Kwa nini ufaulu wa vijana wetu A-level hasa wa michepuo ya sayansi katika shule za serikali si wa kuridhisha?

Joorome

Member
Oct 16, 2017
39
26
Heshma kwenu wakuu
Kwa kipindi kirefu nimefuataiia sana matokeo ya wanafunzi wetu wa A-level hasa wa combination za PCM, PCB na PGM katika shule zetu za serikali na nimegundu yafuatayo

1. Kuna ufaulu hafifu sana kwenye masomo hayo kwa shule zetu za serikali

Unakuta O-level mtu alipata divion 1 nzur sana au 2 ila A.level anaishia division 3 ,4 au 0

2. Zipo shule chache za serikali zinafanya vizuri mfano. Kibaha,ilboru,mzumbe etc japo katika matokeo yao pia division 3 na 4 zinakuepo chache.

Pia nimeona wanafunzi wengi wa michepuo hii ya sayansi katika shule hizi za serikali wanajitahidi sana kusoma ila mwishoni inakua hivyo.

Sasa kwa uzi huu wakuu naomba mjadala mpana nini tatizo na linatatulika vipi?

Pia kama unaona huu uzi haujakaa sawa ruksa kukosoa ili sote tujifunze kwa manufaa ya taifa letu
 
Hali ya ushindani umeshuka baina ya wanafunzi pia kuna ongezeke la mambo mengi ya kumzinga mwanafunzi ikiwemo ma smart phone,kubet,mademu(enzi zetu demu unajuana nae kwa ajili ya kusaidiana masomoni a.k.a kuchukulia sifa kuwa we ni kipanga kwenye masomo),

lingine ugumu wa maisha kwa wazazi unaathiri sana equilibrium ya ubongo wa mwanafunzi.Pia walimu wa science subject wengi wanakimbilia private school na miundombinu ya labaratory shule za serikali imekaa vibaya
 
Nilishawah ongoza o level mpk namaliza, nikafaulu vzr tu nikaenda PCB, Nikapiga four yangu safi kbsa isioyo na bughudha(namaanisha ile four unajua kbsa hupat chuo kwaio huhangaik).

Nikakaa nyumbani mwaka maisha yakanigonga na kashfa nying, ukikosea kdg tu yan hata kama umechelewa kufungia kuku, unaskia mkoloni akisema "ndo mana halina akili" nilikua naumia sana, mwaka uliofuata nika reseat, GUESS WHAT.....! Nili double the rocovery of failure.
 
Nilishawah ongoza o level mpk namaliza, nikafaulu vzr tu nikaenda PCB, Nikapiga four yangu safi kbsa isioyo na bughudha(namaanisha ile four unajua kbsa hupat chuo kwaio huhangaik). Nikakaa nyumban mwaka maisha yakanigonga na kashfa nying, ukikosea kdg tu yan hata kama umechelewa kufungia kuku, unaskia mkoloni akisema "ndo mana halina akili" nilikua naumia sana, mwaka uliofuata nika reseat, GUESS WHAT.....! Nili double the rocovery of failure.

Kucheka ni Afya rudia mkuu utriple kabisa.
 
Nilishawah ongoza o level mpk namaliza, nikafaulu vzr tu nikaenda PCB, Nikapiga four yangu safi kbsa isioyo na bughudha(namaanisha ile four unajua kbsa hupat chuo kwaio huhangaik). Nikakaa nyumban mwaka maisha yakanigonga na kashfa nying, ukikosea kdg tu yan hata kama umechelewa kufungia kuku, unaskia mkoloni akisema "ndo mana halina akili" nilikua naumia sana, mwaka uliofuata nika reseat, GUESS WHAT.....! Nili double the rocovery of failure.
duu pole sasa ungeshare nasi unafikiri ni kitu gani kilisababisha ukashindwa kutusua a -level ili madogo wajifunze na wahusika warekebishe hizo hali
 
Mbona siku hizi wanafauru vizuri tu. Shida ilikua kuanzia 2013 kurudi chini. Yani hapo ulikua ukipata c ya physics wewe ni mwanaume.

mkuu huu unafuu unasema upo angalau kwa sasa kwa maoni yangu nafikiri umetokana na sababu zifuatazo;

1. Kuongezeka kwa vyuo vikuu ambavyo vimepelekea kuzalisha waallimu wa sayansi
Mfano. Mkwawa,duce,udom,mwenge na vingine. Mwanzoni ilikua udsm pekee inazalisha na wengi wanakimbilia private au sector nyingine tofauti na ualimu

2. Ukosekanaji wa ajira unaopelekea maisha kuwa magumu
Hapa namanisha kwa sasa graduate ni wengi hivyo mwalimu akipangiwa hata shule za ndani ndani wanafika. Maana asipofika atakosa ajira sehemu nyingine na maisha ni tight mabaya.
 
Anaweza kutua A zote mkuu si unajua kale kamsema ka kuteleza sio kuanguka.
ni kweli ila muda unaenda sasa asijekua anawaste time maana ukisoma diploma unagain ujuzi na unaweza ingia kazini lakin a -level bado itakubidi uende tena chuo kikuu
 
Hali ya ushindani umeshuka baina ya wanafunzi pia kuna ongezeke la mambo mengi ya kumzinga mwanafunzi ikiwemo ma smart phone,kubet,mademu(enzi zetu demu unajuana nae kwa ajili ya kusaidiana masomoni a.k.a kuchukulia sifa kuwa we ni kipanga kwenye masomo),lingine ugumu wa maisha kwa wazazi unaathiri sana equilibrium ya ubongo wa mwanafunzi.Pia walimu wa science subject wengi wanakimbilia private school na miundombinu ya labaratory shule za serikali imekaa vibaya
mkuu umenena vyema na katika maelezo yako nimeextract sababu zifuatazo

1. Kukosekana ushindani baina ya wanafunzi
2. Matumizi mabaya ya smartphone kwa wanafunzi
3. Ugumu wa maisha kwa wazazi wa wanafunzi
4. Uhaba/ukosefu wa waalimu wa science
5. Uchakavu wa miundombinu kama maabara,madarasa na mabweni
 
Heshma kwenu wakuu
Kwa kipindi kirefu nimefuataiia sana matokeo ya wanafunzi wetu wa A-level hasa wa combination za PCM, PCB na PGM katika shule zetu za serikali na nimegundu yafuatayo

1. Kuna ufaulu hafifu sana kwenye masomo hayo kwa shule zetu za serikali

Unakuta O-level mtu alipata divion 1 nzur sana au 2 ila A.level anaishia division 3 ,4 au 0

2. Zipo shule chache za serikali zinafanya vizuri mfano. Kibaha,ilboru,mzumbe etc japo katika matokeo yao pia division 3 na 4 zinakuepo chache.

Pia nimeona wanafunzi wengi wa michepuo hii ya sayansi katika shule hizi za serikali wanajitahidi sana kusoma ila mwishoni inakua hivyo.

Sasa kwa uzi huu wakuu naomba mjadala mpana nini tatizo na linatatulika vipi?

Pia kama unaona huu uzi haujakaa sawa ruksa kukosoa ili sote tujifunze kwa manufaa ya taifa letu
Mazingira ya shule zetu mkuu hakuna nyenzo za kutosha
 
Bahat mbaya natumia nokia ndogo(inazidiwa ukubwa na kidole kdg cha le mutuz) haiwez hata ku quote.
Elewa vzr hio statement

"Double the RECOVERY of failure"

Sio kufaulu tu, ni kufaulu mara mbili zaid kutoka kwenye failure, yaan kwa ufupi nilisahihisha mara mbili zaid makosa ya kufeli,
 
Hatujawa serious na Elimu,

Namaanisha sera ya nchi kuhusu elimu sio nzuri hata kidogo,

Siku hizi walau wanafaulu wengi ukilinganisha na miaka ya nyuma,

Lakini kufaulu kwao haimaanishi wana-akili kuliko wale wa kipindi kile,

Wanafaulu kwa sababu ya mabadiliko na maendeleo

Vyuo vipo vingi kwa hiyo lazima hata usahihishaji wa mitihani uwe fair kidogo ili vyuo vipate wanafunzi(Naamin wengi hapa mtanielewa)

Nirudi kwanini hawafaulu sana:

Tukiweka uwezo wa mtu na kujitambua kuwe costant mazingira ya shule zetu sio favourable kwa vijana kufaulu,

Nilisoma PCB lakini waalimu niliwaona kwa miezi kadhaa tu ya mwanzo napo walikuwa wanababaisha tu,

Hapo sasa inabidi uende tuition na mtakubaliana na mm kwamba tuition za A-level ni ghali so hapa lazima mzazi ajitoe sana Ikitokea wazazi wako hawakuamin( kama ambavyo mimi nilikuwa siaminiki kwa sababu zao) basi wataona unawaibia

Hakuna miundombinu mizuri ya kujifunzia hakuna maabara hakuna maktaba nzuri yote hayo yanachangia ufaulu duni wa wanafunzi
 
Hatujawa serious na Elimu,

Namaanisha sera ya nchi kuhusu elimu sio nzuri hata kidogo,

Siku hizi walau wanafaulu wengi ukilinganisha na miaka ya nyuma,

Lakini kufaulu kwao haimaanishi wana-akili kuliko wale wa kipindi kile,

Wanafaulu kwa sababu ya mabadiliko na maendeleo

Vyuo vipo vingi kwa hiyo lazima hata usahihishaji wa mitihani uwe fair kidogo ili vyuo vipate wanafunzi(Naamin wengi hapa mtanielewa)

Nirudi kwanini hawafaulu sana:

Tukiweka uwezo wa mtu na kujitambua kuwe costant mazingira ya shule zetu sio favourable kwa vijana kufaulu,

Nilisoma PCB lakini waalimu niliwaona kwa miezi kadhaa tu ya mwanzo napo walikuwa wanababaisha tu,

Hapo sasa inabidi uende tuition na mtakubaliana na mm kwamba tuition za A-level ni ghali so hapa lazima mzazi ajitoe sana Ikitokea wazazi wako hawakuamin( kama ambavyo mimi nilikuwa siaminiki kwa sababu zao) basi wataona unawaibia

Hakuna miundombinu mizuri ya kujifunzia hakuna maabara hakuna maktaba nzuri yote hayo yanachangia ufaulu duni wa wanafunzi
good comment
 
Sayansi A level ini mziki pia , ukutane na ma mechanism of hearing sijui ma mechanism of balance kwenye bios tena topic sio moja ni kama 11 hivi halafu upige paper 1, 2, 3 . Hiyo bios bado chemistry hahahahaha si mchezo
 
Inategemea shule na shule
Shule ya serikali niliyosoma mimi, wanafaulu vizuri sayansi kuliko sanaa. Kukuta mtu ana triple AAA kwa pcm ni jambo la kawaida sana.
 
Kwa uzoefu wang hapa mm nililoliona ni upungufu wa waalimu waliotayar kufundisha kwa moyo,
Mapindi magum alafu Mwalimu hafundish kwa moyo yan hadi wanafunzi mtoe hela
Hapo ukikosa hela inabidi upige msuli yatima ambapo kwingi kunakuwa kukariri
 
Back
Top Bottom