Le mutuz unaishi mjini kwa kujipendekeza
Mkuu Wille, nakuunga mkono, naunga mkono hoja Tanzania Daima waombe radhi Watanzania.
kufeli darasa la nne ni kosa????Mwanaidi Kamese yuko tayari kutoa ushahidi, anamfahamu Daudi Bashite aliyefeli darasa la nne Shule ya Msingi Kalomije na kwenda kuendelea na darasa la tano Mwanza.
Maadui mshachoshwa. Za uso kavu kavu bila glovuzi.Afu hao watendaji waliomzunguuka kama wanamzomea vile
Kama ameweza kuforge vyeti kulaghai mpaka ngazi ya Rais atashindwaje kuahirisha likizo...mtoa mada ru okey upstairs?
Na mbaya zaid alimuambia Steve kuwa wema hakuonewa anatumia sababu ye ndo alikuwa anampa.Weezembururuaaaaziii nawe utuombr radhi kuwa na marafiki waliotuhumiwa kuuza ungaa while ulikataaa mwanzon
Anavyopenda sifa angekuwa navyo siangeshavitoa zamani hhhhhVyeti kashaonyesha?
Kabla ya hao tunaomba TBC nao watuombe radhi kwanza kwa ule uzushi walioutangaza juzi....
Babu tumekusikia mshauri alete hata vyeti vya kufoji
Fuata nyuki ukale asali!Le mutuz unaishi mjini kwa kujipendekeza