kifupi kirefu
JF-Expert Member
- Oct 29, 2018
- 539
- 3,507
Katika zama hizi tunapaswa kuwa makini Sana na ila za movu shetani kupitia akili za wanadamu wenye madaraka. Mahakama ya mafisadi katika kesi ya Mbowe na wenzake naona kuna Askari wamewahi ndani kukaa raia wasipate nafasi za kukaa, wanaulizwa wanadai Wana haki yakusikiliza kesi na raia wasipangie mahakama Nani ashiriki kusikiliza kesi. .Kwa kuwa hila hizi zilianza jana wananchi wameombwa watumie busara lakini Askari wanajibu wananchi kama kuwaprovoke . Je hii haiwezi kuwa njia ya Askari Hawa kuwatoa wananchi mahakamani kwamba wanafanya fujo?
Wananchi tulieni, nendeni nao kwa akili maana wanaowatuma misheni zikifeli niwepesi Sana kumpongeza bosi wa juu na zikifaulu niwepesi Sana kutumia gia ya vurugu kutimiza lengo lao. Shetani ashindwe
Wananchi tulieni, nendeni nao kwa akili maana wanaowatuma misheni zikifeli niwepesi Sana kumpongeza bosi wa juu na zikifaulu niwepesi Sana kutumia gia ya vurugu kutimiza lengo lao. Shetani ashindwe