Mlolongo
JF-Expert Member
- Jul 4, 2019
- 3,273
- 5,893
Mfukoni nina 300,000/=.
Nikijipiga sana, naweza ongeza ikafika 350,000/=.
Nahitaji flat screen inchi 32, naombeni msaada wa vitu viwili:
1. kwa bajeti hiyo nitapata TV ya inchi 32?
2. kama nitapata nichukue brand gani?
Kama kuna anaeweza kunielekeza na duka kabisa nikaenda nikachukua itakua poa.
Nikijipiga sana, naweza ongeza ikafika 350,000/=.
Nahitaji flat screen inchi 32, naombeni msaada wa vitu viwili:
1. kwa bajeti hiyo nitapata TV ya inchi 32?
2. kama nitapata nichukue brand gani?
Kama kuna anaeweza kunielekeza na duka kabisa nikaenda nikachukua itakua poa.