Kwa anayetafuta binti wa kazi za steshenari, Mimi nipo tayari

Kuprint, kutengeneza kadi naweza, Ila kutengeneza logo bado sijakuwa na huo utaalam.

Umeniuliza juu ya kutengeneza vipeperushi , vyenyewe naweza kwa kutumia puplisher au Microsoft word.

Kuja dodoma naweza Mkuu, ikitokea hivyo
Naimani vitu vingine utajifunza kidogo kidogo ,

halafu huja sema angalau una hitaji ulipwe bei gani,!!! Usije kulipwa 30000/ na umetumia gharama kutoka kwenu Mpaka mfano dar.
 
Naimani vitu vingine utajifunza kidogo kidogo ,

halafu huja sema angalau una hitaji ulipwe bei gani,!!! Usije kulipwa 30000/ na umetumia gharama kutoka kwenu Mpaka mfano dar.
Nikipata anayehitaji tutaelewana juu ya mshahara
 
Kuprint, kutengeneza kadi naweza, Ila kutengeneza logo bado sijakuwa na huo utaalam.

Umeniuliza juu ya kutengeneza vipeperushi , vyenyewe naweza kwa kutumia puplisher au Microsoft word.

Kuja dodoma naweza Mkuu, ikitokea hivyo
Ukifika Dodoma nitakupangisha chumba
 
Wakuu habari za leo, Mimi ni binti wa miaka 22 mwenye elimu ya kidato Cha nne, nimesomea kozi ya Human Resource Management, pia ninao ujuzi wa kutumia kompyuta pamoja kusimamia maswala ya steshenari .

Kutokana na uhaba wa ajira kulingana na kozi niliyosomea , niliamua kusoma kozi fupi ya computer applications, hivyo kwa mtu yeyeto anayetafuta mfanya kazi wa steshenari Mimi niko tayari, itapendeza zaidi kazi ikipatikana maeneo ya mikoa ya Mwanza, Geita , Simiyu na Musoma.

Kwa anayehitaji mfanyakazi anifate in box.

Nb sitaweka namba zangu za simu ili kuepuka usummbufu kwa watu wasio na nia njema.

Nawategemea sana ndugu zangu
Habari za jioni.

Ipo kazi ya steshenari, tena unaweza ukaua ndege wawili kwaa jiwe moja. Kwani hapa hapa kwetu pia tunahitaji mtu wa human resources.

Wasiliana nami kwa whatsapp 0625249605 naitwa Abdul Ghafur.
 
Habari za jioni.

Ipo kazi ya steshenari, tena unaweza ukaua ndege wawili kwaa jiwe moja. Kwani hapa hapa kwetu pia tunahitaji mtu wa human resources.

Wasiliana nami kwa whatsapp 0625249605 naitwa Abdul Ghafur.
Samahani Mkuu , uko mkoa upi
 
Back
Top Bottom