kura za kina Mrema na Dr Lamwai , Shule ya Msingi pale Kimara Korogwe , kuja kushtuka kumbe watu wa system wapo huko kuvuruga upinzani tu.
 
Back
Top Bottom