Kwa anayejua lumia 800

Kwa anayejua lumia 800

Dafugwadu

JF-Expert Member
Joined
Dec 24, 2012
Posts
4,733
Reaction score
5,251
Habari wakuu nahitaji msaada wa mtu anayefaham nitapata wapi dispay (complete na touch) lumia 800 ilianguka ikavunjika
 
Naomba niende nje ya topic kaka.
Uliinunua wapi.na.bei gani.hiyo kitu mkuu?
 
Mkuu mini Nina Lumia 610,twaweza fanya biashara,laki nne unusu(450,000)
 
nasikia Lumia ambazo namba ya model haziishii 20 hazifanyi kazi kwenye mambo M-Mobile
 
nasikia Lumia ambazo namba ya model haziishii 20 hazifanyi kazi kwenye mambo M-Mobile

Sio kesi mkuu mambo ya mob money service ntatumia cm zingne lakin hiyo lumia ni zaid ya huduma za kifedha we si unajua kila kitu ni ndani kwa ndan sio betri wala mem card?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom