Kwa anayehitaji mchumba-wanawake tu

Kwa anayehitaji mchumba-wanawake tu

Poa wakuu naona humu jf hakuna mlokole kwa hiyo itabidi sasa ambaye anaona yuko wife materials ani PM. Naona sasa hivi naweza kuanzisha familia, kwa hiyo mwenye vigezo anipe CV yake
 
Hivi kweli watu mko serious na kutafuta wachumba kwa kuweka matangazo hivi au mnachezea tu akili za watu?
 
2wasiliane basi, upate mume mwema uliyekuwa unamtaka.
 
Siyo tunachezea akili mi niko serious, we kama hutaki anayeweka tangazo wenzako wanataka
 
chuga uko maeneo gani? ila tatizo miye cyo mwalimu wala mlokole nadhani cyo rizki......... Preta et kujeni pande hii kuna mdau wa chuga huku lol

Kwa jina la yesu sema UNAMPOKEA BWANA YESU AWE MWOKOZI WA MAISHA YAKO, kuhusu ualimu atakupeleka Butimba TTC au DUCE
 
mbona watu wagumu kuelewa, hapo ni swala la kujisajili kwa jina la Mlokole - Mwalimu ( Avatar weka yoyote) mara moja utaqualify...........
 
Mi niko tayari ila u
mri karibu twalingana na c mwalimu,nna mtu ila naona miyeyusho nahis tupo wawili....nna kazi nzuri tu hapa mjini...

sasa upo tayari huyu mtu hujawah ata kumuona, duh.... hebu funguka,upo tayari kwa kutumia vigezo vipi? unampenda? ana kazi? your desperate to get someone?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom