Erickb52
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 18,539
- 11,442
Usijali bby wangu hana shida na sisi FirstLady1Asante mpenzi! Najua umeweka kura yako kule.
Last edited by a moderator:
Usijali bby wangu hana shida na sisi FirstLady1Asante mpenzi! Najua umeweka kura yako kule.
Nimewamisini mtaa huu! Kwema humu?? Kura yangu umeipata, lol
Mi mzima kabisa Nicas Mtei sikupati hata kwenye cha mkononi aiseee niaje man?
Ok sawa kijana na mimi niko paleale kama kawanimechange number. Nw natumia Kazi ni Kwako.. Ntaku2mia number yangu.
Ok sawa kijana na mimi niko paleale kama kawa
We Erickb52 nakuona unampigia kampeni mkeo Remmy
Mi sikubaliani na hilo maana kampeni haziruhusiwi
halafu mbone sikusomi siku hizi aise au umefulia na baba mkwe kashakupokonya kisimu chako kisa unakaa na mtoto wake bila kutoa mahari Nicas Mtei niaje aise
Usijali bby wangu hana shida na sisi FirstLady1
Ngoja niwalete Salum Hapi, Kimeta wa Mpui na Lilian Mtei wanisaidie.
Aise Nicas Mtei nahitaji kilonga longa chako aise hebu kitupe kwenye Pamoja Mtaani Erickb52 ana matatizo sana aise
anadaiwa mahari sijui mwaka wa tano sasa na hapa anakuja kutuomba tumpigie kura mke ambaye hajaidhinishwa kwake
Usijali ntakupa zawadi ya kuwa na mimi usiku mmoja pale jijini Nairobi hope utaenjoy sana FirstLady1