Kwa Dar ni chuo gani kizuri Kinachofundisha Driving Course?

Manual compilation tu kufanya udereva uonekane mgumu.

Tunaenda era ya Autopilot mkuu achana na mapeda matatu.

Watakuja wafia manual hapa wazeewa realmendrivestick
Manual nzuri asee, inafanya dreva anakuwa na full control ya gari. Inamjenga mtu kuijua gari vizuuri sababu gari inamtegemea dreva %.
Manual inaendeshwa kwa miguu (pedals), mikono (usukani na gear stick) na masikio (muungurumo wa engine) wakati auto ni layman's toy.
Huyo mdada akajifunze manual, auto ataijua automatically.
 
Manual nzuri asee, inafanya dreva anakuwa na full control ya gari. Inamjenga mtu kuijua gari vizuuri sababu gari inamtegemea dreva %.
Manual inaendeshwa kwa miguu (pedals), mikono (usukani na gear stick) na masikio (muungurumo wa engine) wakati auto ni layman's toy.
Huyo mdada akajifunze manual, auto ataijua automatically.
Okay boss
 
sijawai kuona mtu anayeitwa juma na akawa na akil timamu
Mathusi sasa hayo
Kwani huko veta si watamuona tu.

Ila umfundishe mwenyewe kwanza akienda huko kikubwa kiwe ni cheti tu maana kwa huu wivu wako utagombana na wakufunzi wake wote
 
Hao ni hatari wanafundisha udereva kwa English umetisha. Lkn hebu fafanua kidogo huku kuendesha kizungu kupi mkuu make mimi pia natamani kujua kuendesha kidhungudhungu
Hamna ule uswahili wa kupiga piga honi, kutoa mkono nje kuonesha middle finger, kuongea na trafiki, etc.
 
Back
Top Bottom