lukesam
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 12,424
- 25,663
TBC iliporusha habari za uongo kuhusu Trump kumpongeza Magufuli serikali imechukua hatua gani?? Waliomba radhi?Duh sasa gazeti kama hilo likifungiwa ni lazima Nyumbu watokwe na mapovu eti serikali inaminya demokrasia. Made in Tanzania.
Punguani wahedi!