Kwa BAVICHA imara, kitaasisi n kimkakati: Twende na CPA Kitalika, Titho.E

Jun 25, 2019
14
20
BAVICHA IMARA, KIHARAKATI NA KITAASISI.

Uchaguzi 2019 twende na CPA Kitalika, Titho.E

CPA Kitalika, Titho.E ni mwanachama wa CHADEMA kadi namba 223075 Tawi la MWINYIJUMA wilaya na Mkoa wa kichama wa Kinondoni. Amezaliwa tarehe 5/3/1991 na kujiunga na chama tarehe 11/1/2011.

Kazi ndani ya Chama.

2010/2011: Wakati akiwa mwanafunzi wa A’level wakati wa likizo alishirikiana na viongozi wa Chama wilaya ya Mufindi Kueneza chama katika majimbo ya Mufindi Kusini na Kaskazini.

2012: Alikuwa mwenyekiti wa CHADEMA NI MSINGI kata ya Mtwango katika jimbo la Mufindi Kusini na ameshiriki kuaanzisha matawi imara na tegemeo kwa chama katika jimbo la Mufindi Kusini mfano Nyololo na Ihowanza.

2013: Ameshiriki katika uchaguzi mdogo wa udiwani katika kata ya Themi Jimbo la Arusha Mjini, alichaguliwa kuwa mwenyekiti wa CHASO tawi la Chuo cha Uhasibu Arusha (IAA), alishiriki kuanzisha CHASO MKOA WA ARUSHA na alichaguliwa kuwa mratibu wa kwanza wa CHASO Mkoa wa Arusha.

2014: Ameshiriki kutafuta wanachama na kuwapa kadi katika jimbo la Longido Mkoa wa Arusha, ameshiriki kampeni za uchaguzi serikali za mitaa katika Jimbo la Nyang’wale, Arumeru Magharibi na Arusha Mjini na Alichaguliwa kuwa mratibu wa CHASO Mkoa wa Arusha kwa mara nyingine.

2015: Alishiriki kampeni za ubunge katika jimbo la Mafinga Mjini kama mjumbe wa kamati ya kampeni na kuzunguka na mgombea ubunge na madiwani katika kata zote sita za jimbo. Na mara kadhaa katika jimbo la Mufindi Kaskazini.

2016/2019: Ameshiriki katika uchaguzi mdogo katika kata jimbo la Kibamba, Ameshiriki pia katika uchaguzi wa marudio wa jimbo la Kinondoni katika kampeni za nyumba kwa nyumba katika kata ya Hananasifu.

2019: Ameshiriki katika kuwezesha viongozi wa chama kata ya Mtwango Jimbo la Mufindi kusini wanapata wagombea katika uchaguzi wa serikali za mitaa na vijiji.

Nje ya Chama
2008/2009 - Amekuwa kiongozi katika serikali ya wanafunzi shule ya sekondari Mdabulo
2010/2011 - Amekuwa kiongozi wa Afya na Mazingira shule ya sekondari Azani.

2012/2013 - Amekuwa mwakilishi wa Taaluma wa Darasa (Uchumi na Fedha) katika Kamati ya Taaluma ya Serikali ya wanafunzi.

Kielimu:
2018/2019: MBA Corporate Management (IP)-Mzumbe University

2016/2018: Certified Public Accountant (CPA)-National Board of Accountants and Auditors.

2012/2015: Bachelor of Economics and Finance-Institute of Accountancy Arusha

2006/2012: O’level & A ‘level- Mdabulo Secondary School/Azania High School
 
Hakika unafaa Sana kijana. Nakumbuka mwaka 2013/14 ulivyoshiriki kikamilifu kuanzisha CHASO Arusha...
Nakumbuka Sana ubunifu wako mpaka kuanzisha katiba au muongozo wa uendeshaji taasisi hiyo mhimu katika ukuaji na uandaaji wa viongozi ndani ya chama.... Hakika unatosha Sana japo sijajua nafasi gani labda Ni Jambo la muda...
Nakumbuka Tena Sana ulivyoshiriki kushinikiza chuo kupitia mgomo wa amani kudai kituo Cha polisi baada ya mwanafunzi mwenzetu kuchomwa kisu na kufariki.. hakika Kama kijana na mwanachama nakutakia mafanikio katika nafasi yoyote utakayoimba ndani ya chama.
Uadilifu wako, uaminifu na mapenzi yako makubwa ndani ya chama Ni tunu mhimu sana.
 
Sumu ya nyigu jasiri na chadema msimu huu inaitaji majasiri
Sawa kabisa ndugu... Kwa kuwa kijana amejipambanua kwa CV na hajasema Ni nafasi gani BAVICHA tusubiri muda utaongea... Ila namshauri Sana achukue nafasi ya utendaji wa chama maana hakika itamfaa Sana.
 
watu wenye mbinu kama Mzee Mangula na mzee Kinana, watu werevu na wenye uwezo mkubwa wa kiakili kama Mwalimu Nyerere, watu wenye kujenga hoja na propanganda za kisomi kama Bashiru na Kabudi, watu wenye nia, uthubutu na ujasiri kama Rais Magufuli ndio msingi Wa CCM, kijana akae akijua hilo
 
Hongera kwa ujasiri wa kujipigia mwenyewe debe..sio kusubiri wapambe nuksi..lol
 
tatizo umewazidi elimu viongozi na wabunge wote wa CHADEMA mpaka Mbowe hawawezi kukukubali CHADEMA wanataka mambumbumbu wakina Mdude, Sugu
 
BAVICHA IMARA, KIHARAKATI NA KITAASISI.

Uchaguzi 2019 twende na CPA Kitalika, Titho.E

CPA Kitalika, Titho.E ni mwanachama wa CHADEMA kadi namba 223075 Tawi la MWINYIJUMA wilaya na Mkoa wa kichama wa Kinondoni. Amezaliwa tarehe 5/3/1991 na kujiunga na chama tarehe 11/1/2011.

Kazi ndani ya Chama.

2010/2011: Wakati akiwa mwanafunzi wa A’level wakati wa likizo alishirikiana na viongozi wa Chama wilaya ya Mufindi Kueneza chama katika majimbo ya Mufindi Kusini na Kaskazini.

2012: Alikuwa mwenyekiti wa CHADEMA NI MSINGI kata ya Mtwango katika jimbo la Mufindi Kusini na ameshiriki kuaanzisha matawi imara na tegemeo kwa chama katika jimbo la Mufindi Kusini mfano Nyololo na Ihowanza.

2013: Ameshiriki katika uchaguzi mdogo wa udiwani katika kata ya Themi Jimbo la Arusha Mjini, alichaguliwa kuwa mwenyekiti wa CHASO tawi la Chuo cha Uhasibu Arusha (IAA), alishiriki kuanzisha CHASO MKOA WA ARUSHA na alichaguliwa kuwa mratibu wa kwanza wa CHASO Mkoa wa Arusha.

2014: Ameshiriki kutafuta wanachama na kuwapa kadi katika jimbo la Longido Mkoa wa Arusha, ameshiriki kampeni za uchaguzi serikali za mitaa katika Jimbo la Nyang’wale, Arumeru Magharibi na Arusha Mjini na Alichaguliwa kuwa mratibu wa CHASO Mkoa wa Arusha kwa mara nyingine.

2015: Alishiriki kampeni za ubunge katika jimbo la Mafinga Mjini kama mjumbe wa kamati ya kampeni na kuzunguka na mgombea ubunge na madiwani katika kata zote sita za jimbo. Na mara kadhaa katika jimbo la Mufindi Kaskazini.

2016/2019: Ameshiriki katika uchaguzi mdogo katika kata jimbo la Kibamba, Ameshiriki pia katika uchaguzi wa marudio wa jimbo la Kinondoni katika kampeni za nyumba kwa nyumba katika kata ya Hananasifu.

2019: Ameshiriki katika kuwezesha viongozi wa chama kata ya Mtwango Jimbo la Mufindi kusini wanapata wagombea katika uchaguzi wa serikali za mitaa na vijiji.

Nje ya Chama
2008/2009 - Amekuwa kiongozi katika serikali ya wanafunzi shule ya sekondari Mdabulo
2010/2011 - Amekuwa kiongozi wa Afya na Mazingira shule ya sekondari Azani.

2012/2013 - Amekuwa mwakilishi wa Taaluma wa Darasa (Uchumi na Fedha) katika Kamati ya Taaluma ya Serikali ya wanafunzi.

Kielimu:
2018/2019: MBA Corporate Management (IP)-Mzumbe University

2016/2018: Certified Public Accountant (CPA)-National Board of Accountants and Auditors.

2012/2015: Bachelor of Economics and Finance-Institute of Accountancy Arusha

2006/2012: O’level & A ‘level- Mdabulo Secondary School/Azania High School

Pedigree ya Mdude Chadema lazima izae na wewe!

Nampigia Mdude sipigii nobodies kama wewe!

Im sorry to bust your bubble!
 
Back
Top Bottom