supermario
Member
- Dec 2, 2011
- 48
- 15
Huyu ni mmoja kati ya vijana wanajishughulisha na saana za muziki wa kizazi kipya, bongo movie na pia ni bloga. Hii picha ni yake akiwa anaendesha gari kwa spidi ya 180 na kapiga picha kisha akaweka kwenye mitandao ya kijamii kwa kujipongeza.
Kuna akili kweli kichwani? Hawa ndio wanataka kuwa mastaa na mfano wa kuigwa? Bloody fool!
Kuna akili kweli kichwani? Hawa ndio wanataka kuwa mastaa na mfano wa kuigwa? Bloody fool!