NAzidi kujiuliza maswali kuhusu mustakabali wa nchi yangu Tanzania. Lakini kila nikiliangalia baraza la mawaziri nazidi kukata tamaa. Hawa ni baadhi ya wahusika wanaotakiwa kutupeleka kwenye muongo mpya wa 2011-2020.
1) Dr Dr Dr Kikwete: Huyu anahusika kwa njia moja au nyingine na kashfa za Richmond na DOWANS. Ni rafiki wa mafisadi na Dr Hosea wa TAKUKURU alishasema amempa amri asijaribu kushughulikia mafisadi halisi. Katika kuitumia familia kuhodhi nchi, amemzidi Mkapa (unamkumbuka mama Mkapa?) na Mwinyi (mnamkumbuka mama Sitti Mwinyi)
2) Makamu wa Rais Gharib: Huyu nalikuja na gia nzito ya kuhakikisha waislamu wanapata mahakama ya kadhi. Hoja imefifia na si tu kawadanganya waislamu bali hata maelezo kwa nini alifanya hivyo hajatoa. Kwa kuzingatia ukosaji kazi wake, Dr Dr Dr Kikwete alimshauri awe anafundisha UDOM
3) Pinda: Huyu bwana anachojua ni kulia lia tu. Watu wanamuita mtoto wa mkulima lakini wanasahau kuwa baada ya akina Lowasa kujiuzulu kutokana na kashfa ya Richmond, alienda Igunga akawaambia wapiga kura kule kuwa "achaneni na mambo ya bungeni, Rostam ni mtu mwema"
4) Sitta: Huyu bila huruma ametumia shilingi milioni 850 kujijengea ofisi Urambo. Ni huyuhuyu aliyeshiriki kumsimamisha ubunge Zitto Kabwe wakati huo Zitto alikuwa akijitambua bado
5) Magufuli: Huyu anakashfa ya kuuza nyumba kwa bei chee wakati akiwa waziri wa Ujenzi. Inasadikika alimpa madeal mengi kaka yake pia wakati huo.
6) WAziri wetu wa fedha: Fisadi namba moja aliyehusika kwenye kashfa wakati akiwa mkurugenzi wa mfuko mmoja wapo wa jamii.
7) Wassira: aka Tyson, ni kikongwe anayesifika kupiga watu ngumi pila kuwa na uwezo kiutendaji.
8) Nyalandu: Kahaba fisadi ambaye habari zake zitazirudia maana zimeandikwa kwa kirefu kwenye threads zingine
9) Nchimbi: Fisadi anayehusishwa moja kwa moja na kumdhibiti marehemu mtoto wa Malecela alipokuwa akitayarishwa kuingia UVCCM
10) Ngeleja: Wakili wa Rostam (Vodacom) asiyejua aibu inapokuja kupigania maslahi ya BOSI wake (rostam)
11) Nahodha: Kamanda aliyesimamia mauaji ya zaidi ya wapemba 20 wakati wa kipindi cha udikteta wa Mkapa na Salmin
12) Membe: Mtu mwenye uchu wa madaraka ambae yupo radhi kuwadanganya waislamu kuwa atawapa OIC kama zawadi ikiwa wataendelea kumkubali
13) Sina haja kuwaongelea vimwana akina Kabaka, Kombani na mamah mwenyekiti wa wakinamama wa CCM ambao kazi yao ni kuimba taarabu na kumpa sifa Dr Dr Dr Kikwete.
Anaedhani nchi hii itakuja kuendelea ni aidha MLEVI au AKILI YAKE HAINA AKILI
1) Dr Dr Dr Kikwete: Huyu anahusika kwa njia moja au nyingine na kashfa za Richmond na DOWANS. Ni rafiki wa mafisadi na Dr Hosea wa TAKUKURU alishasema amempa amri asijaribu kushughulikia mafisadi halisi. Katika kuitumia familia kuhodhi nchi, amemzidi Mkapa (unamkumbuka mama Mkapa?) na Mwinyi (mnamkumbuka mama Sitti Mwinyi)
2) Makamu wa Rais Gharib: Huyu nalikuja na gia nzito ya kuhakikisha waislamu wanapata mahakama ya kadhi. Hoja imefifia na si tu kawadanganya waislamu bali hata maelezo kwa nini alifanya hivyo hajatoa. Kwa kuzingatia ukosaji kazi wake, Dr Dr Dr Kikwete alimshauri awe anafundisha UDOM
3) Pinda: Huyu bwana anachojua ni kulia lia tu. Watu wanamuita mtoto wa mkulima lakini wanasahau kuwa baada ya akina Lowasa kujiuzulu kutokana na kashfa ya Richmond, alienda Igunga akawaambia wapiga kura kule kuwa "achaneni na mambo ya bungeni, Rostam ni mtu mwema"
4) Sitta: Huyu bila huruma ametumia shilingi milioni 850 kujijengea ofisi Urambo. Ni huyuhuyu aliyeshiriki kumsimamisha ubunge Zitto Kabwe wakati huo Zitto alikuwa akijitambua bado
5) Magufuli: Huyu anakashfa ya kuuza nyumba kwa bei chee wakati akiwa waziri wa Ujenzi. Inasadikika alimpa madeal mengi kaka yake pia wakati huo.
6) WAziri wetu wa fedha: Fisadi namba moja aliyehusika kwenye kashfa wakati akiwa mkurugenzi wa mfuko mmoja wapo wa jamii.
7) Wassira: aka Tyson, ni kikongwe anayesifika kupiga watu ngumi pila kuwa na uwezo kiutendaji.
8) Nyalandu: Kahaba fisadi ambaye habari zake zitazirudia maana zimeandikwa kwa kirefu kwenye threads zingine
9) Nchimbi: Fisadi anayehusishwa moja kwa moja na kumdhibiti marehemu mtoto wa Malecela alipokuwa akitayarishwa kuingia UVCCM
10) Ngeleja: Wakili wa Rostam (Vodacom) asiyejua aibu inapokuja kupigania maslahi ya BOSI wake (rostam)
11) Nahodha: Kamanda aliyesimamia mauaji ya zaidi ya wapemba 20 wakati wa kipindi cha udikteta wa Mkapa na Salmin
12) Membe: Mtu mwenye uchu wa madaraka ambae yupo radhi kuwadanganya waislamu kuwa atawapa OIC kama zawadi ikiwa wataendelea kumkubali
13) Sina haja kuwaongelea vimwana akina Kabaka, Kombani na mamah mwenyekiti wa wakinamama wa CCM ambao kazi yao ni kuimba taarabu na kumpa sifa Dr Dr Dr Kikwete.
Anaedhani nchi hii itakuja kuendelea ni aidha MLEVI au AKILI YAKE HAINA AKILI