Wakuu habari za leo, Mimi ni binti wa miaka 22 mwenye elimu ya kidato Cha nne, nimesomea kozi ya Human Resource Management, pia ninao ujuzi wa kutumia kompyuta pamoja kusimamia maswala ya steshenari .
Kutokana na uhaba wa ajira kulingana na kozi niliyosomea , niliamua kusoma kozi fupi ya computer applications, hivyo kwa mtu yeyeto anayetafuta mfanya kazi wa steshenari Mimi niko tayari, itapendeza zaidi kazi ikipatikana maeneo ya mikoa ya Mwanza, Geita , Simiyu na Musoma.
Kwa anayehitaji mfanyakazi anifate in box.
Nb sitaweka namba zangu za simu ili kuepuka usummbufu kwa watu wasio na nia njema.
Nawategemea sana ndugu zangu
Kutokana na uhaba wa ajira kulingana na kozi niliyosomea , niliamua kusoma kozi fupi ya computer applications, hivyo kwa mtu yeyeto anayetafuta mfanya kazi wa steshenari Mimi niko tayari, itapendeza zaidi kazi ikipatikana maeneo ya mikoa ya Mwanza, Geita , Simiyu na Musoma.
Kwa anayehitaji mfanyakazi anifate in box.
Nb sitaweka namba zangu za simu ili kuepuka usummbufu kwa watu wasio na nia njema.
Nawategemea sana ndugu zangu