GEMBESON
JF-Expert Member
- Apr 15, 2012
- 1,444
- 3,084
Makazimapya; Acha mikwara, inamaana Handsome JK uwezo wake wa kuongoza unaishia kwenye Ubunge tu!, na sio Urais?.Kunguru mweusi - mweusi tiiiiiiii! Kazi kunusa mizoga tu. Huo mzoga uliounusa hautishi, we endelea kujishibisha nao kwa kujifariji. Kwa taarifa yako, hata wakichakachua kesi, jimbo la Ubungo hawachukui, litabaki la CDM hata CCM wakimweka JK agombee.