Kwa dalili hizi, Mnyika kapoteza jimbo la Ubungo

Status
Not open for further replies.
Kwani Nape bado anandoto za kuwa Mbunge wa Ubungo?au Uenezi umemtosha?
 
Huu ni uoga wa ajabu sana,ccm sio majaji,hata wangedeki Lumumba na Kizota yote bado haimaanishi mtu kavuliwa ubunge,mbona kwa Lissu walileta askari kibao na Lisu alishinda?kama unachangia Jf jiamini bana
 
Kufanya usafi ndani ya ofisi za chama sio tatizo ila tuwe wavumilivu wa hoja ni ukweli usiofichika kuwa kesi ya Mh. Mnyika iko vibaya kidogo ila uzuri ni kuwa hata kama watamvua ubunge bado jimbo ni la CDM.
Wadau, mbona mmemshukia Kunguru mweusi kama mwewe ashukiavyo kifaranga? Ameelezea hisia zake tu.[/QU
 
Inasikitisha tunaposhindwa kuchangia mada na kuishia kurusha maneno ya uswahilini utafikiri wote tulizaliwa vichochoroni.Kunguru Mweusi ameona jambo ambalo si la kawaida kwa ofisiza CCM na kuhisi something must be cooking...can't we see that logic?Ni hulka yetu kufanya usafi wa 'kufa mtu' pale tunapokaribia kuwa na tukio kubwa,mara ngapi tunaambiwa kufanya usafi wa kila sehemu pale wageni wanapotembelea shule zetu?Tumeshuhudia serikali yetu ikipanda miti iliyokomaa barabani tena usiku just a day before a big event....Tusome warning signs mapema.
 
namuonea huruma sana rafiki yangu Mnyika,sijui ataishije hapa mjini maana ni wazi ili jimbo anapoteza.
îmba sana taarabu zako,kidole hicho kinakuja segerea,huyo mwizi wenu baada ya hukumu cd4 ndo zitashuka hadi 2 kama sio kwisha kabisa
 
kunguru mweusi = shogake lipumba

membas wa nyumba ndogo ya ccm..... badala ya kuangalia kafu na kashfa ya ushoga, yeye yuko bize na wanaume straight

keleb
 
Kila ninapopita ktk Ofisi za CCM Ubungo siku 2 hizi, nahisi kuna jambo kubwa linaweza kutokea Jimboni hapo.
Furaha na maandalizi ya hapa na pale yanaandaliwa.
Ofisi zinaonekana kama zinasafishwa safishwa, matawi vile kama yanaanza kufufuliwa, hamasa za chama zinaanza kuonekana ambapo kwa kipindi kirefu kiltoweka.
kwa haraka haraka unaweza ukahisi kuna harakati kubwa za kisiasa zinaweza kutokea kipindi kifupi baadae

JEE HICHI NDICHO KITACHMUANGUSHA MNYIKA KTK KESI YAKE:
kukiri kwa Mnyika Mahakamani tofauti ya kura zaidi ya 14,000 inayoonekana katika fomu iliwasilishwa mahamani
Kutumika komputa yake kuhesabiwa kura

kukerwa kwa Jaji Msuya jinsi Mnyikai alivyokuwa akijibu maswali mbalimbali ya Wakili wa mlalamikaji, Issa Maige,
we ndezi unanitafutia ban eeh? tukutane segerea leo kwenye kiduku
 
Namkubali sana Mnyika, anajitahidi lkn kumbukeni wabunge Wa upinzani wanapata wakati mgumu kutekeleza majukumu yao hasa pale decision inapotoka serikalini tofauti na wenzao wa CCM ambao wanafanyiwa chapchap kujipa maujiko!
 
Namkubali sana Mnyika, anajitahidi lkn kumbukeni wabunge Wa upinzani wanapata wakati mgumu kutekeleza majukumu yao hasa pale decision inapotoka serikalini tofauti na wenzao wa CCM ambao wanafanyiwa chapchap kujipa maujiko!
Mbona haya hawakuyasema wakati wanaomba kura??? Kama walijua hivyo wangeomba kazi ya ubunge kupitia chama tawala. Wapiga kura tunataka matokeo kwani waliomba kazi ya ubunge tukawapa kwa majukumu tuliyokubaliana hivyo wakishindwa kuyatekeleza maana yake hawawezi kazi ya ubunge.......hawatufai
 
Ila kesi ya Ubungo haijakaa vizuri kabisa na hivi CCM wana hasira na Sumbawanga afu na Segerea sijui wanaweza kujifuta machozi Ubungo. Lakini uchaguzi mwingine Mnyika ndani labda wampige ban
 
Suala la wajumbe wa nyumba kumimkumi wa CCM kupita mitaani wakiwauliza watu maswali na kuwaalika kwenye vikao. Niliwauliza wakaniambia kuwa ni maandalizi ya uchaguzi wa viongozi wao wa ndani. Wajumbe, nk. So I dont see any relationship with our MP'S case. God is fighting for him!!!
 
he might have a point, as kikubwa kinachomtia mnyika matatizoni ni kutumika kwa kompyuta zake binafsi katika kufanya majumuisho ya kura..hapo tu ndio pabaya..NEC ndio watakaoweza kurepair the damage..
 
he might have a point, as kikubwa kinachomtia mnyika matatizoni ni kutumika kwa kompyuta zake binafsi katika kufanya majumuisho ya kura..hapo tu ndio pabaya..NEC ndio watakaoweza kurepair the damage..

Hivi Kiravu aliitwa kweli mahakamani? na Mahanga reps wake hawakuwepo wakati wa kufanya majumuisho kwa computers za mheshimiwa Mnyika? kama hawakuridhika na majumuisho hayo nadhani walitakiwa kusimamisha zoezi hilo mara moja.
hivi kweli NEC walikosa vitendea kazi kiasi hicho! tumekwisha wa TZ
 
Kila ninapopita ktk Ofisi za CCM Ubungo siku 2 hizi, nahisi kuna jambo kubwa linaweza kutokea Jimboni hapo.
Furaha na maandalizi ya hapa na pale yanaandaliwa.
Ofisi zinaonekana kama zinasafishwa safishwa, matawi vile kama yanaanza kufufuliwa, hamasa za chama zinaanza kuonekana ambapo kwa kipindi kirefu kiltoweka.
kwa haraka haraka unaweza ukahisi kuna harakati kubwa za kisiasa zinaweza kutokea kipindi kifupi baadae

JEE HICHI NDICHO KITACHMUANGUSHA MNYIKA KTK KESI YAKE:
kukiri kwa Mnyika Mahakamani tofauti ya kura zaidi ya 14,000 inayoonekana katika fomu iliwasilishwa mahamani
Kutumika komputa yake kuhesabiwa kura

kukerwa kwa Jaji Msuya jinsi Mnyikai alivyokuwa akijibu maswali mbalimbali ya Wakili wa mlalamikaji, Issa Maige,

Mbona sikuelewi Kunguru Mweusi!
Mh. Mnyika alikuwa mtumishi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC? Kompyuta yake inatumikaje? Tume hawakuwa na kompyuta? Kama aliitumia excel sheet kwa matumizi binafsi tatizo ni nini? Vyovyote iwavyo je kompyuta yake ilikuwa inachakachua matokeo?
Hilo la jaji kukerwa na majibu ya Mnyika nalo limekaa tenge! Mh.Mnyika alikuwa anajibu maswali namna gani? Mimi natambua sio jukumu la jaji kufurahishwa ama kukerwa na majibu. Mh. Jaji anachotaka kupata na kusikia pale ni ukweli whether utajibu kwa kujivuta au utachangamkia sana maswali.
Nilifuatilia mara kadhaa hii kesi lakini niliona kuna kujichanganya kwenye ushahidi kwa upande wa mlalamikaji hata mama Hawa Ng'humbi mwenyewe alijichanganya pia. Hii ni hatari sana kwenye kesi.
Ushahidi ndio unaoithibitishia mahakama juu ya ukweli wa madai kwa kesi ya madai au jinai.
Ukijichanganya tu kwenye ushahidi umetia shaka ukweli wa mambo na itakuwa imekula kwako!
Pia maandalizi ama usafi unaofanyika matawi ya CCM ni kwa ajili ya chaguzi za ndani za chama. Ndio kipindi wanachama wanachukua na kurudisha fomu za kugombea nafasi za uongozi wa chama. Kama ni huo usafi na maandalizi itakuwa ni nchi nzima sio Ubungo pekee!
 
maandalizi ya kitu kama harusi kuna vikao,michango,mc na kadhia.tukiishi kwa hisia namna hii tutafikia mahali tukaanza kuua watu tunaowahisi wametufanyia ubaya ambao hatujathibitisha.Kimsingi suala la Hawa Ng'umbi Vs Mnyika, Msimamizi wa uchaguzi na Mwanasheria Mkuu liko Mahakamani tusubiri hukumu.Niliwaomba wenzangu kuona kuwa matusi ni dalili za ugonjwa wa akili pia maana ukiwa mzima unajenga hoja dhidi ya hoja siyo tusi dhidi ya hoja hata kama hoja kwa maono yako ni hafifu
 
he might have a point, as kikubwa kinachomtia mnyika matatizoni ni kutumika kwa kompyuta zake binafsi katika kufanya majumuisho ya kura..hapo tu ndio pabaya..NEC ndio watakaoweza kurepair the damage..

Mbona hatufikirii logically! Hata kama NEC walitumia kompyuta za Mnyika of course kulikuwa na sababu ya kufanya hivyo kwani
NEC waliridhia hilo. Je hizo kompyuta ziliongeza kura kwa Mnyika? Zilimhujumu mpinzani wake? If yes, namna gani? Majumuisho ya kura kwa mkono yanatofauti na hayo ya kwenye kompyuta? If so, kwa kiasi gani pia?
Mimi sipati picha ndugu zangu! Kwenye kesi ya madai kama hii waweza kudai mambo lukuki lakini ngoma ikawa namna ya kuthibisha ulivyoathirika. Vinginevyo mh. Jaji anatupilia mbali dai lenyewe.
 
wanadhani wanatoa nuksi hivyo ndy walivyo ambiwa na prof maji marefu!!!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom