Ben Nyoni Senior Member Joined Dec 28, 2014 Posts 115 Reaction score 136 Apr 12, 2016 #1 Naombeni msaada kuhusu bluestack kila nikiistall kwenye pc inadai 2gb ya physical memory.kwa mwenye ujuzi msaada unahitajika.
Naombeni msaada kuhusu bluestack kila nikiistall kwenye pc inadai 2gb ya physical memory.kwa mwenye ujuzi msaada unahitajika.
blogmaster Senior Member Joined Aug 15, 2015 Posts 167 Reaction score 74 Apr 12, 2016 #2 bluestack ni mahususi kwa window 8 pekee kama una window 7 apo ume fail
Ben Nyoni Senior Member Joined Dec 28, 2014 Posts 115 Reaction score 136 Apr 12, 2016 Thread starter #3 blogmaster said: bluestack ni mahususi kwa window 8 pekee kama una window 7 apo ume fail Click to expand... Blogmaster;mbona inanipa kuanzia xp,7,8,nami natumia 7?
blogmaster said: bluestack ni mahususi kwa window 8 pekee kama una window 7 apo ume fail Click to expand... Blogmaster;mbona inanipa kuanzia xp,7,8,nami natumia 7?
Chief-Mkwawa Platinum Member Joined May 25, 2011 Posts 32,226 Reaction score 44,223 Apr 12, 2016 #4 memory inaweza kuwa ram au hdd yako. una uhakika free space yako ni zaidi ya 2gb na ram yako ni 2gb?
Ben Nyoni Senior Member Joined Dec 28, 2014 Posts 115 Reaction score 136 Apr 12, 2016 Thread starter #5 Chief-Mkwawa said: memory inaweza kuwa ram au hdd yako. una uhakika free space yako ni zaidi ya 2gb na ram yako ni 2gb? Click to expand... HDD ina nafasi kubwa,labda RAM maana ipo 1.5gb.asante mkuu
Chief-Mkwawa said: memory inaweza kuwa ram au hdd yako. una uhakika free space yako ni zaidi ya 2gb na ram yako ni 2gb? Click to expand... HDD ina nafasi kubwa,labda RAM maana ipo 1.5gb.asante mkuu
Chief-Mkwawa Platinum Member Joined May 25, 2011 Posts 32,226 Reaction score 44,223 Apr 12, 2016 #6 Ben Nyoni said: HDD ina nafasi kubwa,labda RAM maana ipo 1.5gb.asante mkuu Click to expand... ongeza ram siku hizi zinapatikana bei rahisi kabisa kwa 20,000 unapata 2gb
Ben Nyoni said: HDD ina nafasi kubwa,labda RAM maana ipo 1.5gb.asante mkuu Click to expand... ongeza ram siku hizi zinapatikana bei rahisi kabisa kwa 20,000 unapata 2gb