KijikoYajiko
Senior Member
- May 8, 2012
- 106
- 19
Wakuu kama kuna Kampuni inahitaji Civil Engineer naomba tuwasiliane kwa PM. Nipo Mwanza. Uzoefu wangu ni miaka mitatu.
Asanteni.
Asanteni.
Naangalia uwezekano huo pia, lakini nahitaji kufanya kazi na watu kwanza km vipi nifanyie connection mkuu.Jiajiri
Niliziona mkuu na nimeapply. In the meanwhile nasubiri itafaa km nitapata sehemu hapa mjini ya kufanya nayo kazi.Engineer zile post za utumishi si uliziona miaka mitatu ishaisha ya graduateb ingia serikalini kaka upate muda mwingi wa kijipanga kuanzisha kampuni yako kaka
Niliziona mkuu na nimeapply. In the meanwhile nasubiri itafaa km nitapata sehemu hapa mjini ya kufanya nayo kazi.
Thanks kaka.
Nimeku pm mkuu, tuwasiliane. Asantenaomba no yako